Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wataalamu wa afya wanasema Unywaji wa juice nyingi ya matunda au matunda yenyew kwa wakati mmoja Inaweza kusababisha kwenda chooni sana yaani kuendesha (kuharisha) , Hapa wahenga tuliokulia...
2 Reactions
8 Replies
957 Views
Mafuta ya ziada kwenye tumbo (Obesity) husababisha mshipa unaoleta damu ndani ya ini (Portal vein) kujaa mafuta ya asidi yasiyo na kazi (free fatty acids), na kuongeza mkusanyiko wa mafuta kwenye...
0 Reactions
5 Replies
636 Views
Habari za majukumu, Niko hapa nikiwa na kuchanganywa na vitu vifuatazo. Ambavyo ningeomba msaada 1. Kuna tofauti gani Kati ya chanjo ya homa ya Ini na yellow fiver 2. Sina maambukizi pia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Moja ya matatizo yanayosumbua vijana weng hasa watanzania siku hizi na kutokujiamin na ukubwa na uwezo wa maumbile yao nakufanya wahangaike na kutafuta njia za kupamban na tatizo Hilo. Sudani ni...
8 Reactions
92 Replies
86K Views
Maana ananiambia Mara ya mwisho kwenda alipima presha ilikua 114/98 Leo kaenda eti ipo 93/58 Wamempa tu vidonge vya kutafuna, vipi iyo hali sio hatari kwa afya ya mama na mtoto?
1 Reactions
7 Replies
2K Views
wapi naweza kupata hapa Nchini? Na je ni kweli inasaidia kwenye Sexual drive?
0 Reactions
3 Replies
282 Views
Habari za mchana sana JF Samahan nilikuwa naomba kuuliza kwa mwenye ujuzi na hili anaweza kunisaidia ..... Hivi kuna hasara gan za kufanya musturbation.....
2 Reactions
32 Replies
1K Views
Samahani wana jamvi, naombeni ushauri mimi nikijana natarajia kuoa hivi karibuni. Jana tulienda kupima afya ikawa vema, pili tuka cheki makundi ya damu yakawa yanalingana kuwa mimi nina O+ na...
1 Reactions
16 Replies
11K Views
Wasalam wakuu, nimepata changamoto kidogo kwenye hii taasisi Mzee wangu anasumbuliwa na Cancer alifanyiwa operation wakatoa uvimbe, then tukapewa referral kwenda Ocean Road Cancer Institute...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Nina ndugu yangu huwa ana tatizo la kisukari. Amekuwa aki -icontrol vizuri tu with medication as usually is controlled by many. Kalala vema anaona kabisa vizuri. KUAMKA NI KIPOFU. Nini kimetokea...
3 Reactions
27 Replies
1K Views
Jamani hivi nini kinasababisha mtoto mchanga kutokwa na damu puani na mdomoni na hatimae kupoteza maisha? (Kufariki).
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Hospitali hii imekuwa ya ndugu wa madaktari, manesi na washkaji zao.. Tangu afe Magufuli huduma za hospitali Rufaa Mkoa wa Ruvuma zinatolewa kwa kujuana sana, ndugu wa watoa huduma hospitalini...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hivi baada ya kutoa kijiti inachukua kipindi gani mwanamk kupata mimba?
3 Reactions
10 Replies
6K Views
Naomba msaada uume wangu hausimami. Iko hivi; nilikuwa vizuri napiga show kawaida na nilibahatika kuoa na kupata mtoto mmoja, shida ilikuja siku nilipiga mechi ya ugenini(nilichepuka) toka siku...
17 Reactions
212 Replies
9K Views
Jamani nataka kujua, hakuna vijana under 30 mpaka 18 ambao wanaweza kuumwa ugonjwa wa vidonda vya tumbo?
3 Reactions
12 Replies
751 Views
Naomba kujua tatizo ni nini ngozi ya nje ya jicho inaungua na kutoka magamba yake baada ya mda kama mtu alietembelewa na narrow bee fly ila tatizo sjajua ni nini wana forum kwa anaefahamu msaada...
0 Reactions
13 Replies
996 Views
Habari wakuu, Ni mwezi mmoja sasa toka nigundue kuwa na maambukizi ya bacteria wa kifua kikuu na pia ni mwezi sasa toka nianze dawa zake. Na nilivyocheki kuhusu HIV nikakutwa ni negative. Ajabu...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna jamaa yangu anaumwa kansa ya ini, tumekwenda hospital za ndani tulichoambiwa ni kansa ya ini haina matibabu anachoweza fanyiwa chemotherapy, dawa za kumpunguzia maumivu huku akisubiri kifo...
3 Reactions
34 Replies
2K Views
Uzi mama Uzi unajieleza Usiniletee mbambamba sijui maswali sijui picha mambo ya kitoto Hapa FANYA Tu kumsaidia kikojozi afanyaje na anaekojolewa afanyaje? Kama ni maombi alishaenda kama mafuta...
2 Reactions
43 Replies
3K Views
Baada ya kufanya masturbation kwa miaka zaidi ya sita mfulilizo, ikanifanya nipoteze uwezo wangu wa kiume. Mwaka juzi ni kafunga ndoa, lakini bahati mbaya Kila napo shiriki tendo dakika mbili...
23 Reactions
57 Replies
6K Views
Back
Top Bottom