Beijing inapanga kupanua wigo wa programu inayotoa chanjo ya majaribio ya #CoronaVirus, huku Watengenezaji wakilenga kuisambaza katika soko la kimataifa
Mwezi uliopita, Mwakilishi wa Taasisi ya...
Kuna vitu ambavyo huwezi kuamini kuwa kuna wema kim jung un anaweza kuufanya kwa raisi wa USA.
Lakin kwa rais Trump ni tofauti, inaonekana kim jung ametokea kumuelewa huyu jamaa tofauti na watu...
Mtu wa kwanza kutibiwa virusi vya ukimwi HIV - Timothy Ray Brown amefariki kutokana na saratani. Bwana Brown ambaye pia alijulikana kama mgonjwa wa Berlin alipandikizwa uboho kutoka kwa mtu ambaye...
World's Most Beautiful
Photo[Courtesy]
Architectures will never quit drawing building layouts that are distinct. In most parts of the earth, we encounter architectural skyscraper designs that...
Rais wa Afrika Kusini amemkata mshahara waziri wa ulinzi kwa miezi mitatu baada ya kuruhusu maafisa wa chama tawala kusafari kwa kutumia ndege ya jeshi hadi nchini Zimbambwe pamoja naye Septemba...
Afrika Kusini imefungua mipaka yake kwa wasafiri kutoka nchi za Afrika, lakini imedumisha vikwazo dhidi ya nchi ambazo zina viwango vya juu vya maambukizi ya corona ikiwa ni pamoja na Uingereza...
Vikosi vya uslama vyalaumiwa kwa kutekeleza mauaji. Vikosi vya uslama vyalaumiwa kwa kutekeleza mauaji Guinea
Shirika la kutetea haki la Amnesty International limesema karibu watu 50 wameuawa kwa...
According to the encyclopedia Britannica, a whistleblower, is “an individual who, without authorization, reveals private or classified information about an organization, usually related to...
Nakumbuka Tanzania na Msumbiji tuligundua gesi pamoja mwanzoni mwa 2010, wenzetu tayari wameshaanza kuwa ulaya ndogo, ila sisi hadi leo miaka karibu 10 baadaye hatuelewi ule wimbo wa 'uchumi wa...
Nimeangalia mdahalo mzima wa kwanza wa Urais wa Marekani uliofanyika hapo jana, na moja kati ya vitu nilivyogundua kwa haraka ni uwezo wa Trump kutawala jukwaa kwa kuingilia kila mara anapopata...
Kwa wale watu wanaofuatilia siasa za kimataifa ili kutanua uelewa wa siasa fuatilia US Presidential Debate 2020 Cleveland, Ohio saa 10.00 usiku. DSTV ALJAZEERA channel Namba 406 na News Room...
Rais wa Marekani na mgombea wa chama cha Republic, Donald Trump anatarajiwa kukutana uso kwa uso na mpinzani wake, Joe Biden katika mdahalo wa kwanza wa urais unaotarajiwa kufanyika baadaye hii...
UKOSEKANA KWA AMANI DUNIANI: UBEPARI NDIYO CHANZO
Tarehe 20, Septemba ya kila mwaka huadhimishwa kuwa Siku ya Amani Duniani. Mabepari baada ya kushindwa kuleta amani, usalama, utulivu na ustawi...
Mfanyabiashara huyo wa Marekani mwenye umri wa miaka 89 , hatimaye amefikia lengo lake siku chache ziliopita alipotoa dola ,milioni 8,000 kusimamia miradi ya hisani duniani.
Hivi sasa hana nyumba...
Vifo vinavyotokana na maabukizi ya virusi vya corona vimezidi watu milioni moja, kwa mujibu wa takwimu za Chuo Kikuu cha John Hopkins, huku Shirika la Afya Duniani likionya kuwa idadi hiyo inaweza...
Matangazo ya moja kwa moja kupitia Television za CNN, Fox News, BBC, Aljazeera, Sky News etc
Baadae Wagombea hao watafanya Midahalo mingine miwili kabla ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Novemba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.