Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

jamani nina stress naona sasa zinakonipeleka siko ..hadi kichwa kinaniuma,nashidwa hata kulala vya kutosha nakuwa naweweseka nikilaa ..shida kubwa ninakuwa na mambo mengi ya kufanya kwa mda...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ningependa kujua inachukua siku ngapi au miezi mingapi kwa muathirika wa ukimwi kuanza kuona dalili za nje za ukimwi?
0 Reactions
11 Replies
52K Views
Mama yangu amepata haya maradhi na sasa amekuwa kipofu kabisa. tumejulishwa kuwa presha ya ndani ya macho (glaucoma) haina dawa na mama atakuwa kipofu kwa siku zake zote zilizosalia. Lakini pia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina matatizo ya meno yananiuma sana, hayajatoboka ni mazima kabisa yanauma tu na wakati mwingine nasikia yanatingishika nimeshamuona daktari akaniangalia angalia hapo, akanishauri dawa za kupigia...
0 Reactions
21 Replies
9K Views
Kwenu Mnaopenda kuweka Laptop zenu mapajani wakati mwafanya kazi zenu. Wanasayansi huko Argentina wamegundua kuwa mionzi inayotokana na wireless internet au wi-fi ktk laptop hasa zinapowekwa...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
GREEN TEA Green tea has increasingly become a very popular drink worldwide because of its immensely powerful health benefits. It is extraordinarily amazing what green tea can do for your...
0 Reactions
35 Replies
25K Views
Charles Llewellyn from Angola a former Director, Office of Health and PMI Manager at USAID/Tanzania 2005 - 2010, and who is at current a health consultant to USAID/Angola, has written his...
0 Reactions
0 Replies
922 Views
Habar za jioni wapendwa! Naomba ushaur wenu ninasinzia mchana darasani sana alafu usiku saa 4 nikipanda kitandan sipati usingizi hadi saa sita.je nifanye nini ili niwahi kupata usingizi usiku na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tafadhali naomba mwenye ujuzi au uelewa wa hili anisaidie.........Mwanangu amekuwa na tatizo la kuanguka na kupoteza fahamu na limekuwa na tarehe maalum ni kati ya tarehe 15 na 27 au 26 na 28 ya...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Laptop Wi-Fi said to nuke sperms NEW YORK (Reuters Health) - The digital age has left men's nether parts in a squeeze, if you believe the latest science on semen, laptops and wireless connections...
0 Reactions
0 Replies
919 Views
ninasumbuliwa na maumivu makali kwenye goti na sehemu ya nyonga mguu wa kushoto tu,mwenye tiba asaidie.
0 Reactions
5 Replies
7K Views
This information was in The New York Times recently as part of their "Spotlight on the Home" series that highlighted creative and fanciful ways to solve common problems. 1. Cucumbers contain most...
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Ninahitajika kupunguza kilo 6.1, hivi nitafanyaje kutatua hili tatizo. Ni tatizo kubwa sana kwangu. Naomba msaada wenu kwa mwenye kuweza kunisaidia diet, na hata njia rahisi ya kuondoa hili tatizo.
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Habarny wapendw wa jf minilikua na swal moja na ningehtaj msaada wenu.,kama nikitaka kunenepa nifanyeje maana mi ni mwembamba had daah.,na kuhusu kula na kula na dawa ya minyoo nime2mia sasa cjui...
0 Reactions
13 Replies
10K Views
mwenye msaada wa kujua kinachosababisha nyongo kuwa nyingi na dawa ya kupunguza nyongo mwilini huwa inatokea kuitapika asubuhi na hutoka nyingi sana natanguliza shukrani
0 Reactions
6 Replies
14K Views
Nina mtoto mdogo ambaye ndio ameanza kuota meno, lakini kilichonishangaza badala ya kuota meno mawili ya chini, limeota jino moja ambalo limegawanyika kwa juu (ni kama meno mawili yenye mzizi...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Nauliza mimi nimefanyiwa TURP na ninapokutana na mwanamke sitoi shahawa kabisa nikiuliya naambiwa kuwa hiyo retrograde ejaculation,sasa nauliza je ukitolewa prostate unaweza kuzaa?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
http://www.babycenter.com/2_video_3656508.bc Video: Live birth: Natural | BabyCenter
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wajameni ninae mpenzi wangu wa kike na nipo nae kwa takribani miaka miwili sasa na nategemea kufunga nae ndoa mwakani ila siku zote amekuwa akilalamika kwamba hapati raha ya mapenzi kabisa. Na...
0 Reactions
58 Replies
12K Views
What doctors do when they don’t know the answer 1. Revert to “novice” thinking. Which, in fact, is completely appropriate. We’re taught in medical school that approximately 90% of all diagnoses...
0 Reactions
2 Replies
924 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…