International Forum

News and Stories from rest of the World
Jumla ya nchi saba tayari zimesitisha utoaji wa chanjo💉 ya Astrazeneca: ✓ Denmark ✓ Iceland ✓ Austria ✓ Estonia ✓ Lithuania ✓ Luxembourg ✓ Latvia Sababu ya kusimamishwa kwa shughuli hii ni kesi...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Brazil imerekodi idadi kubwa zaidi ya vifo ndani ya siku moja vinavyotokana na virusi vya corona tangu kuanza kwa mlipuko. Jumla ya watu 2,286 walifariki dunia ndani ya saa 24 pekee siku ya...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wenzetu hao! You see, the hotel is going to be in space. No, seriously. A California-based company called Orbital Assembly is currently working on what would be the first-ever hotel orbiting...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Vifaa vilivyotumiwa na majasusi wa Umoja wa Kisovieti katika vita baridi hivi karibuni vyanadiwa. Kikundi cha urithi wa vita baridi ikiwemo silaha za siri za Umoja wa Kisovieti hivi karibuni...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Rais mstaafu wa Congo DR, Joseph Kabila Kabange apokonywa walinzi wa kikosi cha jeshi waliokuwa wakimlinda na kupewa ulinzi wa Polisi wa kawaida. Haijulikani sababu ya uamuzi huu uliofanywa na...
23 Reactions
123 Replies
16K Views
Papa Francis atasafiri Iraq leo Ijumaa katika ziara ya kwanza rasmi nchini humo na safari yake ya kwanza ya kimataifa tangu kuzuka kwa la corona. Safari hiyo ya siku nne inakusudiwa kuihakikishia...
8 Reactions
37 Replies
4K Views
Rais wa Niger Mahamadou Issoufou ameshinda tuzo maarufu ya Mo Ibrahim. Tuzo hiyo utolewa kwa kiongozi ambaye utawala wake unazingatia utawala wa sheria na utawala bora barani Afrika. -----...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Nchi ya Malawi nayo leo imepokea Shehena ya Chanjo kwa ajili ya raia wake ili kujikinga na Ugonjwa hatari wa Corona . Natoa wito kwa serikali ya Malawi kuwahurumia watanzania wa mpakani ili nao...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
The IDF is updating its attack plans against Iran's nuclear facilities, Defense Minister Benny Gantz revealed on Thursday in an interview with Fox News. "If the world stops them before, it's very...
3 Reactions
53 Replies
4K Views
Vifo vimeongezeka baada ya kutokea mfululizo wa milipuko katika kambi za jeshi Equatorial Guinea na kufikia zaidi ya watu 98. Kwa mujibu wa taarifa ya wizara ya afya kwa sasa watu walio jitolea...
1 Reactions
2 Replies
990 Views
Baraza la Seneti la nchini Marekani limepigakura kuidhinisha mpango mkubwa wa msaada wa fedha wa trilioni 1.9 ambazo Rais Joe Biden amesema zitasaidia kuufufua uchumi. Wajumbe wa chama cha...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Katika nchi ya Canada ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya Madola ya Mataifa ya Uingereza, takriban nusu ya watu wameitaka nchi yao iwakilishwe na rais atakayechaguliwa badala ya Malkia wa...
3 Reactions
21 Replies
5K Views
Watu takriban 15 wamefariki dunia huku wengine zaidi ya 100 wakipata majeraha katika mfululizo wa milipuko iliyotokea nchini Equatorial Guinea, Wizara ya afya imesema. Baadhi ya watu 500...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
OFISI KUU ya Mafunzo ya Imani ya Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Marekani. Pamoja na maaskofu wa dayosisi kadhaa nchini humo wamewaonya wana kondoo wao kuepuka chanjo ya Covid-19...
6 Reactions
23 Replies
4K Views
Hili ni moja ya kundi hatari kabisa la kimafia duniani. Kwanza ni kwa sababu jamaa ni wasomi na wanaujuzi wa hali ya juu. Wengi waliokuwa watu wa KGB walijiunga huku. Sasa Russia kuna pombe za...
6 Reactions
8 Replies
2K Views
Alianza Julius Malema kwa kuanzisha chama cha siasa baada ya kujitoa kwenye uongozi wa umoja wa vijana wa ANC. Alianzisha chama chake chenye mlengo wa kupingana na ANC na kweli aliweza kuongoza...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Ikulu ya Marekani imeonesha wasiwasi wake baada ya shambulio dhidi ya huduma ya Exchange ya Microsoft ikitaka taasisi binafsi na za serikali zilizoathiriwa kuchukua hatua za haraka ili kuepusha...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Tuendelee juwa na subra, kwenye bustani ya wanyama ya sandiego huko San Diego, nyani na sokwe ndiyo wanyama wa kwanza kupatiwa chanjo tofauti na binadamu kwa kupokea chanjo ya COVID-19. Habari...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Mamlaka nchini Senegal imetoa agizo kwa mashirika yanayotoa huduma ya mtandao kuzima intaneti nchi nzima, wakati maandamano dhidi ya kuzuiliwa kwa kiongozi wa upinzani yanazidi kuongezeka, shirika...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Zaidi ya watu 100 wamesaini barua kuitaka Kamusi ya Mtandaoni nchini Italia, Treccani kubadilisha kisawe cha neno mwanamke katika kamusi yake. Kampeni hiyo inalenga kuondoa neno 'puttana' kama...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom