International Forum

News and Stories from rest of the World
Mtandao wa YouTube umefungia Chaneli ya Rais Trump kuweka video na kufanya matangazo mubashara kwa muda usiopungua siku 7 kutokana na kuvunja Kanuni juu ya uchochezi wa vurugu. Katika taarifa...
0 Reactions
1 Replies
949 Views
The Joint Chiefs of Staff, the group of the most senior uniformed leaders at the Pentagon, issued a force-wide statement Tuesday condemning the riot at the Capitol as a “direct assault” on...
0 Reactions
2 Replies
724 Views
Soko la Hisa la Twitter limeshuka kwa asilimia 12 baada ya Kampuni ya Mtandao huo wa Kijamii kuifungia akaunti Rais wa Marekani, Donald Trump Ijumaa iliyopita Kuifunga akaunti ya Trump iliyokuwa...
2 Reactions
37 Replies
5K Views
Rais wa Marekani Donald Trump amesisitiza kuwa hatohudhuria kwenye sherehe za kuapishwa kwa Joe Biden kuwa Rais Mpya wa Marekani, Joe Biden amesema ni jambo zuri kwa Trump kutofika maana huenda...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Lingson Belekanyam alipatikana na COVID-19 wiki iliyopitaImage caption: Lingson Belekanyam alipatikana na Covd-19 wiki iliyopita Malawi imepata pigo kubwa baada ya mawaziri wawe wawili kufariki...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Rais Cyril Ramaphosa amesema mipaka ya ardhi Nchini humo itafungwa kwa Wasafiri wengi hadi Februari 15 akisisitiza hali ya mlipuko wa CoronaVirus Afrika Kusini sio nzuri. Ameeleza, maambukizi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waziri wa Kazi, Familia na Vijana wa Australia, Christine Aschbacher amejiuzulu baada ya kugundulika kuwa baadhi ya kazi zake za chuo amenakili mawazo ya wengine (Plagiarism). Aschbacher alifanya...
4 Reactions
15 Replies
3K Views
Huo ndio ukweli wenyewe japo vyombo vya Magharibi wanajitahidi kupotezea. Bibi yake Rashida Tlaib congress woman wa Marekani Mftia Tlaib alimlaani sana Rais Trump alipomfanyia dhihaka na fitina...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Takriban Majimbo tisa Nchini India yameripoti mlipuko wa Mafua ya Ndege, huku maeneo mengine yakisubiri majibu ya vipimo wakati hatua mbalimbali zikichukuliwa kama tahadhari. Mji Mkuu wa New...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Rais wa Marekani Donald Trump amefungiwa kabisa akaunti yake ya Twitter kwasababu ya hatari ya kuchochea vurugu zaidi", kampuni hiyo imesema. Kampuni ya Twitter imesema uamuzi huo umefikiwa baada...
5 Reactions
35 Replies
4K Views
Tangazo hilo linakuja siku mbili baada ya Rais Trump kuhamasisha wafuasi wake kuvamia bunge na jinsi watunga sheria walivyoshinikiza kuondoka kwake. Kulingana na gazeti la wanafunzi, kumekuwa na...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Polisi nchini Marekani wanasema wamekamata gari lililokuwa na mabomu na bunduki likiwa limeegeshwa karibu na jengo la bunge siku ya Jumatano wakati wafuasi wa Rais Donald Trump walipovamia jengo...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Jaji katika korti ya uchunguzi ya Baghdad ametoa hati ya kukamatwa kwa Rais wa Marekani anayemaliza muda wake Donald Trump, juu ya mauaji ya kiongozi wa jeshi la Iraq wakati wa mauaji ya Jenerali...
5 Reactions
17 Replies
3K Views
Rais wa Zambia Edgar Lungu amemfuta kazi waziri wa afya nchini humo Bw Chitalu Chilufya, ambaye alikamatwa mwezi Juni kwa ufisadi lakini akaachiliwa baadae. Bw Chilufya alishitakiwa makosa manne...
0 Reactions
0 Replies
677 Views
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis ameiita hatua ya watu kukwepa kupata chanjo ya Covid-19 ni mauaji ya kujitakia akisema wale wanaokataa chanjo hiyo wanacheza na afya zao na pia...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Rais Lazarus Chakwera ameeleza kusikitishwa na takwimu ambazo zinaonesha ongezeko la maambukizi ya Ugonjwa huo Nchini Malawi na kutangaza anaanza mfungo wa siku 21. Hata hivyo, Wataalamu wa Afya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wataalam wa masuala ya Sayansi na Usalama toka Chuo cha Princeton (Princeton's Program on Science and Global Security) wamefanya utafiti wao kutokana na mvutano unaoendelea hivi sasa duniani wa...
5 Reactions
27 Replies
4K Views
Mchakato wa siasa wa Marekani umeshuka daraja. Kama walivyopanga madaraja ya uchumi, jamii, na siasa k.m dunia ya kwanza pili nakadhalika. Leo hii tunaona, leo hii ni historia ya "Demokrasia"...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Iran iliaandaa tuzo na zipo kwa muda mrefu wakampa Ugur Sahin mwaka 2019. Ugur Sahin kampuni yake na ubia wa Pfizer kampuni ya Marekani wakawa wakwanza kuja na Kinga ya covid-19. Ayatollah anadai...
4 Reactions
59 Replies
5K Views
Sriwijaya Air,Ndege ya abiria ya Indonesia ambayo iliripotiwa kupoteza mawasiliano mda mfupi baada ya kupaa kutoka uwanja wa ndege wa Jakarta,imeanguka ikiwa na abiria 62, Wizara ya usafirishaji...
3 Reactions
35 Replies
5K Views
Back
Top Bottom