"Kusema ukweli, ni kwamba watu ambao hawaendi China mara nyingi hufikiria kuwa wako nyuma, lakini unapoenda huko unavutiwa na wanachofanya katika teknolojia."
–Brad Smith (Raisi wa Microsoft)...
Kizazi cha karne ya 21 hakiamini kuwa vita ya dunia huanza kama mzaha.
Paneli ya kipindi cha Outnumbered wamejadili maendeleo ya kutisha baada ya vikosi vya Ukraine kushambulia Urusi kwa kutumia...
Jino la waziri Mkuu wa kwanza wa Congo limeibiwa jijini Kinshasa. Ikumbukwe waziri Mkuu Patrice Emilio Lumumba aliuliwa mwaka 1961 na Mwili wake kuyeyushwa kwenye tindikali.
Ilivyo bahati mmoja...
Bunge la Iraqi linataka kuruhusu wasichana wa miaka 9 kuolewa kihalali, kwa sasa umri unauruhusiwa na katiba ili binti aolewe ni miaka 15, bunge linataka umri huo upunguzwe hadi miaka 9.
Muongozo...
Technology
Mark Zuckerberg announces the date that will end mobile phones and is clear about their replacement: "It will be like with computers"
"There will come a point where your smartphone will...
Wakuu kwa kifupi
Vita ya Israel na Palestine ni ya Karne nyingi zilizopita kabla ya ukristo na dini nyingine
Na kinachagombaniwa siku zote ni maslahi ya hayo mataifa mawili
Na historia...
Hii inaitwa mbwa kala mbwa!! Magaidi 22 wa kiisrael waliokua wakipora misaada ya gaza waangamizwa papo hapo
Zaidi ya watu 20 wa genge wanashukiwa kwa wizi wa misaada ya kibinadamu walikufa...
Wanaukumbi,
Mwanamke mmoja ameuawa na watu wengine kadhaa kujeruhiwa katika mashambulizi ya roketi yaliyofanywa na Hezbollah Jumatatu, baada ya kundi hilo la kigaidi kurusha zaidi ya roketi 100...
Makamu wa Rais wa Equatorial Guinea, Teodoro Obiang Nguema Mangue amesema Serikali ya Nchi hiyo itawatimua kazini Maafisa na Watumishi wote wa Umma ambao ni miongoni mwa Wanawake zaidi ya 400...
Utafiti mpya umebaini kuwa idadi ya vifo vinavyotokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan ni kubwa zaidi kuliko ilivyoripotiwa awali. Kulingana na ripoti ya Sudan Research Group ya...
Wadau hamjamboni nyote?
Kiwanda cha magari cha saipa kilijengwa na Serikali ya Iran huko Syria mwaka 2004 kwa ajili ya kuzalisha magari
Hakuna kiwanda cha Iran kinachoendelea na uzalishaji...
Serikali za Marekani, Ufaransa na Uingeleza zimeruhusu silaha zake zitumike ndani ya Urusi, hapo mwanzo zilizuiwa kutumika ila baada ya mashambulizi ya jana kutoka Urusi wameona wairuhusu Ukraine...
Kama ni ukoloni nchi nyingi sana zilikuwa colonised ila leo zipo mbali
Navyosema nchi zilizioendelea ni watu kwa ujumla kujiweza kiuchumi kuweza kuishi maisha standard, kuwepo kwa huduma za...
https://youtu.be/LD6kvDHbIYY?si=7sv2Yv9AeEDde3Er
Uhusiano kati ya wauzaji wa silaha na vita vinavyoendelea ni mada ya mjadala mkubwa na wasiwasi. Biashara ya silaha, halali na haramu, inachukua...
Mkuu wa mahusiano ya vyombo vya habari wa Hezbollah, Mohammad Afif, amefariki dunia baada ya kushambuliwa na ndege za kijeshi za Israeli katika mji mkuu wa Beirut.
Tukio hili limezua maswali...
Msafara wa magari 109 ya Shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa wakimbizi, ulivamiwa, madereva walitishiwa bunduki washuke, misaada yote imeibiwa, magari 97 hayaonekani.
Baadhi ya magari...
Wakuu,
Kuna hii video nimekutana nayo huko mtandaoni imenipa maswali sana.
Kuna video inaonesha waumini wa dini fulani wakiwa wamezuia magari barabarani then wanaswali barabarani kabisa ilhali...
Pamoja kwamba Iran ni nchi ya kiislamu ila Ina Idadi ya wakristo wanaotambulika kufika 300,000. Wakristo Hawa wanatokea kwenye jamii ya wa Assyrians, Chaldeans na Armenians.
Hawa ndio serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.