International Forum

News and Stories from rest of the World
Mahakama Kuu ya Nchi hiyo imekataa jaribio la kutotambua matokeo ya Uchaguzi Mkuu katika Majimbo manne, licha ya Rais Donald Trump kushinikiza suala hilo. Kesi hiyo iliyowasilishwa wiki hii...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Iran yazindua kombora jipya la balestiki lifikalo umbali wa kilomita 700 baharini Kombora jipya la balestiki la baharini lililoundwa na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC liitwalo...
2 Reactions
42 Replies
6K Views
Qasem Soleimani, Jenerali wa vikosi vya kikurdi vinavyoungwa mkono na Iran, ameuawa na vikosi vya Marekani nchini Iraq. Pentagon imethibitisha kuwa aliuawa kufuatia "amri ya rais". Hayo...
18 Reactions
692 Replies
68K Views
Rais wa Ghana, Nana Akufo-Addo amechaguliwa kuongoza nchi hiyo kwa muhula mwingine. Amepata 51.6% ya kura zote huku mpinzani wake, John Mahama akipata 47.4% Mahama ambaye alikuwa Rais kuanzia...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Bunge la Wawakilishi nchini Marekani limepitisha azimio linalolenga kumzuia Rais Donald Trump kupigana vita na Iran. Bunge hilo ambalo linafahamika pia kama Kongresi limepitisha azimio hilo kwa...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Salaam kwenu wana Jamvi! Ebu angalia hawa matapeli wa Nigeria walivyobobea ktk Utapeli. THE Independent Corrupt Practices and other related Offences Commission and the National University...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini humo (FDA) imeidhinisha matumizi ya dharura ya Chanjo dhidi ya CoronaVirus kutoka Pfizer na BioNTech Rais Donald Trump amedai chanjo za kwanza zitatolewa chini...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Waziri Mkuu wa Msumbiji, Carlos Agostinho do Rosario amepinga wito wa wananchi kuwa na silaha katika Jimbo la Cabo Delgado ili kudhibiti mashambulizi ambayo yamekuwa yakiganywa na Wanamgambo mara...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Spika wa Bunge la DRC Jeanine Mabunda ameondolewa katika nafasi yake baada ya wabunge kupiga kura ya maoni dhidi yake iliyowasilishwa bungeni na Upinzani. Miongini mwa wabunge 484 katika Bunge...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Joe Biden amemteua aliekuwa General wa jeshi la U.S Lloyd Austin kama secretary wa ulinzi, anakuwa Mmarekani mweusi wa kwanza kushika nafasi hiyo. Huyu jamaa alikuwa kamanda wa vikundi vya...
6 Reactions
60 Replies
6K Views
Bunge la Iran limepitisha sheria ya kuwazuia wachunguzi wa Umoja wa Mataifa katika maeneo yao ya shughuli za kinyuklia na kuongeza uzalishaji wake wa Urani. Sheria hiyo itaitaka serikali...
4 Reactions
34 Replies
3K Views
Are you ready to feast your eyes on the strangest food in the world We all know that different cultures will provide different dishes, sometimes even bizarre dishes, but please wait until you...
0 Reactions
0 Replies
594 Views
Habari JF. Waziri mkuu wa zamani wa Congo Matata Mponyo na kiongozi moja wa kanisa, wamedai kwa nyakati tofauti kuwa Rais Kagame anataka kuipanua Rwanda. Mpango huo wa Kagame ni kushinikiza...
4 Reactions
51 Replies
8K Views
Serikali ya Uchina imerusha satelaiti angani katika harakati za kufanya majaribio ya teknolojia mpya ya 6G. Ikumbukwe mpaka kufika mwaka 2019 wao ndiyo wamekuwa taifa lililo mbele zaidi kwenye...
22 Reactions
108 Replies
11K Views
Waziri wa Afya nchini humo, Zweli Mkhize amesema nchi hiyo kwa sasa inakabiliwa na wimbi la pili la mlipuko wa CoronaVirus. Ametaja Majimbo yaliyoathirika zaidi kuwa ni Western Cape, Eastern...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Chama Kikuu cha Upinzani nchini humo, OFC kimetaka Viongozi wake kuachiwa huru kikisema itakuwa ngumu kujiandaa na Uchaguzi Mkuu bila wao. OFC pia imetaka Ofisi zake zilizofungwa kufunguliwa na...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Kampuni ya YouTube umesema utaanza kuondoa maudhui yanayodai udanganyifu katika Uchaguzi uliofanyika mwezi Novemba ulibadili matokeo Imesema mabadiliko hayo yatafanyika kwa video mpya, zikiwemo...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
hadi raha si kama hapa kwetu na hii Tume FAKE iliyojaa wahuni na majizi.
7 Reactions
48 Replies
4K Views
Polisi nchini humo wamesema watu watano wamefariki dunia kufuatia vurugu ambazo zimehusishwa na Uchaguzi Mkuu uliofanyika Jumatatu Katika taarifa yao, Polisi wamesema kumekuwa na mashtaka kadhaa...
1 Reactions
5 Replies
980 Views
Rais mteule wa Marekani Joe Biden ameuainisha mpango wake wa kupambana na janga la virusi vya corona katika siku zake 100 za mwanzo za urais huku akiahidi kwamba serikali yake itatoa chanjo...
1 Reactions
2 Replies
976 Views
Back
Top Bottom