International Forum

News and Stories from rest of the World
Kuna vingi na mengi yaliyokuwepo, yapo na yatatokea Middle East, Hebu weka kinachokukera, kufurahisha, kusikitisha na kukukereketa kuhusu hii Mashariki ya kati, nchi, race, zone, politics na future.
2 Reactions
110 Replies
8K Views
Ni hivi Russia iliwatandika na kuwauwa Waislam wengi sana kule Chechnya kwenye harakati zao za kujitenga, hayukusikia kelele kutoka kwa hawa jamaa zetu. Ingekuwa Marekani au Israel sasa makelele...
0 Reactions
3 Replies
973 Views
PANAGYURISHTE, (BM) – Russian air defense systems S-400 and S-500 are advertised in the press and are in demand in many countries. However, are they effective? Experts wanted to answer this...
2 Reactions
124 Replies
10K Views
Jana zilitoka habari za ndani au chini ya kapeti kua nchi ya Italia inafikiria kuitenga Huawei kwenye mfumo wake wa mtandao wa 5G. Juzi pia zilitoka habari kua Marekani inaishinikiza Brazil...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Kutana na soko la wanyama pori nigeria
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa walioskiza hotuba yake Leo, ni ukweli kwamba ni itaingia katika Historia kama hotuba ya kipekee katika karne ya 21. Mambo aliyotaja, kama Magufuli angemsikiliza angejiuma kidole lakini pia...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Wanasema Nigeria vituko na matukio yasiyo ya kawaida ni vitu ambavyo sio vipya na vinatokea mara kwa mara Mkurugenzi wa taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa bwana Ibrahim Magu amekamatwa kwa...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Marekani imetangaza rasmi kujitenga na Shirika la Afya Duniani, WHO. Rais wa Marekani Donald Trump amekuwa akililaumu shirika hilo kwa kushindwa kudhibiti CoronaVirus Mei 29, Rais Trump...
5 Reactions
83 Replies
7K Views
COVID-18 has exposed the emptiness of popularism. The emptiness of popularism is being laid bare Those who purposely lie and misinform in a pandemic are worthless, they bring nothing good to the...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Hii hatari sana kuwa na kinu cha nyuklia ambacho kinashambuliwa kizembe hivi, yaani ni kama huwa wanatumiwa ujumbe wa salamu, kwamba muda wowote wanaweza kusambaratishwa kwa kutumia vitu vyao...
4 Reactions
184 Replies
14K Views
Serikali ya ufaransa imesema haina mpango wa kuipiga marufuku Huawei kufanya kazi ndani ya nchi hiyo ila imesisisitiza kampuni za simu kuepuka Huawei. Kuna kampuni tayari zilishapewa kibali cha...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Ripoti za Umoja wa Mataifa zimesema takriban Raia 800 wameuawa Mashariki mwa Congo na wapiganaji wa ADF kwa miezi 18 ukianzia Januari mwaka 2019 Kesi zinazohusika na Uvunjaji wa Haki za...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
F-22 Raptor CRASHES, pilot in stable condition ---- Ndege ya Jeshi la Marekani imeanguka wakati wa mafunzo huko Florida, Rubani amepona baada ya kutua salama --- A US Air Force F-22 Raptor jet...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mkurugenzi wa shirika la FBI nchini Marekani amesema kwamba vitendo vya upelelezi na wizi unaotekelezwa na serikali ya China ni tishio la muda mrefu kwa Marekani Akizungumza katika Taasisi ya...
4 Reactions
35 Replies
3K Views
Liberia ilikuwa nchi ya kwanza barani Afrika kuwa na raisi mwanamke. Raisi ambaye aliifanya Liberia kujivunia kwa rekodi hiyo. Bi. Elen Jonhson mshindi wa tunzo ya kimataifa ya Amani ya Nobel...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Since Covid-19 introduced itself to us, in middle November last year, The world tried it very best to suffocate the virus as quickly as possible, But despite these effort, the virus still went...
0 Reactions
3 Replies
810 Views
Waziri Mkuu wa Ivory Coast, Amadou Gon Coulibaly amefariki dunia ghafla baada ya kuzimia, Bw Coulibaly alizimia ghafla wakati akiwa kwenye kikao cha Mawaziri Baada ya kuzimia alichukuliwa ni...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Kundi la waandamanaji nchini Marekani limeangusha sanamu la Christopher Columbus na kulitupa majini kwenye bandari ya mjini Baltimore hapo jana usiku, baada ya Rais Donald Trump kuahidi kulinda...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya nje ya China Bw. Zhao Lijian amesema, serikali ya China imekubali Shirika la Afya Duniani WHO kutuma wataalamu kuja China kutafuta chanzo ya virusi vya Corona. Bw...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanasayansi wameonya juu ya uwezekano wa kuwepo kwa uharibifu wa ubongo kunakohusiana na #CoronaVirus baada ya vithibitisho vipya kuonesha hatari hiyo Utafiti uliofanywa na Watafiti wa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom