International Forum

News and Stories from rest of the World
Somalia imesitisha safari za ndege zinazoingia na kutoka katika Uwanja wa Ndege wa Mogadishu, siku ya Jumatano ambapo uchaguzi wa Rais utafanyika. Ikiwa ni wa kwanza kufanyika katika kipindi cha...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana mgogoro huu wa sasa unaoendelea kati ya Armenia na Azbaijan (Nagono-Kalabah).Sasa kuna jambo linanishangaza na kuhusu kuharibiwa kwa mifumo ya ulinzi...
0 Reactions
3 Replies
965 Views
Ikiwa ni takriban mwezi mmoja baada ya mlipuko mkubwa kutokea Bandari ya Beirut, moto umeibuka katika eneo hilo Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya nchi hiyo, makampuni yaliyo karibu na Bandari...
4 Reactions
11 Replies
3K Views
Inakuwaje wanaJF! Trump aliporuhusiwa kutoka hospitalini alitaka kuchana shati lake kuwaonyesha waandishi na wafuasi wake T shirt ya Superman. Lakini secret service walimsihi sana asifanye hivyo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetunzwa Tuzo ya Amani ya Nobel kwa mwaka 2020 kufuatia jitihada zake za kupambana na baa la njaa Shirika hilo la Umoja wa Mataifa (UN) linakadiriwa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Muda mchache baada ya Tume kutangaza kuwa mdahalo wa pili wa Wagombea Urais utafanyika kupitia mtandao, Rais Trump amesema hatoshiriki kwasababu uamuzi huo unalenga kumlinda mpinzani wake, Joe...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Botswana aims to introduce Swahili language in the southern African country's local schools, a senior official said Tuesday. At a language teaching workshop in Francistown, Botswana's...
7 Reactions
41 Replies
5K Views
Kuna siku nilikaa na Mzimbabwe mmoja hivi akawa ananipa story za Zimbabwe sana sana sapota wa Mugabe, jamaa anasema Mugabe alIkuwa na wapambe wengi sana siku za mwanzo za yeye kuanza kushughulikia...
7 Reactions
16 Replies
2K Views
Upcoming Elections in Africa The United States is committed to supporting free, fair, inclusive elections. The conduct of elections is important not only for Africans, but also for defenders of...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Kuna mlipuko mkubwa sana umetokea Lebanon muda si mrefu, inasemekana silaha na milipuko ya Hezbolah ndio imeharibiwa na intelijensia ya Israel.. Picha linaendelea.. ==== Mlipuko mkubwa umepiga...
17 Reactions
319 Replies
35K Views
October 2020 Tanzania, the government appears to be restricting the opposition’s ability to even compete. Three African countries are gearing up for fraught presidential elections this month...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Moscow "haitakuwa na shida" kuuza mfumo wake wa ulinzi wa anga wa S-400 kwa Irani, Balozi wa Urusi Levan Dzhagaryan amesema. Air Defence Axis: Russia Would Have ‘No Problem’ Delivering S-400s...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Serikali ya Burundi inatarajia kuiburuza mahakamani Rwanda kwa madai ya kuwaunga mkono waasi na kusababisha mauaji ya raia wake wasiokuwa na hatia kutokana na machafuko yanayoendelea kutokea...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Serikali ya Singapore inawalipa wananchi wake katika kuwashawishi kuzaa watoto wakati huu nchi hiyo ikiendelea kukabiliana na janga la virusi vya corona. Mpango huo umekuja kutokana na hofu ya...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Citigroup imekubali kulipa faini ya Dola Milioni 400 kwa Mamlaka kutokana na changamoto za muda mrefu ndani ya Benki hiyo kupelekea ishindwe kusimamia ipasavyo shughuli zake za kila siku Mamlaka...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kila mtu atakuwa anafahamu namna picha za jela zilivyo kwa kuona mwenyewe kwa macho, kusikia au kuambiwa. Lakini pia kuna hadithi za uwapo wa maisha ya kifahari katika baadhi ya jela hasa katika...
5 Reactions
6 Replies
3K Views
Rais Lazarus Chakwera ametengua ahadi hiyo aliyotoa wakati wa Kampeni, akisema Serikali inaweza kuajiri watu 200,000 na sio Milioni moja Rais huyo amesema Serikali pekee haiwezi kutengeneza fursa...
2 Reactions
29 Replies
4K Views
CURRICULUM VITAE Full name: David William Concar Married to: Caroline Virginia North Children: Three 2020 FCO, Director, Protocol 2016 to 2019 Mogadishu, Her Majesty’s Ambassador 2014 to 2016...
4 Reactions
19 Replies
3K Views
Rais Donald Trump wa Marekani amesimamisha ghafla majadiliano na chama cha Demokratic juu ya mpango wa kusaidia kupunguza athari za kiuchumi zinazotokana na ugonjwa wa COVID-19, na kuhamishia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Rais wa Marekani ambae siku ya Alhamisi iliyopita aligundulika kuwa na virusi vya Corona na kukimbizwa hospitali ya hadhi ya nyota 5 ya Walter Reed Medical center mjini Maryland, ametangaza kuwa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom