Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini Marekani (FDA) imesitisha matumizi ya dharura ya dawa ya Malaria 'Hydroxychloroquine' kama tiba ya ugonjwa wa COVID19
FDA imesema ushahidi mpya kutoka kwenye...
Polisi nchini marekani Atlanta wameumuua mtu mweusi kwa risasi wakati wakimdhibiti na kuzua maandamano mapya .
Mkuu wa polisi mjini Atlanta ameresign kufuatia tukio hilo lolilozua maandamano...
Kufuatia ongezeko la maambukizi ya COVID-19, Rais Nana Akufo-Addo ametangaza kuwa kuanzia sasa kuvaa barakoa ni suala la lazima nchini humo na Polisi wameelekezwa kuhakikisha agizo hilo...
Wateka meli katika pwani ya Somalia wameteka Meli yenye dawa yenye thamani ya paundi bilioni 7.
Watekaji hao wanadai paundi millioni 50 na wanataka wapelekewa toilet paper pieces elfu 50. Kutokana...
Dusk is falling on the old walled city of Harar and the still air is broken only by an occasional, chilling howl. In the semi-darkness, five hungry hyenas circle a young man crouched on the...
Katika hali isiyo ya kawaida Maofisa wa Police wa kizungu na raia wengine wa kizungu huko North Carolina nchini Marekani wamejitosa kupiga magoti na kuwaosha miguu watu weusi wenye asili ya Afrika...
Habari zimethibitishwa kuwa Pierre Nkurunzinza wa Burundi alikuwa muathirika wa gonjwa hatari la COVID19.
Tuchukue tahadhari wandugu, gonjwa bado linatesa.
---
Burundi’s outgoing President...
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuahirisha mkutano wake wa kwanza mkubwa wa kampeni baada ya kuandamwa na ukosoaji kwa kuandaa mkutano huo katika siku ya kukumbuka kukomeshwa kwa utumwa...
Duru zinaarifu kuwa Rais Donald Trump anapanga kurejesha kampeni zake za uchaguzi kwa kufanya mkutano wake wa kwanza panapo Juni 19 mjini Tulsa, Oklahoma.
Juni 19 ni siku inayofahamika kitaifa...
The Taliban has killed or wounded more than 400 Afghan security personnel over the past week, the interior ministry said, accusing the group of increasing attacks in the run-up to expected peace...
Islamic militants have killed at least 20 soldiers and more than 40 civilians and injured hundreds in twin attacks in north-east Nigeria, residents and a civilian task force fighter said.
The...
Top ten strangest buildings in the whole world. Here in this article, you will the opportunity to see there pictures and where those houses were located.
Creativity has no limit, there are lots...
If you're a football fan,have you ever wondered why Argentina has rarely fielded a black player in their team? This is surprising, given the fact that Argentina is in South America and unlike its...
Wanajesho 20 na wananchi 40 wameuawa na wengine wengi wakijeruhiwa na wapiganaji wa Islamic State West Africa Province, ISWAP katika jimbo la Borno
Wapiganaji hao pia wamechoma Ofisi za Umoja wa...
Chinese authorities have been trying for three years to reverse the devastating imbalances of their one-child policy and coax couples to have more children.
They’ve told couples that it’s their...
A CHINESE insider has exposed the growing threat of a "direct military confrontation" breaking out between the US and China as Beijing continues to expand its war readiness.
China and the US...
Wakati wa ziara iliyoleta utata.
Mkuu wa Majeshi akiomba radhi...
====
Jenerali Mark Milley aomba msamaha kwa 'kuenda' kanisani na Trump
Mkuu wa majeshi nchini Marekani amekiri kuwa alikosea...
Dkt Anthony Fauci, amesema kutokana na muda kuna uwezekano mkubwa wa kupata tiba ya #CoronaVirus kabla ya kupata chanjo yake
Dkt huyo ambaye ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Taifa ya Uzio na Magonjwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.