Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari zenu wana jf ? Kama mu wazima wa afya basi jina la bwana lihimidiwe ? Nakuja kwenu tuweze kubadilishana mawazo kuhusu tatizo linalonikabili ? Ni kwamba mwenzenu kila ninapokutana faragha...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wana jamvi heshima kwenu, mimi ninaumwa sana mwili mzima lakini kila nikienda hosp. Naambiwa hawaoni ugonjwa nimeshapima vipimo karibu vyote sasa imebakia kipimo kimoja tu lakini kinaniogopesha...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Kukimbia au kutembea?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ten years ago, Lee Gardner was fine with forks. Heck, the UK man was so fond of the utensils, he even used to eat with them. That is, until his darkest forking hour. One day, BBC reports that...
0 Reactions
1 Replies
935 Views
habar wakuu, nimeleta mada watalam watujuze
0 Reactions
22 Replies
18K Views
haya kwa wanaume hii ni habari njema ; 11th Annual American Association for Cancer Research (AACR) International Conference on Frontiers in Cancer Prevention Research
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamii nilikuwa Muhi2 kumuona Mgonjwa Mwaisela4. Jirani yake yupo mama amelazwa kafungwa mikono na miguu kitandan nguo kifuani hana hawez kujihudumia baada ya Haja kubwa na ndogo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu habari zenu, Niliwahi kusikia kuwa kuna mimba za kupandikizwa(mimba za chupa) kama kuna anaefahamu hospitali yoyote hapa nchini kuna teknolojia hiyo tafadhali mnijuze. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
10 Replies
8K Views
habari zenu wanajamii..nina ujauzito wa miezi saba sasa,tatizo nililonalo kwasasa ni kuumwa kwa kitovu! kitovu huwa kinauma mara kwa mara! sio maumivu makali sana na hayachukui mda mrefu yanaisha...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
wakuu mnipe msaada maana hali si nzuri sikio linanitesa linauma kwa kuvuma hasa mida ya usiku!!
0 Reactions
3 Replies
9K Views
Wana JF naomba kuuliza,hivi kuna madhara yoyote mwanaume anaweza kuyapata akikaa mda mrefu bila kufanya tendo la ndoa(kama miaka miwili hivi)?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari zenu wakubwa. Mke wangu kajifungua jana saa 4 asubuh tatizo toka ajifungue maziwa hayatoki yan mtoto hajanyonya mpaka dakika hii, mama mtoto anaumwa tumbo kama la uchungu, nisaidieni kujua...
0 Reactions
13 Replies
14K Views
Mke wangu amemeza mbegu za kiume muda si mrefu itakuwaje,
0 Reactions
9 Replies
1K Views
tatizo hili la ''hyperhidrosis'' linatatuliwa na dawa iitwayo DRICLOR kwa mwenye ufahamu hii dawa inapatikana PHARMACY gani hapa jijini DAR ES SALAAM anijulishe hapa au ka vp kwa SMS Kene...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Seriously yaani madaktari wa Huku wananiambia it's my choice. Please nisaidieni .mume wangu ananiambia Niamue mimi mwanangu anamiaka 2 .alivyozaliwa nilikataa asifanyiwe circumcision niliogopa...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Mke wangu amemeza mbegu zangu za kiume muda si mrefu nini kitatokea,
0 Reactions
1 Replies
836 Views
Za jion wana Jf bila mu wazima,tumbo limekuwa likinisumbua dawa nimekunywa lakini shida iliyopo linakuwa linaunguruma kidogo na choo napata kwa shida sana na hapo ni mpaka nijilazimishe lakini...
1 Reactions
9 Replies
6K Views
Mdogo wangu sikio linamuuma, anadai akitafuna kitu anapata maumivu. Anahis kuna kitu kinatembea na kwa kweli anahiis maumivu mpaka analia. Jana usiku hakulala kabisa, nimemnunulia dawa ya drop...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
There is hope for Tanzanians with health complications related to prostate cancer, kidney stones and paediatric cardiology (heart complications among children) thanks to specialists coming in...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
The Six Most Important Minerals and Vitamins! When we diet and cut down our calories, we usually limit the intake of certain foods, which means we may not get all the vitamins and minerals...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom