International Forum

News and Stories from rest of the World
Watu watatu wamehukumiwa adhabu ya kifo kwa kumkashifu mtume Muhammad kwenye mitandao ya kijamii. Kitendo hicho ni kufuru kwa mujibu wa Katiba ya Pakistan na adhabu take ni kifo. ========...
6 Reactions
92 Replies
9K Views
Miundo mbinu ya reli ikiwemo stesheni za reli, nyaya za umeme , hata lifti ktk majengo ya stesheni za reli nchini Afrika ya Kusini imekwapuliwa na vibaka waliowasili wakiwa na malori hivyo kufanya...
0 Reactions
0 Replies
914 Views
The depopulation concept on videos is directed to the whole world. Africa is part of the order. They want to deal with the worthless of Africans in economy. Business with African people is...
1 Reactions
6 Replies
890 Views
Mwaka 2008 Obama alipata kura 69m (popular votes) akashinda uraisi wa marekani, mwaka 2012 kura za Obama zilipungua alipata kura 66m lakini alishinda uraisi kwa awamu ya pili. Tuje kwa Trump...
6 Reactions
68 Replies
5K Views
Wengi tumepigwa butwaa baada ya mitandao ya kijamii kama twitter na youtube kumfungia Raisi Donald Trump account zake huku wakati huo huo account za ma dictator zikiwa bado zinapumua bila bugudha...
4 Reactions
54 Replies
4K Views
Kutokana na ongezeko la maambukizi Nchini humo, Shule zinatarajiwa kufungwa kwa angalau siku 15 kuanzia leo Januari 18, ikiwa ni harakati za kudhibiti mlipuko Katika hotuba yake kwa Taifa, Rais...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Ghasia kati ya Polisi na Waandamaji zimeendelea katika Mji Mkuu wa Tunis na maeneo mengine Nchini humo kwa siku ya pili mfululizo huku Mamlaka zikikamata watu zaidi ya 200 wanaotuhumiwa kuharaibu...
0 Reactions
1 Replies
965 Views
Kiongozi wa Kanisa Katoliki ulimwenguni Papa Francis Jumatatu amefanya marekebisho rasmi ya sheria ya kanisa hilo ili kuruhusu wanawake kuchukua majukumu zaidi kinyume na ilivyokuwa hapo awali...
8 Reactions
118 Replies
12K Views
Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Dkt. Tedros Ghebreyesus amesema si sawa kwa Vijana na watu wenye Afya njema katika mataifa tajiri kupata chanzo za COVID-19 mapema kuliko watu walio kwenye...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Maisha kila kukicha kwa nchi za ughaibuni ni kutaka kufanya zaidi ya mawazo ili kisicho wezekana kiwezekane. Huku ujerumani jopo la wataalamu wamegundua kijiroboti ambacho kitawa saidia wale...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Jamhuri ya Ajentina | Argentine Republic au República Argentina Argentina ni taifa linalopatikana bara la Amerika Kusini likiwa na mipaka baina ya Bolivia, Brazil, Chile, Paraguái, Uruguay na...
14 Reactions
54 Replies
6K Views
Timu kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) imewasili katika Jiji la Wuhan Nchini China ili kuanza uchunguzi wa asili ya Ugonjwa wa COVID19 ambao umeathiri watu zaidi ya Milioni 87 Ulimwenguni kote...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Bilionea wa kampuni kubwa ya vifaa vya kielektroniki nchini Korea Kusini Lee Jae-yong amerejeshwa gerezani hii leo baada ya mahakama nchini humo kumhukumu kifungo cha miaka miwili na nusu kutokana...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Hawa Twitter wamemfungia Trump account wakitoa sababu kuwa anahatarisha usalama na kunajisi demokrasia. Lakini Hiyo hiyo Twitter imekuwa inawaacha wanaharakati wa Afrika hata kama watawala wake...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Dustin Higgs, mfungwa aliyekuwa amehukumiwa kifo katika gereza la Indiana, amenyongwa katika utekelezaji wa mwisho wa adhabu hiyo chini ya utawala wa wa Rais wa Marekani Donald Trump siku chache...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Madaktari katika Jimbo la Darfur wanasema zaidi ya watu 80 wamepoteza maisha na mamia kujeruhiwa ndani ya siku mbili kufuatia mapigano baina ya makundi ya kikabila yaliyotokea eneo la El Geneina...
1 Reactions
2 Replies
855 Views
Katika pitapita yangu mitandaoni, nikakutana na taarifa hii kwenye gazeti maarufu la THE GUARDIAN yenye kichwa cha habari: South Korea's population falls for first time in its history | South...
13 Reactions
76 Replies
6K Views
Rais mteule wa Marekani, Joe Biden anayetajai kuapishwa Januari 20, ameandika kuwa miaka minne ijayo ni miaka ya kuirejesha demokrasia. Ametaja kutakuwa na upya wa siasa ambayo itakuwa inatatua...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Serikali imesema ipo katika hatua za mwisho za mazungumzo kwa ajili ya kupata chanjo ya ugonjwa wa covid- 19 kwa ajili ya wananchi. Kwa mujibu wa Wizara ya Afya, mazungumzo hayo na kampuni ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
The “mainstream”, a.k.a Satanic media, have been lying about everything that really matters. They have a large share of the population believing the opposite of the truth:that is lies. We know...
1 Reactions
1 Replies
837 Views
Back
Top Bottom