Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari comrades, Nina ndugu yangu anatatizo tajwa kwa muda. Wa miaka 7 sasa ametumia antibiotics na antifungal lakini hakuna nafuu kabisaaaa. Naomba kufahamishwa kuhusu risk factors, causes...
4 Reactions
23 Replies
1K Views
Habari jamani? Mimi naomba kujuzwa na yeyote anayejua ni vigezo gani na hatua za kupitia ili kuanzisha Zahanati au kituo cha afya. Asanteni.
0 Reactions
10 Replies
10K Views
Wakuu! Habari za muda huu? Mimi ni mwanaume mwenye mke na watoto kadhaa, shida yangu ni kwamba nimekuwa nikijihisi kuwa huenda nimeathirika lakini kila nikienda kufanya vipimo majibu yanasomeka...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Ni jambo lenye ukakasi ila sinabudi kulizungumza. Naomba mniwie radhi. Nilisafiri sehemu nikakaa siku moja, yapili nikarudi, naweza sema nimekaa siku mbili, lakini zaidi ya haja dogo, sijaenda...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Wasalam! Wazee juzi ijumaa nilikutana na toto moja hivi ya moto balaa kula mtu alikuwa anaiangalia basi mjuna nikajitosa kwa mazungumzo mafupi ya kufahamiana kisha mrembo akaachia namba kuilaini...
8 Reactions
72 Replies
6K Views
Ripoti ya shirika la afya ulimwenguni, WHO imesema idadi ya wagonjwa wa kipindupindu kote ulimwenguni iliongezeka mara mbili mwaka uliopita wa 2022. Syria ni moja ya nchi zilizoathirika pakubwa...
0 Reactions
0 Replies
898 Views
Kwa hizi dalili nahisi nina minyoo Kukosa hamu ya kula yaani CHAKULA hata kiwe kitamu vip huwa hakipandi aisee Mwili kuhisi uchovu, muda mwingi mwili unajihisi kuchoka hata kama sijafanya kazi...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wanajf wenzangu, ashukuriwe Mungu kwa kutujalia uzima siku ya leo, tukumbuke kuwaombea wale waliopo mahospitali na majumbani kwa maradhi mbalimbali wakaweze kupona. Lakini tuwaombee...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Salamu Wana Jamvi. Nimepita Mahali nikasoma kuhusu hii Habal Sawda ama Black Seed, kwamba Ina Uwezo Mkubwa kutibu Magonjwa yote, Kasoro Kifo' TU! Ninaomba kuelewesha Matumizi ya Habal...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamvi Mimi nina tatizo la kushindwa kabisa kula samaki, dagaa na vitumbua. Vitu hivyo nilivyoorodhesha hapo mwanzo vilikuwa ndio vitu navyovipenda sana nilipokuwa mdogo mpaka...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Kuna watu sijui midomo yao ina nini, hata asiposukutua mwezi mzima lakini mdomo wake haunuki hata chembe. Akiamka asubuhi kinywa safi hadi raha, hakuna maharufu ya panya kuoza. Yaani hata...
20 Reactions
91 Replies
5K Views
Nimepanga niwe ninaula huo mchanganyiko mara tatu kwa wiki. Ni kachumbari ya nyanya, parachichi na vitunguu maji. Japo naweza kuitumia bila ya kuiwekea chumvi, ikiwekwa alau kidogo ladha yake...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
In today's culture, porn is not going away. You can avoid the damage this sin causes. Source: iStockphoto Let's face it. After 20 years of exposure to thousands of hours of pornography, Jack's...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Epuka nyama uzembe, uzito na kitambi kwa kutumia neolifeshake iliyo katika ladha tofauti yaan vanilla, chocolate na strawberry,,,, kwa mawasiliano zaidi na jinsi ya kupata bidhaa 0759137319 au...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu kama kichwa kinavyojieleza ni exactly kilichonitokea na kinachoendelea kunitokea. Mimi siyo mtaalam wa mambo ya wanawake, so katika hili sifahamu, "hivi mwanamke akiwa period anakuwa na...
3 Reactions
38 Replies
3K Views
Sindano ya Chanjo ya 'Tetanus' ni kinga dhidi ya pepopunda kwa mjamzito na watoto wachanga wanaozaliwa. Dozi tatu za (Tetanus Toxoid (TT) hutoa kinga kwa angalau miaka mitano. Kiwango cha juu cha...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habar wakuu msaada wenu nna maumivu makali sana sehemu ya chini zinapoanzia mbavu kuja nyuma katika mgongo nahis usawa wa figo...maumivu makali yakuja nakupotea nikinywa maji mengiii maumivu...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Maelezo ya Awali... Njia za uzazi wa mpango hutumika na wanaume na wanawake kuzuia ujauzito kwa madhumuni ya kupanga uzazi ili kuwa na familia bora. Ni vigumu kusema kuwa kuna njia iliyo bora...
1 Reactions
838 Replies
363K Views
1. Ripoti mpya ya Shirika la Afya Duniani, imeeleza kuwa Watu 4 kati ya 5 wenye tatizo hilo hawapati matibabu sahihi huku idadi ya Waathirika ikiwa ni Mtu Mmoja katika kila Watu 3 duniani kote...
0 Reactions
2 Replies
895 Views
Je, unafahamu nini kuhusu afya ya uti wa mgongo?
0 Reactions
0 Replies
328 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…