20 February 2021
Denver, Colorado USA
Ndege moja ya abiria ya shirika la ndege la United Airlines aina ya Boeing 777 mruko namba 328 toka kiwanja cha ndege cha mji wa Dever kwenda Honolulu injini...
The 2 son's of the late president of Zimbabwe president Robert Mugabesee how they're still spending money each and every day with thier friends In south africa.
The 2 sons of Mugabe are...
Chanzo: www.trt.net.tr
Wanajeshi 4 wa China wadaiwa kufariki kwenye mapigano ya mpaka wa India mwaka 2020
Wanajeshi 4 wa China wameripotiwa kufariki mwaka jana kwenye mzozo wa mpaka wa India...
Maandamano yaendelea ndani ya Israel; Netanyahu ayafumbia macho na kuendeleza siasa za chuki dhidi ya Iran.
Wakazi wa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel...
Iran: Vikwazo visipoondolewa katika miezi 3 ijayo tutaondoa kamera za ukaguzi za IAEA
Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (AEOI) amesema kuhusu mapatano...
Baada ya kusubiriwa kwa miaka miwili, hatimaye ripoti ya Shirika la Ujasusi la Marekani kuhusu kuuawa kwa Jamal Khashoggi imeachiwa siku ya Ijumaa ikionesha kuhusika kwa uongozi wa Saudi Arabia...
Mgombea wa uchaguzi wa Marekani: Biden ni mpenda vita kuliko Trump
Nov 17, 2020 12:21 UTC
Mmoja wa wagombea wa kiti cha Seneti ya Marekani katika uchaguzi wa mwaka huu wa 2020 amesema kuwa siasa...
Katika karne ya 21, kutokana na mahitaji ya fedha kwa ajili ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi, kiwango cha madeni cha nchi za Afrika kimeongezeka sana, na shida ya madeni ya Afrika inafuatiliwa...
Nchi za EU wanafikiria kuanzisha mpanga wa covid vaccine passport miongoni mwa nchi wanachama. Hii ni moja ya mkakati wa kukabiliana na covid 19 miongoni mwa raia wao wanaposafiri. TUTAELEWANA TU...
Mtandao wa Twitter umepanga kuongeza kipengelea cha kulipia cha Super Followers, ambapo mtu anayeweka maudhui atawatoza followers wake ili waweze kusoma.
Twitter haijataja kiwango cha fedha ambao...
Prince Philip ndiye mwana familia ya kifalme mwenye umri mkubwa zaidi. Akiwa na miaka 99 anategemea kuadhimisha miaka 100 ya kuzaliwa mwezi Juni mwaka huu. Hali ya afya yake imekuwa tete na...
Australia ilipitisha sheria ya kutaka mitandao ya kijamii iwalipe wanaoweka maudhui katika mitandao hiyo
Baada ya kupitishwa kwa sheria hiyo, Facebook imetangaza kuingia makubaliano ya kuyalipa...
Africa is the second most populous continent in the world; more than 1.1 billion people live in this large continent. It hosts a large diversity of ethnicities, languages and cultures. Africa has...
Kampuni ya Chanjo ya #COVID19 ya Marekani, Moderna imekadiria kuwa na mauzo ya Dola za kimarekani bilioni 18.4 sawa na Takribani Tsh. Trilioni 41.8 kwa mwaka 2021
Fedha hizi ni zaidi ya zile...
Kampuni ya Marekani ya Moderna inayo tengeneza chanjo dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 inasema iko tayari kufanya majaribio ya chanjo dhidi ya virusi vipya vya corona.
Chanjo hiyo ya majaribio iliyo...
Rais wa Benki ya Dunia(WB) David Malpass amesema wamefurahishwa na namna Ghana inavyojizatiti kutoa dozi za chanjo kwa wananchi wake
WB ipo katika hatua za mwisho kuipa Ghana dola Milioni 100...
Mafanikio ya China ya kupata "ushindi kamili" kwenye vita vyake vya kutokomeza umasikini uliokithiri kunatajwa na wasomi wengi kama matokeo ya mpango kabambe, utawala bora na nia njema ya kisiasa...
(CNN)-Tax records that former President Donald Trump tried to keep secret for years are now in the hands of the New York district attorney.
Prosecutors obtained the records on Monday, just hours...
Baada ya Prince Harry na mke wake Meghan kuihakikishia familia ya Kifalme kuwa hawatarajii kurudi Uingereza na kuendelea na kazi za Kifalme. Moja ya majukumu ya Harry ilikua mlezi wa mchezo wa...
Baada ya kubwagwa Trump; Iran na Korea Kusini zafikia makubaliano ya kuhamishiana fedha za kigeni
Feb 22, 2021 14:06 UTC
Gavana wa Benki Kuu ya Iran na balozi wa Korea Kusini hapa Tehran...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.