International Forum

News and Stories from rest of the World
The victim, a 19-year-old Dalit woman, died earlier this week from injuries sustained during an alleged gang rape by four upper-caste men. Local police have been accused of mishandling the...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Chama kikubwa zaidi cha Wafanyakazi nchini humo, COSATU kimeitisha mgomo wa kitaifa na kuwataka wanachama wake zaidi ya Milioni 1 kutofanya kazi na kuandamana. Wafanyakazi hao wana madai...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mungu Mbariki D.Trump! Rais Trump wa Marekani amerejea Ikulu baada ya kutoka hospitali alipowekwa baada ya kukutwa na Virusi vya Corona Amevua barakoa baada ya kufika ikulu Mwanzo mpinzani wake...
1 Reactions
2 Replies
987 Views
Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) imeondoa vikwazo vilivyowekwa dhidi ya nchi hiyo kufuatia mapinduzi ya kijeshi yaliyomuondoa Ibrahim Boubacar Keita madarakani Hatua hiyo...
0 Reactions
1 Replies
914 Views
Siri ya Netanyahu na mkewe kubeba nguo chafu Marekani ili zikafuliwe bure hotelini yafichuka Gazeti la Washington Post limefichua kuwa, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Inasikitisha kuona baadhi ya watu wakitumia jina la Marekani kueneza propaganda za kisiasa. Nimewasikia baadhi ya wajinga wakijigamba kuwa nchi fulani ina demokrasia ya juu kuliko Marekani! Sasa...
2 Reactions
2 Replies
813 Views
Ralph Lopez Contact Author Dr. Mike Yeadon In a stunning development, a former Chief Science Officer for the pharmaceutical giant Pfizer says "there is no science to suggest a second wave should...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nobel prize ya Physics 2020 inakwenda kwa Mjerumani, Muingereza Roger Penrose na USA, kwenye kazi yao kuhusu. ,,black holes“. BREAKING NEWS: The Royal Swedish Academy of Sciences has decided to...
0 Reactions
0 Replies
819 Views
Trump na mke wake Melanie wakutwa na virus vya Corona. Rais wa Marekani Donald Trump na mkewe wakutwa na #CoronaVirus, amesema ataanza kukaa karantini haraka iwezekanavyo Rais Trump alipima...
4 Reactions
58 Replies
6K Views
Kauli ya Trump baada ya kurejea White House Rais wa Marekani, Donald Trump ameruhusiwa kurejea ikulu ya Marekani, White House, hapo siku ya Jumatatu baada ya kulazwa katika hospitali ya kijeshi ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Rais George Weah (54) amesema amekuwa akipokea mamia ya ujumbe yenye maudhui ya matusi na malalamiko kutoka kwa wanaodai kuwa wafuasi wake ambao wamekasirishwa kwasababu hawasaidii Rais huyo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Rais Donald Trump amefikishwa Hospitali ya Jeshi baada ya kupata maambukizi ya COVID19 Kwa mujibu wa Daktari wake Sean Conley, Rais huyo amepewa kingamwili ya majaribio na alikuwa na uchovu...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
Nipo Mascut nchini Oman. Nimeingia kwenye chumba cha mahakama asubuhi hii kusikiliza kesi ya mmoja wa wanafamilia. Kabla kesi yetu kutajwa nikasikia kesi mchanganyiko. Iliyonivutia ni hii ya...
2 Reactions
7 Replies
818 Views
Nawaza tu. Kwamba ni nchi gani yenye ubavu wa kumkataria secretary of state wa USA kuingia nchini kwao isiweze kulimwa vikwazo kama mvua. Majuzi Vatican imemkataria Pompeo kuingia Vatican kama...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Bwana Trump aliishia kutukana na kusema uongo, kutumia nguvu ku present urguments, interference kwa mwenzake wakati anaongea ... na vitu kama hivyo.! Hayo ndiyo matokeo ya CNN Instant poll!
5 Reactions
29 Replies
3K Views
BBC wameripoti kuwa miongoni mwa mataifa ya Afrika, Senegal imefanya vyema katika mapambano ya Covid 19. wamesema bila kupepesa macho. hongera Senegal kwa kutuwakilisha vyema Waafrika. ======...
0 Reactions
0 Replies
490 Views
Rais wa World Bank, David Malpass amesema janga la CoronaVirus linaweza kusababisha changamoto ya madeni katika baadhi ya nchi Amesema wawekezaji wawe tayari kutoa misaada ambayo inaweza...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Belarus leo imesema kuwa inauwekea Umoja wa Ulaya vikwazo kama jawabu la umoja huo kuwawekea vikwazo maafisa wake kufuatia uchaguzi uliokumbwa na utata uliompa tena ushindi rais Alexander...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Kuwasili shehena mpya ya nishati ya mafuta ya Iran nchini Venezuela Sep 30, 2020 02:41 UTC [https://media] Licha ya vizingiti, ukwamishaji mambo na mashinikizo ya Marekani, shehena ya pili ya...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Vatican imemkatalia waziri wa mambo ya nje wa Marekani, Mike Pompeo kuonana na Papa Francis. Kiongozi huyo wa juu wa Kanisa Katoliki ameelezwa kuwa hawapokei wanasiasa wakati wa kipindi cha...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom