Joe Biden stands a 71.1% chance of winning the Electoral College, according to the Sept. 7 run of poll aggregator FiveThirtyEight’s election forecasting model. He is predicted to win 334 of 538...
Maonyesho ya Kimataifa ya Biashara ya Huduma ya China kwa mwaka 2020 yamefanyika mjini Beijing kuanzia tarehe 4 hadi 9 Septemba yakiwa na kaulimbiu ya "Kutoa Huduma Duniani, Kuleta Faida ya...
Majaribio ya mwisho ya kimatibabu kwa ajili ya chanjo ya virusi vya corona , iliyotengenezwa na AstraZeneca pamoja na Chuo Kikuu cha Oxford yamesitishwa baada ya mshiriki kuugua kutokana na athari...
China 'kujenga' kambi za kijeshi Tanzania na Kenya
Jeshi la China
Getty ImagesCopyright: Getty Images
China inafikiria kujenga kambi za kijeshi katika nchi nne za Afrika, kwa mujibu wa ripoti ya...
More than a dozen California firefighters trying to protect a fire station in rugged mountains were overrun by flames Tuesday, and several were hurt. Elsewhere, military helicopters rescued more...
Waandamanaji nchini Afrika Kusini wamewalazimisha wenye maduka ya dawa na vipodozi kufunga maduka yao, baada ya kurushwa kwa tangazo la nywele ambalo wanadhani kuwa la ubaguzi wa rangi.
Tangazo...
CHAD: MAGAZETI 12 YAFUNGIWA KWA MADAI YA KUKIUKA SHERIA
Mamlaka inayosimamia vyombo vya habari nchini humo imeyafunga magazeti 12 kwa muda wa miezi 3 kwa madai yamevunja Sheria. Matano kati yao...
Kiongozi wa upinzani Venezuela Juan Guaido amelitaka jeshi la nchi hiyo kuunga mkono hatua ya kususia uchaguzi wa bunge unaopangwa Desemba na kusaidia kuongeza shinikizo la kimataifa dhidi ya Rais...
Makamu wa kwanza wa Rais nchini humo, Amrullah Saleh amenusurika shambulio la bomu ambalo limesababisha vifo viwili na majeruhi 12
Imeelezwa kuwa, Saleh na msafara wake walikuwa wanaelekea...
England to limit gatherings to six amid coronavirus resurgence
At least 2,460 new infections were reported on Tuesday - a sharp rise from levels of around 1,000 per day in August.
September 9...
Uchumi wa nchi hiyo umeporomoka kwa asilimia 51 katika kipindi cha robo ya pili ya mwaka 2020 kufuatia mlipuko wa CoronaVirus
Kuanzia mwezi Machi, Afrika Kusini ilitangaza amri ya kutotoka ndani...
Recently there has been a xenophobic violence against Africans in South Africa. Now the violence is spreading and becoming more powerful. The truth is that, South African-owned chain stores and...
Facebook imetangaza kuifungia kwa muda akaunti ya Raia wa Ufaransa Alain Cocq(57) ambaye ametangaza kuwa ataruka LIVE Facebook wakati akiwa anakata roho, Alain amepanga kufanya hivyo ili kupaza...
Tofauti na matarajio ya wengi, utafiti uliofanywa na Shirika la Centre for Economic Policy Research na Jarida la World Economic Forum umebaini kuwa mataifa yanayoongozwa na wanawake yana kiwango...
Mwaka 2020 hautasahaulika katika kumbukumbu za watu kwani ni mwaka ambao umebadilisha historia ya binadamu. Watu wamelazimika kuingia vitani kupambana na adui ambaye haonekani wala hashikiki. Adui...
Inakuwaje wanaJF!
Ni rahis sana kwa mkristo kuwa Muislam kuliko Muislam kuwa Mkristo kwasababu kwa wakristo wengi kuna uhuru na siyo kulazimishwa na hakuna kutishiwa kuuwawa kama kwa Waislam...
Wakuu wa Mataifa ya Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) wamewapa Wanajeshi wanaoshikilia madaraka hadi Septemba 15, 2020 kumtangaza Rais na Waziri Mkuu wa nchi hiyo
Rais wa...
Miaka ya 1960 [1960s] na 1970 [1970s], nchi ya Nigeria ilikuwa imeghubikwa na mapinduzi ya kijeshi kwa serikali zilizokuwepo madarakani kwa nyakati hizo.
Moja ya njia zao za kukabiliana na...
Inakuwaje Wanajamvi!
Utitiri wa mataifa ya Kiislamu kutaka urafiki na Israel unaongezeka.
Kosovo tayari wamekubali kuwa marafiki na Israel japo kuna minong'ono ya hapa na pale kutoka kwa wafia...
Mtandao wa Twitter umethibitisha kudukuliwa kwa akaunti hiyo na kueleza kuwa wadukuzi wakuwa wakiwaomba wafuasi michango ya fedha kupitia sarafu za mtandaoni (cryptocurrency)
Tukio hili linajiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.