Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Northern Ireland's health minister Edwin Poots (pictured donating blood) has defended comments he made about blood donation in relation to people in Africa. On Sunday, Mr Poots said a ban on...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani wanajamvi habari zenyu,madactari naomba ushauri au nitumie dawa gani kwa hili linalonisibu. Nimetokewa na rushes ila zile kama za allergenic ukikuna inavimba na vinawasha sana ,nisaidieni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Say bye-bye to uric acid problem! Just try it if you've got uric acid after all no harm done.This is a really effective, just mix green papaya cubes to the ordinary green tea, my cousin-brother...
0 Reactions
3 Replies
14K Views
mi ni kijana mwenye umri miaka 23, je nini madhara ya kutumia gomba kwa muda mrefu? nisaidieni katika hili.
0 Reactions
1 Replies
5K Views
habari za kazi ndugu zangu, kunatatizo limejitokeza kama miezi miwili sasa hivi, nikisimamisha jogoo wangu anakua anauma, ata kama niko na mama watoto, uume unauma, yani misuri inakua imekaza...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Does the iron in our blood rust inside our bodies as it can do outside when exposed to water ? Haya MziziMkavu nipe jibu ...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
mke wangu alijifungua mtoto mkubwa 5.5kg bahati mbaya, toka december 2011, anasema kuna mabadiliko asiyoelewa kama: 1)akikaribia kupata hedhi joto linapanda sana na anajisikia kama anaumwa akipima...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Natafuta Doctor specialist wa Macho naomba msaada. Kuna mtoto wangu amekuwa affected jicho lake la reflection ya mwanga mkali wa projector. Je atumie dawa gani?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu, kutokana na uchunguzi mdogo niloufanya nimegundua kuwa siku za hivi karibuni kumekuwa na idadi kubwa ya watu(hapa Tanzania) kufa kwa ugonjwa wa moyo......so nilikuwa naomba kujuzwa vyanzo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
nin tiba ya nyama inayoota kwenye njia ya haja kubwa kwa wanawake? wengine wanasema mwanamke hawezi kuzaa mpaka ikatwe wengine haina madhara
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu, it is quite true that environment has a direct impact on those living in it and many diseases are the outcome of man’s maladjustment to his environment. The factors, which affect human...
0 Reactions
0 Replies
850 Views
Nina mdogo wangu ambaye alikuwa anasumbuliwa na tatizo vaginal infection jana alienda hospital na akapewa vdonge vya kuingiza sehem za sir kwa 6 days,tatizo n kwmba leo ameingia period ameniuliza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
naomba kujua dalili na visababishi na first aid kabla ya kufika hospital
0 Reactions
10 Replies
11K Views
habari zenu wapendwa. Pls msaada wenu wahitajika hasa madaktari wa ngozi, uso wangu umetoka pimples na zimeacha spots kibao, nimenunua persol cream nimetumia siku 1 tu, uso unavuta ka nimechanjwa...
1 Reactions
48 Replies
20K Views
1.mimi na matatizo ya presure wakati mwingine inakuwa juu wakati mwingine chini na tumia vidonge vya la six ambavyo kwa siku masharti yake lazima ni tumie ndizi moja je siwezi kula tunda jingine...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwanza mm si mtumiaji wa kilevi aina yeyote. Ila nahisi nimeathirika kisaikolojia. -Nimekuwa si muoga wa hata yale yanayostahili kuogopwa. -nimepoteza mpaka hofu ya mungu. -sina huzuni hata...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
“Death begins in the colon” actually comes up with a couple of hits when you Google it. One site said, “according to the Royal Society of Medicine U.K - 90% of all chronic diseases are due to...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kuna uwezekano mwamke akadoo siku ya 15 tangu siku alipoanza kubleed then siku ya 28 akableed kama kawaida baada ya hapo mkadoo siku ya siku ya nane.. Baada ya siku saba apime aonekane ana ujauzito?
0 Reactions
7 Replies
5K Views
habari zenu wana jf,,,,,,miminasumbuliwa na mistari mwilini yani streach mark ziko kiunoni na mapajani,,,,,nimejaribu dawa za sh amor mda sana bila mafanikio zimenitokea baada ya kunenepa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Lengo nikuwasaidia watu kama hao kwan nilisoma kwenye article moja kuwa kuna watu wenye hali hizo ila zinaweza kubadilishwa iwapo watapata ushauri mzuri wa kisaikolojia na pia kutibu chanzo
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Back
Top Bottom