International Forum

News and Stories from rest of the World
Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi amewafuta kazi wakuu majeshi wa ardhini na angani wakati nchi inapokabiliana na wanamgambo wa Islamic States kaskazini mwa nchi hiyo na uasi wa wanamgambo...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei amepiga marufuku uingizaji wa chanjo ya Covid-19 kutoka kampuni ya Pfizer ya Marekani na mshirika wake BionTech, sambamba na chanjo ya Uingereza ya...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Denmark, Norway and Iceland all temporarily suspend the use of AstraZeneca’s COVID-19 vaccine over concerns about patients developing post-shot blood clots, as the manufacturer and Europe’s...
3 Reactions
13 Replies
996 Views
Wakati dunia ikapambana na janga la Corona mambo mengi yanatokea. Rais Paul Kagame wa Rwanda amekuwa kiongozi wa ukweli baada ya kujitikeza kupata chanjo ya corona ili kuwapa imani wananchi wake...
8 Reactions
106 Replies
7K Views
Thailand leo imejiunga na mataifa kadhaa ya Ulaya kusitisha matumizi ya chanjo ya AstraZeneca kutokana na wasiwasi kuwa inasababisha kuganda kwa damu, licha ya baadhi ya mamlaka za afya duniani...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Shirika la Afya duniani limesema hakuna ushaidi kuwa chanjo ya corona ya Astrazeneca inasababisha damu kuganda. Msemaji wa WHO - Dr. Margaret Harris amesema nchi zilizokwisha agiza chanjo ya...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Mataifa kadhaa duniani yakiongozwa na Marekani leo yamelaani mageuzi kwenye mfumo wa uchaguzi wa mji wa Hong Kong yaliyoidhinishwa jana Alhamisi na Baraza la Wajumbe wa Chama cha Kikomunisti cha...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanajeshi wa Nigeria wamepata ruhusa ya kuwapiga risasi bila kuhitaji kibali, watu wote watakaoonekana wakiwa na bunduki aina ya AK-47, kufuatia agizo la rais Muhammadu Buhari. Amri hii...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa mara nyingine, Pakistan imeipiga marufuku kampuni ya mtandao wa kijamii ya Tiktok kwa madai ya kukiuka maadili ya kimaudhui, lakini mratibu wa vyombo vya habari nchini humo hakusema wazi ikiwa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Serikali ya Burundi imepiga marufuku uingizaji wa mahindi na unga nchini humo kutoka nje ya nchi wakihofia kuwemo kwa sumu kuvu katika punje za mahindi. Marufuku hiyo itadumu kwa miezi sita...
6 Reactions
107 Replies
12K Views
Sudan imemsamahe na kumuachia huru kiongozi wa kundi la wanamgambo wa Janjaweed Musa Hilal, aliyewekewa vikwazo na umoja wa mataifa na kushtumiwa na makundi ya haki za binadamu kufanya ukatili...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeishutumu serikali ya kijeshi ya Myanmar kwa kuongeza hatua ya matumizi ya silaha pamoja na kufanya makusudi vitendo vya mauaji...
0 Reactions
1 Replies
748 Views
Msemaji wa kasri ya Buckingham amethibitisha kulazwa kwa Prince Philip Mume wa Malkia Elizabeth baada ya kudhoofu kwa hali yake Alipelekwa hospitali moja Jijini London siku ya Jumanne Februari...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Kituo cha habari CBS kilimlipa Oprah Winfrey takriban dola za Marekani Milioni 8 ili kupewa leseni ya mahojiano yake na mtoto wa Mfalme Harry na mkewe Meghan. Mahojiano hayo yalifanikishwa na...
29 Reactions
173 Replies
13K Views
Mamlaka mjini Wuhan nchini China wametangaza siku ya tar 19/3/2020 kua ni mwanzo wa ushindi wa vita dhidi ya virus vya corona Mjini Wuhan jumbo la Hubei ambako ndio kiini cha mlipuko huo. -Siku...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Serikali ya Canada imesema Jana Alhamisi chanjo ya Astrazeneca ni salama na itaendelea kuitumia kwa wananchi wake licha ya nchi za ulaya Norway na Denmark kusitisha kuitumia kwa muda. Canada...
1 Reactions
1 Replies
868 Views
Ali Mahdi Muhammad amefariki dunia Machi 10 katika Hospitali ya Nairobi, Kenya alipokuwa anapatiwa matibabu baada ya kugundulika kuwa na #COVID19 Alizaliwa Januari 1, 1939 na alikuwa Rais wa...
12 Reactions
65 Replies
7K Views
Buckingham Palace imetoa taarifa kwa niaba ya Malkia Elizabeth kama majibu ya mahojiano yaliyofanywa na Oprah Winfrey kwa Mwanamfalme Harry na mkewe Meghan. Taarifa hiyo imeeleza kuwa familia...
1 Reactions
31 Replies
5K Views
Kuna huu uzushi kuwa Rais wa zamani wa Malawi aliwahi kuwa Daktari wa Malkia wa Uingereza na alihasiwa ili asije tembea na Malkia na wakazaa. Eti ndiyo kisa alikufa bila mtoto. Huu uzushi...
4 Reactions
36 Replies
4K Views
Usalama umeimarishwa katika jengo la Bunge la Marekani kufuatia taarifa za kuwepo na njama za uvamizi. Kutokana na hali hiyo, Baraza la Wawakilishi limesitisha ratiba za leo, lakini Seneti...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom