Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wadau tangu jana naskia kende langu la kushoto linamaumivu,nikisimama maumivu makali,nikijinyoosha pia naskia maumivu ghafla then linaacha,ni kama vile linataka ingia ndani.Ni ugonjwa gani huu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni vizuri members tupime ukimwi....Ni jambo la busara ili kujua mipango yako ya baadae......fuata moyo wako sio ulazimishwe...... Hivi ukipima na ukakutwa 'unao' unajisikiaje? Nini raha yake...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Wanajf naomba msaada wa daktari mzuri wa meno. Anapatikana wapi?
0 Reactions
6 Replies
7K Views
wakuu habari zenu... katika tembea tembea yangu nimekutana na website moja kali sana ya mambo ya afya ya mama na watoto, inaitwa Wanetu.com :: Elimu kuhusu Ujauzito na Uzazi, Malezi na makuzi ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
TIENS! TIENS! THIS IS THE SECRATE OF YOUR HEALTH FROM TIENS AN EXPERIENCE OF MORE THAN 5000 YEARS OF USING TRADITIONAL WAY OF LIVING! TIANSHI CALCIUM POWDER WITH PUMPKIN Tianshi calcium with...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Husika na kichwa cha habari tafadhali,naombeni mawazo yenu wana jf
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina kawaida ya kwenda perion kwa siku 4 au 5 na kila period nikifika siku ya tatu inakata nakuwa mkavu kwa siku nzima then inaanza tena kwa muda ndio inakata. je wanajf naomba kuuliza hapa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
jamani mimi nimeoa mwaka 2oo9 mke wangu ana miaka 22 lakini tangu mwaka jana mwanzon akaanza kulalama miguu inamwaka moto mara anakosa usingizi mara anahisi anakosa amani mara mwili wa baridi sasa...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Nina rafiki yangu anaolewa jumamosi, na baada ya harusi wanakwenda honeymoon, tatizo linalofanya kuomba ushauri ni kuwa anatarajia kuanza MP jumamosi hiyo hiyo, wasiwasi wake je ni namna gani...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
....
0 Reactions
4 Replies
2K Views
KICHAA CHA MBWA Ugonjwa hatari unaopuuzwa sana hasa katika nchi masikini. Ugonjwa huu pia unatatizo la kutotolewa taarifa kamili. kwa nchi kama Tanzania ugonjwa huu unaonekana kama kaugonjwa...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Jf doctor, inachukua muda gani kwa mtu aliambukizwa HIV kuanza kupata effect za ugonjwa?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana jukwaa nimejifungua miezi michache iliyopita.Nifanyenini kukabiliana na tatizo la upungufu wa estrogen?nimekuwa mkavu sana so nisaidieni.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ndugu zangu poleni na majukumu ya maisha. Naomba msaada wenu wa kila hali ninatatizo la kuumwa tumbo hii ni mara yangu ya tatu ndani ya miezi 6. Tumbo linaanza taratibu kuuma na ndani ya masaa 2-3...
0 Reactions
1 Replies
39K Views
Kutokwa na ute mzito kwenye uume wakati wa haja kubwa je ni tatizo?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Heart Attacks And Drinking Warm Water If you're new here, you may want to subscribe to our RSS feed. One advantage of subscribing to RSS feeds is that you don't have to constantly...
9 Reactions
12 Replies
3K Views
Wakuu, ni about wiki ya pili now Shemeji/wifi Yenu Chuchu zake zinamuuma sana, yan nikzigusa tu anataka kulia kwa Maumivu, hii ni strange Behaviour since nimezna kuishi nae for more than 2 Months...
0 Reactions
31 Replies
21K Views
Kuna aina yoyote ya chakula kinachoweza kuzuia mchanga kukaa kwenye figo, na ni dawa gani inaweza kutumika kuondoa mchanga huo au hadi upasuaji ufanyike?
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Jamani wadau,nahitaji kujua ni jinsi gani naweza kupunguza dushelele yangu maana imekuwa kubwa, ikisimama ni 8inches na cm kadhaa!Angalizo:Njia iwe ya asili!
0 Reactions
8 Replies
2K Views
nakama wiki hivi niliku naisi nakama tonsezi, nikaenda pharmacy nikapata dawa, lakini this time nikiwa nameza chakula naisi maumivu chini ya koo maeneo ya kifuani, naogopa kweli, naombeni msaada...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…