Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

11 Mei, 2012 - Saa 11:43 GMT...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
How to get rid of mens boobs. Apart from exercise.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Je wajua hasira, mfadhaiko, huzuni, anxiety, chuki n.k zina uwezo mkubwa kukusababishia kansa hata kuliko vyakula na mionzi. Hata kansa ya matiti kwa utafiti uliofanywa Denmark umeonyesha hisia...
0 Reactions
1 Replies
987 Views
Napenda kuuliza wataalamu wa mambo haya.Kama waliopo kwenye mahusiano huwa wanafanya tendo la ndoa bila kutumia mipira kwa njia moja au nyingine uwezekano wa mtoto wa kike kushika mimba ni rahisi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nikianza kuongea mimi kwa kua na mimi naonja kidogo tutabisha ,hii ni huko scotland daktari wa psychology amegundua,nisikuchoshe usinichoshe.brows hapa (Higher IQ = Higher alcoholism? - from Crime...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
In India if anytime you are worried if the medicine is not just fake or counterfeit, You can send a 10 digit code as SMS to 9901099010 and you will get a reply back if the drug was...
0 Reactions
0 Replies
922 Views
Article ndefu kiasi ila shuka nayo humu Health Benefits of the Natural Squatting Position
0 Reactions
0 Replies
1K Views
shinikizo la damu Baadhi ya kesi 30 000 ya mashambulizi ya kiharusi na na magonjwa ya moyo hutokea kila mwaka hapa Tanzania, na matatizo haya yamekuwa yakiongezeka mwaka kila mwaka. Mpaka sasa...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Wapendwa wana JF, nasikia ati kuna vidonge unakunywa na rangi ya ngozi yako inapata mng'ao wa kupendeza. Je kama ni kweli vipo hivi vidonge, naomba jina lake na kwa hapo Dar labda pharmacy ipi...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
ndugu zangu, nina mwaka wa 6 sasa kwenye ndoa yangu, sijabahatika kupata watoto, tumepimwa mimi na mke wangu hatuna tatizo lolote, sasa hatuelewi ni nini shida! nawaomba muongozo ndugu zangu.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamani msaada kwa wanaojua dawa ya kunyosha uume uliopinda! Na vyakula vya kuongeza nguvu za kiume!
0 Reactions
16 Replies
13K Views
source taarifa ya habari TBC,nimesahau jina la aina ya dawa hizo.Hii imekaaje wataalamu?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana JF salamu, kwa mara ya kwanza nimegundurika na tatizo la maradhi ya shinikizo la damu, dr aliponipima akasema nina kipimo cha 160/110 ambacho alisema ni kiwango cha hatari. SWALI:- 1. Je...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nasumbuliwa na maumivu makal wakat wa hedhi,nitumie tiba gani?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
MADAKTARI wamehadharisha watu wanaobakwa kwamba wakishatendwa hivyo wasioge au kubadili nguo kwa sababu kufanya hivyo kunapoteza ushahidi muhimu wa kumtia hatiani kisheria mbakaji. Imeelezwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwenzenu nimekuwa nasumbuliwa na maralia mara kwa mara japo huwa nalala na net na pia chumba huwa napulizia net yani kwangu haiwezi kupita hata wiki 6 bila kuuguwa
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani mimi nilifanyiwa TURP kuondolewa prostate miaka zaidi ya 5 iliyopita na toka wakati huo sijawahi kuona shahawa zinatoka,sasa nina mpenzi wangu nje ya ndoa,amejifungua watoto 2 na ameniambia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
kuna jirani yangu ameniomba ushauri kuwa yapata mwaka mmoja sasa ameoa ila hawajajariwa kupata mtoto,ndio juzi akaenda hospital akafanyiwa sperm analyiss,ikaonekana total sperm count yake ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
nilikuwa naomba kuuliza, nimazoezi gani ya mwili ambayo yanaweza kukupunguza mwili haraka zaid
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habarini jf doctors, me nina mwanangu wa miezi 10 anaumwa, lkn cjui kinachomsumbua, maana anapandwa na joto kali, nimempima malaria, hana, nikimpa panadol linapungua ila badae linapanda tena...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom