Mamilioni ya wakazi wa Beijing wamerejea kuishi kwa masharti kufuatia ongezeko la visa vya Corona ambapo Mamlaka zimeripoti visa vipya 31
Baadhi ya safari za ndege na zile za reli zimepigwa...
Mwafrika aokoa maisha ya mzungu mwenye chuki kali za kibaguzi nchini Uingereza + Video
Kitendo cha uungwa na kiwango cha juu cha ubinadamu kilichooneshwa na raia mmoja wa Uingereza mwenye asili...
93% ya mauaji ya mtu mweusi USA yanafanywa na mtu mweusi mwenyewe
Pia 52% ya mauaji yote yanayofanyika USA yanafanywa na watu weusi japokuwa wao Ni 14% tu ya watu wote USA
Kuna na magenge ya...
Rais wa Urusi Vladmir Putin amesema Warusi wengi zaidi wameunga mkono mpango wake wa mabadiliko ya katiba ili kumpa mwanya wa kubakia madarakani, Putin amesema Raia wengi nchini humo wamekubali...
Rais Donald Trump wa Marekani amesaini amri ya rais kuhusu utendaji wa polisi, na kutoa agizo la kuchukua hatua dhidi ya ukatili wa polisi na ubaguzi wa rangi.
Hatua hiyo imekuja wiki tatu baada...
ISIS warlords have ordered their twisted followers to avoid heading to Europe over fears they will catch the coronavirus.
The death cult - which has long called for bloody attacks on the West -...
Wataalamu wa Afya wamejipanga kutafuta watu takriban 200,000 waliotembelea soko la Xinfadi ambalo limetajwa kuwa kitovu cha mlipuko mpya wa COVID19 nchini China
Beijing imerekodi visa zaidi ya 70...
SharedUK to merge aid department with foreign ministry
Mr Johnson announced the changes in parliamentImage caption: Mr Johnson announced the changes in parliament
The UK government is to merge...
Published: 28th April 2020 02:17 PM | Last Updated: 28th April 2020 02:30 PM | A+A A-
SEOUL: While Kim Jong Un's two-week absence has inspired speculation and rumors that he is gravely ill...
Rais wa Jamuhuri ya Urusi Bwana Vladimir Putin amekosoa vikali maandamano yanayoendelea nchini Marekani ya kupinga ubaguzi na kusema yale sio maandamano bali ni fujo.
Putin anasema zile ni fujo...
Floyd kauawa imekuwa ishu kubwa na kupelekea baadhi ya nchi za kiafrika kuandamana, ni ulimbukeni tu!
Ninyi mnaocomment humu na kupost mada zenu kuhusu kusikitishwa alichofanyiwa Floyd je...
A joint operation by members of the Zimbabwe Republic Police and the military have launched flash roadblocks all over Bulawayo barring any civilian from entering the Central Business District...
While the American regime is blatantly violating all norms of international law, its President is urging people of the world including Tanzania to abide by "law and order" at a time when violent...
Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Bibi Hua Chunying leo ametangaza kuwa, rais Xi Jinping wa China kesho hapa Beijing ataendesha na kuhutubia mkutano maalumu wa kilele wa ushirikiano kati...
Leo nimevutiwa kufanya uchambuzi wa kitendo cha Marekani kuiita mahakama ya jinai ya kimataifa (ICC) kua ni ya bandia na kutishia kuzuia Mali za maafisa wa mahakama hiyo. Marekani pia imetishia...
ACCORDING to former Conservative Leader and now Tory peer, Lord William Hague, lockdown is a "disaster for our society."
Lord Hague’s reasoning is down to the fact the lockdown measures the UK...
Niliusoma ule ujumbe wa waziri wa mambo ya nje wa Marekani kumhusu mkuu wa mkoa wa Dar juu ya watu kudhulumiwa haki ya kuishi, kichwani mwangu zikaja kila aina ya fikra. Zilikuwa ni tuhuma nzito...
LOCKDOWN POLICY- SCIENTIFICALLY PROVEN NOT APPROPRIATE FOR AFRICA: EVIDENCE FROM GHANA
IS LOCKDOWN THE ONLY SCIENCE-DRIVEN OPTION FOR GHANA?
Gabby Wonders
The President was clear in his 7th...
Kampuni ya Microsoft imeungana na washindani wake, Amazon na IBM kukataa kuuza teknolojia ya kutambua sura kwa vyombo vya ulinzi na usalama nchini humo
Wamesema hawatawagea teknolojia hiyo hadi...
Mamlaka nchini china zimetoa taarifa za kufunga maeneo yenye mkusanyiko wa watu wengi kufuatia mlipuko mpya wa virus vya corona ambapo watu kadhaa wamepimwa na kubainika kuwa na corona
Askari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.