Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Naomba kujua mwanamke baada ya kujifungua uchukua mda gani kuanza kujisikia hamu ya kufanya tendo la ndoa na mume wake?hapa naamanisha bila ya Mume wake kuamsha hashiki ya kutaka kufanya naye...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
iv mapenz yana dawa au?
0 Reactions
1 Replies
862 Views
Jamni mm mwenzenu nina ngozi kavu sana yani unakuta na pauka san sehemu za mapajni ndo usiseme na kuwa na michubuko katikati ya mapaja ambayo hainifurahishi hata mm nikikutan na boyfrend wangu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba mniambie dalili za UTI na tiba yake kwa ujumla kwani nahisi kama nna huo ugonjwa, Nahisi maumivu kama nna vidonda hivi ndanii ya uume wangu, Maumivu hayo nayapata kwenye mshipa mkubwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
RHEUMATOID ARTHRITISRheumatoidarthritis (often called RA) is a chronic (long-standing) disease that damagesthe joints of the body.WhatIs Rheumatoid Arthritis?Rheumatoidarthritis (RA) is an...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ukimwi “upungufu wa kinga mwili”, ni ugonjwa unaoshambulia na kuua chembe chembe nyeupe za damu zinazosaidia mwili kupambana na magonjwa. Kutokana na upungufu huu wa kinga, magonjwa nyemelezi...
1 Reactions
0 Replies
51K Views
Wakuu naomba kufahamishwa dalili za presha hasa ya kushuka pamoja na tiba yake tafadhali....natanguliza shukrani
0 Reactions
8 Replies
8K Views
jamani naombeni msaada wenu, nimekuwa nikilala kupita kiasi mpaka nahisi ni ugonjwa. kwa mfano jumapili nililala toka saa nne asubuhi nikawa naamka kula kisha narudi kulala siku nzima mpaka nikaja...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Normally, I don't recommend "weight-loss" supplements, especially weight-loss supplements that claim "easy" weight loss or "fast" weight loss. As a nutritionist, I strongly believe that the key to...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana JF Naomba kuuliza Je? Kuna ukweli wowote kuhusu kifaha tajwa hapo juu? Coz nimesikia kuwa kinapima magonjwa yote ya binadamu kwa kutumia sensor yaani mtu anakishika na majibu yanasoma kwenye...
0 Reactions
1 Replies
943 Views
naombe anayejua dawa, maana mjamzito harusiwi kung'oa, ametumia panado mpaka amechoka. thanx in advance.
0 Reactions
12 Replies
28K Views
shaloom, aisee mimi nina tatizo la kinywa, yani kila nikitaka kuswaki nahisi kutapika, nikilazimisha badala ya kutema mate ya kawaida natoa makohozi mengi. nshabadilisha miswaki mingi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
mara ya mwisho kumeza leo asbuh sa nataka kesho nipate kilaul(mvinyo)so its better mnijulishe hyo dawa inakwisha nguvu baada ya masaa mangapi! NISIJE KUFA MWENZENU
0 Reactions
0 Replies
1K Views
JAMANI WADAU NISAIDIENI INAKUAJE HIVI VIRUTUBISHO VINAVYOSAMBAZWA NA NETWORK YA GNLD kazi zake zasemekana kupunguza uneneRutuba kwa mimea na vingine vingi ANY ONE WHO PROVES THIS...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina mda kama wa wki2 tangu nifunge pingu za maisha na mke wangu kipenz,tuliahidiana kutokufanya mapenz hadi tutakapo oana na wote tulifanya hvyo,chakushangaza cku ya kwanza kufanya nae mapenzi...
0 Reactions
20 Replies
9K Views
Choose to put into your body will reflect itself on your skin. Diets filled with processed foods often leave skin looking and feeling dull, oily, and discolored. But nourished bodies that are...
0 Reactions
0 Replies
959 Views
Salamu wakuu hili tatizo linanisumbua sana hadi nakosa raha...nipo chuo nasoma...ila ikifika saa 3 usiku nina shikwa na usingizi wa hatari...pia mchana wakati vipindi vinaendelea usingizi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tangu nimeolewa nina miaka mitano Lakini sijabahatika kupata mtoto.Cha ajabu mme wangu anamazoea ya kunido mara moja tu kila siku(yaani round moja tu analala) ingawa naridhika je hiyo ni sawa.Na...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Aisee nisaidieni hili tatizo tangu majuzi nasikia uume unawasha washa si kawaida......nina kawaida ya kufanya mapenzi bila condom kwa shori wangu namuamini sana ndio maana nimejilipua ....ila...
0 Reactions
18 Replies
11K Views
Wadau kuna demu 1 nilikuwa namchukua kipindi cha nyuma, wakati nikifanya naye mapenzi nilikuwa nikisikia raha sana kwa sababu kulikuwa na mnato mzuri sana.Nikaja kusafiri kwa miezi 6, wakati...
1 Reactions
44 Replies
34K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…