International Forum

News and Stories from rest of the World
Mamlaka nchini humo zimetangaza hali ya dharura kwa muda wa miezu mitatu ikisema nchi hiyo ni eneo la maafa ya asili baada ya mafuriko kusababisha vifo vya watu zaidi ya 90 Waziri wa Kazi, Lena...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Watu 300 waliokuwa wakiandamana wamekamatwa Hong Kong na jeshi la polisi kufuatia kukiuka agizo la nchi hiyo la kuwazuia kuandamana. Mamia ya waandamanaji walikuwa wamejitokeza barabarani...
0 Reactions
0 Replies
922 Views
Kisa hiki kimemhusisha Mzee wa miaka 80 anayeishi katika Kijiji cha Parcoul-Chenaud huko Dordogne Kusini mwa Ufaransa. Mzee huyo alikuwa akijiandaa kula chakula cha usiku ndipo aliposikia sauti...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Polisi wametumia mabomu ya machozi kutawanya makundi ya waandamanaji waliokusanyika kupinga uamuzi wa Serikali kusogeza mbele Uchaguzi wa Bunge. Imeelezwa kuwa, takriban watu 300 wamekamatwa kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nchini Zambia, Mfanyakazi wa benki ya ZANACO amesimamishwa kwa kulala na wanaume zaidi ya 200 wateja na wateja wanaotafuta kazi, kwa mujibu wa ripoti ya ZambiaObserver. Mwanamke huyo ametambuliwa...
5 Reactions
58 Replies
12K Views
Kulingana na habari katika gazeti la "Washington Post", Msemaji wa White House Judd Deere amesema kuwa Marekani haitashiriki katika Mpango wa Chanjo dhidi ya Covid-19 (Covax), ambao unaratibiwa na...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Papa Francis amekemea tabia hiyo na kusema ni mbaya kuliko ugonjwa wa mlipuko wa #COVID19 Akihubiri katika misa ya Jumapili ya leo Jijini Roma Italia, Papa Francis amesema Shetani ni Mdaku...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
- US President Donald Trump's former lawyer Michael Cohen will be releasing a book revealing intimate details of his relationship Trump - Cohen reveals that back in 2018 when Trump made his...
0 Reactions
0 Replies
683 Views
Nchi za Ulaya zinaonekana kupigwa na wimbi la pili la #CoronaVirus kutokana na kurekodi maambukizi mapya makubwa ndani ya muda mfupi Wataalamu bado wanashuku kutangaza kuwa hilo ni wimbi la pili...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Moja kwa moja kwenye mada. Afrika Kusini wamezifunga tena shule zote kwa mwezi mmoja wanapoendelea kupambana na ugonjwa huu. Mapambano ni pamoja na tathmini ya wazi ya mirejesho pasipo na...
5 Reactions
173 Replies
10K Views
Yametimia, Joe Biden keshachagua mgombea mwenza. Nilikuwa nasoma sehemu kwamba Democrats walishauri achague mgombea mwenza mwanamke tena mweusi: Binafsi nilihisi labda wanatania au wameenda mbali...
3 Reactions
81 Replies
8K Views
Rais wa Marekani Donald Trump amewaambia watu katika jimbo la North Carolina wapige kura mara mbili katika uchaguzi wa mwezi Novemba, licha ya kwamba kufanya hivyo ni kinyume cha sheria. Bwana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nchi ya Equador iliyoko Amerika ya kusini ndio nchi ambayo iko karibu kabisa na mwezi na nyota duniani Ukiwa kule kwenye mlima Chimborazo ulioko nchi hiyo nyota na mwezi unaziona juu karibu na...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Paul Rudesabagina ambaye aliwasaidia Wanyarwanda wengi wakati wa Mauaji ya Kimbarikwa kuwahifadhi kwenye Hoteli aliyokuwa anaiongoza akamatwa Ujasiri wake ulipelekea kutengenezwa kwa filamu...
8 Reactions
135 Replies
14K Views
Incident at port of Bushehr latest in series of fires and blasts that could be part of sabotage campaign Wed 15 Jul 2020 14.27 At least seven vessels have caught fire in a southern Iranian...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Chuo Kukuu cha Namibia kitengo cha sayansi ya mifugo kinawafundisha mbwa kubaini virusi vya corona kwa kunusa. Mpango wa nchi hiyo ni kuwapelea mbwa hao katika viwanja vya ndege na vituo vya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Uingereza, Tim Davie amewazuia watumishi wa ashirika hilo kuandika mambo ya kisiasa katika mitandao ya kijamii inayoonyesha mrengo wao wa kisiasa...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Lofa huyo kutoka Afrika Kusini aliwavunja watu mbavu baada ya kuwakusanya mifugo wake na kufanya mkutano nao - Kwenye kanda hiyo iliyopakiwa Twitter, lofa aliwaeleza mifugo wake chakula kitakuwa...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Mamlaka katika Mji Mkuu wa Addis Ababa,Ethiopia unapanga kutoa bure maelfu ya mikate kwa wakazi kama sehemu ya sherehe za kuadhimisha mwaka mpya wa Ethiopia 2013. Ruzuku hiyo ya siku moja...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Safari za ndege ndani ya Nigeria zilirejelewa Nigeria imepiga marufuku mashirika ya ndege kutokanchi kadhaa kuhudumu nchini humo kuanzia Jumamosi hii. Mashirika kumi ya ndege yamezuiliwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom