International Forum

News and Stories from rest of the World
Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa ametoa wito kwa mataifa mengine ulimwenguni kuiunga mkono bara la Afrika ili liweze kujenga upya uchumi ulioathirika kufuatia mlipuko wa COVID19 Akizungumza...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
EU imesema Alexander Lukashenko sio Rais wa nchi hiyo halali na uapishwaji wake wa ghafla uliofanyika jana umeenda kinyume na matakwa ya wananchi Umoja huo umesema uapisho wake umekosa uhalali wa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wanajeshi wa korea kaskazini wameonyesha mfano wa kutovumilia yoyote anayehatalisha hali ya usalama ya taifa hilo. Wanajeshi wa kim jong un jumanne ya wiki hii wamemchoma moto na kumpiga risasi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Rais wa Marekani Donald Trump ameapa kujibu mara "1,000’," kwa shambulio lolote la Iran. Hii ni baada ya taarifa kwamba Iran ilikuwa inapanga kumuua balozi wa Marekani nchini Afrika Kusini, Lana...
8 Reactions
60 Replies
6K Views
#ALGERIA KUAGIZA SU-57 Taarifa nyepesi nyepesi zinasema Jeshi la anga nchini Algeria limesaini upya makubaliano kuagiza ndege 14 za kivita za kizazi cha tano kutoka #Urusi aina ya #Sukhoi #Su_57...
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Mkurugenzi wa Kituo cha Kudhibiti magonjwa (CDC) barani humo, Dkt. John Nkengasong amewasifu viongozi kwa kuunga mkono jitihada za pamoja kukabiliana na mlipuko huo Amesema mikakati ya kuongeza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Rais wa Belarus, Alexander Lukashenko (66) ameapishwa rasmi kutumikia muhula wake wa 6, hafla ambayo wapinzani wamedai ni kinyume cha Sheria Hafla hiyo ambayo kwa kawaida ingetangazwa kama tukio...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Ripoti za hivi karibuni zinasema Iran inajipanga kumuua Balozi wa Marekani nchini Afrika Kusini ili kulipiza kisasi kwa kuuawa kwa Qassem Soleiman aliyekuwa Mkuu wa Vikosi vya Quds Marekani...
2 Reactions
44 Replies
5K Views
Kuwaua wageni nakunyang'anya mali zao sio utu.Hata Marekani imeendelezwa na wageni Fanya hivi fanya kampeni ya kuchunguza wageni wanaoishi kinyume na sheria warudishe kwao hata nchini Tanzania...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Mfanyabiashara wa zamani, Ren Zhiqiang ambaye pia ni mkosoaji mkubwa wa Rais wa China, Xi Jinping amehukumiwa kifungo cha miaka 18 kwa tuhuma za ufisadi Mahakama Mjini Beijing imemkuta na hatia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Katika miaka 49 iliyopita tangu China irejeshewe kiti chake halali kwenye Umoja wa Mataifa mwaka1971, imekuwa ikitoa msaada na mchango mkubwa na kuwa mshiriki hai kwenye shughuli mbalimbali za...
1 Reactions
0 Replies
834 Views
Umoja wa Mataifa unatimiza miaka 75 mwaka huu; Mkutano Mkuu wa Baraza la Umoja wa Mataifa ulitakiwa kuwa mkutano mkubwa hasa kutokana na kusherehekea Jubilee hiyo ya Platinamu. Kama ilivyokuwa kwa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mamlaka nchini Niger zimeahirisha kufunguliwa Shule kufuatia mafuriko ambayo yamesababisha vifo zaidi ya 70 na kupelekea mamia kukosa makazi Idadi kubwa ya wahanga wa mafuriko hayo wamepatiwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Islamic State (IS, formerly ISIS/ISIL) has claimed responsibility for the terrorist attack in Manchester on Monday night. According to Amaq, a news outlet linked to the terror group, an IS member...
1 Reactions
400 Replies
26K Views
Kitabu cha Rais wa zamani wa Marekani kitakuwa mitaani siku chache baada ya uchaguzi wa Novemba 3, kwa mujibu wa taarifa ya Kampuni ya Penguin Random House mchapishaji wa kitabu hicho, iliyotolewa...
4 Reactions
9 Replies
3K Views
Waziri Mkuu, Boris Johnson leo ametangaza masharti zaidi ili kudhibiti maambukizi ya COVID19. Amesema anatarajia masharti hayo yatakuwepo kwa muda wa miezi 6 Amewataka wanaoweza kufanya kazi...
0 Reactions
0 Replies
925 Views
November 4, 2019 Source: Roland R. Martin More info: AFRICAN UNION (AU ) FACES A BACKLASH AFTER TERMINATING AMBASSADOR'S APPOINTMENT By Bukola Adebayo of CNN The African Union is facing a...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Bah Ndaw aliyekuwa Waziri wa Ulinzi ameteuliwa kama Rais wa Serikali ya mpito, na Kanali Assimi Goita aliyeongoza mapinduzi ya kijeshi mwezi Agosti atakuwa Makamu wa Rais Jumuiya ya Kiuchumi ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
COVID-19 has rapidly affected our day to day life (health, social and economy, businesses disrupted the world trade and movements). This virus creates significant knock-on effects on the daily...
1 Reactions
0 Replies
623 Views
UPDATE: 21/08/2020 Nchi tatu za EU ambazo ni UK, France na Germany zimekataa kutii mapendekezo ya US juu ya kurejesha vikwazo dhidi ya Iran katika misingi ya JCPOA. Nchi hizo zina sema US hana...
12 Reactions
184 Replies
24K Views
Back
Top Bottom