Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari, Hali ya fungus za sehemu za siri imenitesa kwa mda mrefuuu sana. Nimeenda hospital zaidi ya 4 unapewa tu dawa ukatumie pasipo vipimo! Ukishatumia unakaa kama mwezi wanapotea alafu...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Nawasalimu kwa upendo wa dhati. Nimekuwa nikipata changamoto kwenye mwili wangu hasa KUVIMBA kwa mwili NGOZI kuwashwa kupata viupele na kuacha alama pale ninapojikuna. Tatizo hili lilianza...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wanajukwaa. Nimepatwa na tatizo la kupata maumivu kwenye joints za mikono ( zilizokaribu na viganja vya mkono).Tatizo lilianza mwanzoni mwa mwaka huu ila maumivu nilikuwa...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Shukrani ziwaendee wote waliotoa mada zinazohusiana na ulaji matunda humu jukwaani. Natumaini kuna walionufaishwa na hiyo Elimu kama nami nilivyonufaika. Nilikuwa ninafahamu kuwa ni muhimu kula...
6 Reactions
36 Replies
3K Views
Habari wakuu, Je, kwa mgonjwa wa presha/ kisukari ambaye ana jaribu kuondokana na vyakula vyenye mafuta, ni sahihi kula vyakula vilivyo ungwa kwa Tui la nazi ama karanga? Natanguliza shukrani
0 Reactions
3 Replies
931 Views
Wakuu habari za kazi Nina tatizo la kuwasha ngozi baada kuoga hali inayofanya nijikune Kwa muda wa takribani dk10 hivi ndo mwili una Kaa sawa. Naomba mnishauri kuondokana na hali hii. Kuoga...
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Habari wandugu ninatatizo la baridi yabisi ni nini dawa yake maana wamenambia hospitali hamnaga dawa zaidi ya antpain. Najisikia mwili unaungua moto hasa sehemu za baridi, kwenye joint hasa magoti...
1 Reactions
25 Replies
27K Views
Wakuu Salaam, Niende moja kwa moja kwenye mada, nina binti yangu wa miaka minne. Hivi majuzi amebainika kuwa na sickle cell kusema kweli nimechanganyikiwa sababu nasikia ni ugonjwa usio na tiba...
14 Reactions
166 Replies
8K Views
Habar wakuu Mnamo mwezi wakwanza mwaka huu nilipima cholesterol total na blood urea zilikua ziko juu zaid ya inavotakiwa... Mpaka kufikia Sasa nikuanzia siku Tano nyuma nimeanza kusikia maumivu...
0 Reactions
2 Replies
544 Views
Habari zenu wakuu Mimi nimesumbuliwa na maumivu ya tumbo kwa muda wa miezi miwili na dalili nazo pata tumbo kuunguruma,tumbo nikiligusa linakuwa na joto la kuzidi hata nisipo ligusa joto nahisi...
2 Reactions
7 Replies
624 Views
Habar wakuu nauliza ukitaka pima utendaji kazi wa figo unapima kitu Gani nakitu gani
0 Reactions
3 Replies
693 Views
Sio kila magonjwa katika miili yetu ,huwa hanataka tiba. Miili yetu inazo njia mbalimbali za kupambana na maradhi ,na njia hizo ni Bora zaidi kuliko kutumia dawa. MAGONJWA MENGI KAMA VILE MAFUA...
0 Reactions
0 Replies
489 Views
Magonjwa mengi kama vile mafua na flu, hupona bila dawa. Njia zenye kusaidia mwili kujikinga na maradhi kwa kutumia kinga yake yenyewe ni zipi? 1. Kujiweka katika hali ya usafi. 2. Kula chakula...
0 Reactions
0 Replies
381 Views
MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU TATIZO LA SIKIO Mwanangu ana umri wa miaka 2 na nusu. Ameanza kuugua ugonjwa wa sikio kuuma na ku_discharge mara kwa mara na doctors wamekuwa wakimpa...
0 Reactions
545 Replies
298K Views
Msongo wa mawazo unaweza kukufanya ushindwe kufanya shughuli zako za kila siku kwa ufanisi. Jambo la kufurahisha ni kuwa msongo wa mawazi unaepukika, leo nimechambua baadhi ya mambo ambayo...
18 Reactions
838 Replies
181K Views
Kama mwezi umepita nilipo pata lile tukio la dharura ikanibidi haraka niwahi kuomba PEP, nikapatiwa ikabidi ni kae zaidi ya mwezi mmoja ili nipime kama hali koje Jana nikajitoa mhanga nikajipima...
7 Reactions
35 Replies
3K Views
Wapendwa nakuja kwenu mnisaidie dawa ya degedege Kwa mwanangu anateseka jamani kila akipata homa hiyo hali inamkuta. Nisaidieni nimehangaika mie jamani, ana miaka mitatu tu.
1 Reactions
32 Replies
7K Views
Ugonjwa wa Wasiwasi (Anxiety disorder) unaweza kutokea ghafla, kama hofu, au hatua kwa hatua kwa dakika nyingi, saa, au hata siku. Wasiwasi unaweza kudumu kutoka sekunde chache hadi miaka na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Saluti wakuu, najua katika wengi hapaharibiki neno. Nawasilisha kwenu matatizo ya mpenzi wangu ana alama katika ngozi ambazo kama vile mtu alikuwa mnene na sasa amepungua na ngozi inabaki na...
0 Reactions
1K Replies
400K Views
Habarini Wadau, Kwa Miaka ya hivi karibuni kuna magonjwa ambayo yamekithiri sana miongoni mwa Watanzania na watu wengine Duniani, kama Kisukari, S.T.I's za aina zote, Cancer n.k Nitazungumzia...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom