Maumivu ya sikio, kupoteza kusikia, uchafu wa sikio (otorrhea), mngurumo na kuvuma kwa sikio (tinnitus), na kizunguzungu (vertigo) ni dalili kuu za matatizo ya sikio.
Mbali na masikio, pua, koo...
Naomba kwa aliye na sample ya fomu ya kupimia afya watumishi wa mahotelini na kwenye migahawa aniwekee hapa. Ukiniwekea pdf yake nitashukuru sana. Ninafungua mgahawa, sasa kupata hizo fomu...
Mtoto wangu miaka(4) alipatwa na homa mwaka Juzi 2021 mwez wa 11. Joto ilikuwa juu sana mpaka ikamsababishia dalili za degedege kutokwa na povu mdogo.
Tulimpa Panadol kushusha homa na...
Mke wangu mbegu nyingi humtoka baada ya kusex naye nashindwa kuelewa maana bado hatujapata mtoto na mimi ndo mtoa bikira karibia mwaka sasa
Embu nipeni shule maana hasikii maumivu yoyote kama...
nimetoka kumpina girl wangu jana usiku sasa mpaka sasaiv sijaelewa mm sikusoma sayansi ajanipa majibu sahihi kwahiyo waungwana nisaidieni huyu kaungua ua ili nijue niendelee na safari au niishie...
Hali hii nimeishuhudia kutoka kwa mtoto wa jirani yangu. Alizaliwa akiwa wa kawaida tu, lakini baada ya mwaka ngozi yake ilibadilika taratibu na kuwa ya albino totally ikifuatiwa na mabadiliko...
Kupoteza maono ya macho (Acute Vision Loss) kwa kawaida hutokea ndani ya dakika chache hadi siku kadhaa. Inaweza kuathiri jicho moja au yote mawili au sehemu ya uga wa kuona.
Sababu kubwa za...
Ni nadra sana mwanamume kushindwa kusimamisha uume, tatizo kubwa ni muda wa muendelezo wa kusimamisha uume. Hali hii huweza kusababishwa na matatizo ya kisaikolojia (kujihisi mwenye hatia, hofu...
Tatizo hili limemtokea ana wiki ya pili sasa, nilimpeleka hospitali akapata matibabu jumamosi kwa Dkt. bingwa wa watoto lakini naona bado hakuna nafuu, Dkt. alimpa dawa za kupaka za mwezi mzima na...
naomba kuuliza wanaojua nina bima ya afya nimekata march 2023 sh 980000/ sijaitumia mpaka hivi leo mwezi huu wa 9 unaingia.
Nimeenda hospital ya CCBRT kumuona daktari wa mifupa na bima yangu...
Habari ya muda huu.
Mwanangu wa miezi 12 hajanza kutambaa, naombeni ushauri wenu ila alichelewa kulia wakati wakuzaliwa lakini pia degedege huwa inamsumbua.
Naombeni ushauri wenu namna ya...
UKOJOZI KITANDANI (Bed-Wetting) –Enuresis
Ukojozi kitandani unaweza kusababisha matatizo ya kitabia kwa sababu mtoto anaweza kuhisi ana makosa na kujisikia aibu. Ni kweli kwamba mwanao...
Mimi sio muumini wa punyeto ila toka nimemtimua shemeji yenu wikiendi iliyopita kwasababu kadha wa kadha.
Leo jumatatu saa tatu za usiku huu baada ya kurudi job nikavutwa na hisia kali za...
Amani iwe kwenu nyote. Nimegundua kuwa house girl wangu anae nilelea mtoto wangu mchanga anakunywa vidonge vya HIV kwa siri. Je hawezi kuwa amemwambukiza mwanangu? Kama jibu ni hapana, mwanangu...
Jamani waganga na waganguzi nisaidieni huo hapo ugonjwa nimeambiwa umekuwa immune kwa antibiotics kama amoxcline,ethromicyne,cipro,chrolophenicol na nitrotarantoin na mwili sasa una rashes nitumie...
Wandugu habari!
Mzee wangu ameanza tatizo la kuvimba usoni kila asubuhi kwa wiki tatu sasa na baada ya muda mfano saa nne asubh kuendelea anakuwa powa!
Tafadhali naomba kujuzwa kama kuna mtu...
Habari ya majukumu wana JF.
Mimi ni mwanaume Aged 23 ni mtanashati (handsome kiasi ) lakini Nina tatizo la kuwa na makalio makubwa sana jambo ambalo limekua likiniondolea ujasiri (confidence)...
Habari za muda huu wanajamvi Nina mida wiki Sasa vipele Sehemu za Siri vinawasha na kwenye Mikono ila sana Sanaa Sehemu za Siri mapajani Kuna vipere vimekuwa vikubwa kiasi na vinawasha kama vijibu...
Habari zenu wanajukwaa.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada.
Nilipata maambukizi ya GENITAL WARTS baada ya kwenda hospitalin nikapewa dawa aina ya podowarts 10ml, baada ya kutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.