International Forum

News and Stories from rest of the World

JF Prefixes:

Hapa sasa nachanganyikiwa niwe upande upi. Maana Uturuki ndo Ottoman Empire yenyewe na movies zake zinaoneshwa sana Azam. Sasa wanapopambana na Syria... Napata kigugumizi. Putin safi sana.
4 Reactions
5 Replies
680 Views
Hawa watu wamekuwa wabunifu tangu zamani na Walipewa hiyo roho na Mungu MWENYEWE
1 Reactions
4 Replies
273 Views
Update: Nimeleta habari za kisomi nashangaa kuna watu wameanza kuingiza mihemko ya kidini, Tatizo nini ? Katika kampuni za teknolojia, idara ya Utafiti na Ubunifu (Research and Design) inahusika...
10 Reactions
47 Replies
2K Views
Marekani inataka sana Israel isimamishe mapigano huku juu juu. Lakini kwa ndani ni kama inawaambia endeleeni kushikilia hapo hapo. Israel inaendeleza kipigo huko Lebanon ni kama haitaki mapigano...
0 Reactions
27 Replies
1K Views
Israel ni nchi yenye maajabu mengi Sana ya kushangaza. Nchi ya Israel ipo Katikati ya dunia ki geography. Ni karibu na Africa, Asia, Europe. Ukufika Israel, kuna bahari inaitwa dead Sea. Bahari...
14 Reactions
22 Replies
1K Views
Wababe wa kivita kutokea pande za redsea "Yemen", Wanamgambo wa Houthi wameenda Urusi kusaidia mapambano.Ripoti inasema idadi kubwa ya wanamgambo wamechukuliwa na Urusi kwenda kupigana na vikosi...
18 Reactions
158 Replies
5K Views
Na kweli ukiangalia kipindi chake Iran ilifulia vibaya mno, walibanwa kisawa sawa kwenye uchumi, Ni kipindi ambacho Iran na vikundi vyake walikuwa wanajifikiria mara nne nne kuishambulia Israel...
7 Reactions
58 Replies
2K Views
Katika kudhihirisha unafiki wake nchi ya Ufaransa ilitumia neno "Rais" wakati wa kuripoti habari iliyomuhusu Rais wa Gabon aliyeingia madarakani baada ya mapinduzi ilihali nchi hiyo hutumia neno "...
0 Reactions
7 Replies
480 Views
Rais wa mpito wa Chad, Mahamat Deby Itno Serikali ya Chad imeamua kusitisha makubaliano ya ushirikiano wa ulinzi na Ufaransa, ikiwa ni hatua ya kihistoria ya kujipambanua upya kuhusu uhuru wa...
2 Reactions
1 Replies
289 Views
Baada ya Donald Trump kuchaguliwa tena kuwa Rais, tunaweza kutarajia maendeleo makubwa kutoka kwa Elon Musk, hasa kwa sababu ya ushawishi wake mkubwa katika sekta za teknolojia, nishati, na anga...
5 Reactions
31 Replies
1K Views
Bunge la Uingereza (House Of Common) leo limepigia muswada kura muswada wa “assisted - dying” wa wagonjwa ambao wana terminal illness kuweza kusaidiwa kujiuwa. Wabunge 330 wamepiga kura ya ndio...
2 Reactions
5 Replies
365 Views
Wanaukumbi. ⚡RNN: Vyombo vya habari vya Kizayuni vinaripoti: "Siku ngumu kaskazini mwa nchi... maroketi yanaruka kama ndege, na tahadhari zinaendelea. Hezbollah inawadhihirishia wafuasi wake...
12 Reactions
137 Replies
4K Views
Mataifa ya Ulaya na Amerika yanaendelea kutoa onyo kwa Gaidi Benyamini Netanyahu zitamtia mbaroni na kumpiga tanganyika jeki atakapo gusa ardhi zao Pia, soma: Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu...
12 Reactions
273 Replies
7K Views
Ni wazi kuwa Iran ilishambulia makombora ya balistiki takriban 200 Jumanne jioni hii, kuelekea kwenye vituo vya kijeshi na kijasusi vya taifa la Israel kama shambulio la kulipiza kisasi lililoitwa...
6 Reactions
39 Replies
3K Views
Viwanda vya kusafisha mafuta ( oil refineries) vya barani Ulaya vimeanza kuonja joto la jiwe baada ya kiwanda cha kusafisha mafuta cha Dangote kuanza kufanya kazi. Kiwanda hicho cha Dangote...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Unaweza kuiita njia nyepesi ama ngumu kutokana na mtazamo wako ambayo Urusi yampasa au anaweza kuichukua ili kumdhibiti marekani dhidi ya hatua zake anazo chukua kupitia vita vya Ukraine katika...
5 Reactions
9 Replies
833 Views
Katika mgogoro wa Israel na Wapelestina ni wazi mpango wa mataifa mawili kama umeshakufa kimya kimya. Fursa moja kubwa iliyobaki ni uwepo wa taifa moja lenye kujumuisha jamii zote mbili za...
3 Reactions
34 Replies
909 Views
Kwa mara ya tatu katika historia ya mazayuni wanasalimu amri bila kupenda kwa Hezbollah. hdezbollah ni kikundi cha mgambo lkilichoanzishwa mwaka 1982 kwa lengo moja tu. Kuhakikisha mazayuni...
18 Reactions
83 Replies
2K Views
Utawala wa Saddam na Gaddafi ulichelewesha Sana Maendeleo ya haya mataifa. Kuondolewa Madarakani kwa Saddam Hussein na Gaddafi Kulionekana kwamba kungeleta Machafuko. Cha ajabu mataifa haya...
11 Reactions
39 Replies
2K Views
Wanaukumbi. Maafisa wa Hamas 'wanakaribia kufikia makubaliano ya mapatano' na Israel na kundi hilo limetoa majibu yake kwa wapatanishi wa Qatar, Ismail Haniyeh alisema katika taarifa. Taarifa...
5 Reactions
131 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…