International Forum

News and Stories from rest of the World
Rais wa Belarus Alexander Lukashenko amesema kwamba wanapaswa kuandaa jeshi kwa ajili ya vita kwa sababu ya hatari zilizoelekezwa kwa nchi yake kutoka Magharibi, "Lazima tufunge mipaka na...
4 Reactions
49 Replies
5K Views
Mvutano kuhusu mchakato wa kugombea Urais umetokea baada ya aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Konan Bedie kutaka uamuzi wa Mamlaka kupingwa, kufuatia Rais Alassane Ouatarra kugombea muhula wa 3 Bedie...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baada ya miaka 54 tangu iwe huru,leo taifa la Barbados limeamua kumuondoa Malkia Elizabeth II wa UK kama kiongozi wa juu wa taifa hilo. Mataifa mengine kama Canada na Jamaica yanaendelea kumtambua...
5 Reactions
20 Replies
4K Views
Bunge la Japan limemthibitisha Yoshihide Suga kuwa Waziri Mkuu mpya wa Japan, akichukua nafasi ya Shinzo Abe ambaye amejiuzulu kutokana na changamoto za kiafya. Suga, mwenye umri wa miaka 71...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Wanakijiji ambao walikamatwa na Polisi kwa makosa ya kutokuvaa barakoa wamepewa adhabu ya kuchimba makaburi ya watu waliokufa kwa maambukizi ya CoronaVirus Adhabu hiyo imelenga kuwafanya waone...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Saudi Arabia announced Wednesday that it would allow any flights going to and from the United Arab Emirates to fly over its territory, a move that would give Israel access to some of the kingdom’s...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Wakuu salaam. Nasubiri kwa hamu kusikia wakubwa zangu mtu chake zitto junior mng'ato Na wengine wadau wa siasa za maziwa makuu mngesema neno kuhusu kurejea kwa Kabila Joseph kwenye seneti ya Congo...
5 Reactions
37 Replies
4K Views
Raia wa Marekani anayeshikiliwa nchini Venezuela kwa madai ya kufanya ujasusi nchini humo hakutumwa na serikali ya Marekani, taarifa ya kiongozi wa ngazi ya juu katika serikali ya Marekani...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Afrika Kusini ilitekeleza amri ya kutotoka nje tarehe tarehe 27 MachiImage caption: Afrika Kusini ilitekeleza amri ya kutotoka nje tarehe tarehe 27 Machi Afrika Kusini, ambayo ilikuwa ni moja ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuanzia 1 October safari za kutoka na kuingia South Africa zimerejea. Pongezi kwa awamu ya tano sorry pongezi kwa Ramaphosa ====== SOUTH Africa’s borders including Beitbridge Border Post will...
1 Reactions
2 Replies
850 Views
Wanajihad kaskazini mwa Msumbiji waliviteka visiwa viwili vidogo vya bahari hindi na kutishia usafiri wa baharini katika eneo hilo ambapo mradi wa gesi yenye thamani ya mabilioni ya madola...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Hivi majuzi, Umoja wa Mataifa umepitisha azimio moja kuhusu maambukizi ya virusi vya Corona kwa kura 169 za ndiyo dhidi ya kura 2 za hapana. Marekani na Israel zimekuwa nchi pekee zilizopiga kura...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Iran imemnyonga bingwa wa kupiga filimbi ambaye alidai kuwa aliteswa kwa kuchukuliwa video akilazimishwa kufanya maungamo ya uongo kwenye kesi ambayo iliibua kilio cha kimataifa. Navid Afkari 27...
5 Reactions
20 Replies
3K Views
Rais wa zamani wa Ivory Coast Laurent Gbagbo amezuiwa kugombea urais katika uchaguzi ujao baada ya mahakama kuidhinisha uamuzi wa tume ya uchaguzi. Wakili wake Claude Mentenon amelimbia shirika...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wapendwa Wenzangu wa JF, Kama tujuavyo, taifa langu China sasa linakabiliwa na changamoto kubwa. Virusi vya korona vinalivamia taifa langu, viwe vikali zaidi siku za mbele. Virusi hivyo vimewaua...
26 Reactions
148 Replies
14K Views
Katika interview ya tarehe 2 November mwaka 2007 chini ya miezi miwili kabla ya kuuwawa kwake, Benazir Bhutto aliulizwa na mwanahabari wa idhaa ya kiingereza ya television ya aljazeera bwana David...
9 Reactions
76 Replies
19K Views
Col. Muammar Gaddafi, an African soldier who became known for his great ideas to liberate Africa from the yoke of neocolonialism. Under Gaddafi, Libya had foreign reserves of $150 billion and 0...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Rais Donald Trump amezungumza kuhusu vitendo vya kuondolewa kwa sanamu za viongozi mbalimbali nchini humo akisema ni kampeni iliyolenga kufuta historia Ameongeza kuwa vitendo hivyo vilivyofanywa...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Makosa hayo yamefanywa na Taasisi ya Public Health Wales ya nchini Wales na taarifa hiyo ilidumu mtandaoni kwa takriban saa 20 Kwa sehemu kubwa taarifa hizo zilionesha tarehe za kuzaliwa, maeneo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Raia wa Nigeria walioshiriki "Kuchakachua" matokeo ya Uchaguzi wa Majimbo hawataruhusiwa kuingia nchini Marekani baada ya kuwekewa vikazo Imeelezwa kuwa uchaguzi uliofanyika mwaka jana katika...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom