Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Afya ya akili ni hali ya ustawi ambao mtu anajua uwezo wake mwenyewe, anaweza kukabiliana na matatizo ya kawaida ya maisha, anaweza kufanya kazi kwa ufanisi na yenye matunda na anaweza kutoa...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Usiku ule ulikuwa ni wa kutisha sana. Binafsi niliwaza sana na kumwambia mke wangu, sijui kama patakucha nikiwa hai. Basi bhana, maumivu ya kichwa yasiyo na kifani, maumivu ya misuli na mifupa...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Wakuu nawasalimu, Kwakweli usiku umekuwa mgumu sana kwangu, jino, Wataalamu wa meno bado niliowaona bado hawana majibu zaidi ya kuling'oa, Ina maana dactari wa meno wanasomea kung'oa tu meno na...
2 Reactions
36 Replies
14K Views
Habari za muda huu, Msaada kwa anae fahamu dawa ya kutibu maumivu ya jino watu wengi wananishauri kung'oa ila mi naona sio njia nzuri... Naomba kama kuna anae fahamu dawa za hospital au hata za...
4 Reactions
60 Replies
12K Views
Papai, tunda lenye ladha nzuri kama sukari, siyo tu ni tamu kulila, lakini ni chanzo kikuu cha virutubisho muhimu vinavyotoa kinga ya mwili dhidi ya magonjwa mbalimbali, yakiwemo yale hatari...
3 Reactions
31 Replies
35K Views
Habari za wakati huu wakuu.... Nimekuwa nikipata maumivu ya mguu kwenye paja kwa muda ya miezi mi 2 sasa na tatizo hlo limekuja gafla tu, cjawah kudondoka au kupigwa na kitu.. Maumivu yanakuja...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kumekuwa na hizi dawa za kupunguza wezekano wa kuambukizwa virusi vya HIV, ambazo ni PREP na PEP, je zinafanya kazi kwa asilimia ngapi? Na mbona kwenye vituo vya afya wanatoa hizi PEP lakni...
3 Reactions
32 Replies
3K Views
Habari wakuu, Mtoto wa kiume ana miezii miwili sasa macho yake yanatoa matongo tongo, tumeenda hospital wakatupa dawa tumemtia lakini wapii still hadi sasa hili tatzo limekua sugu. Masada wenu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wana janvi Naomba sana sana sana uzi huu utumike kutoa USHUHUDA ni jinsi gani umetatua tatizo la kushindwa kushiriki tendo Post zimekua nyingi na asilimia kubwa zimejaa mizaha na...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Mazoezi ya kegel yamefanywa lakini bado kitu ni kipana tu. Jogging imedunda pia. Hivi hakunaga surgery ya kupunguza upana wa hii kitu? N.B. Wale maisha choka mnaomiliki simu za Tecno na vigari...
10 Reactions
47 Replies
6K Views
Naomba kujua, Nona ovarian cysts kwa maana nmenda hospitali nikapewa dawa lakini unaendelea kuongezeka na wasiwasi wangu ni kwamba inapelekea cancer ya kizazi au laah!
0 Reactions
3 Replies
570 Views
Samahani kwa usumbufu napata kipele ukeni mwanzo kilianza Kama jipu nikawanalitumbua linatoka usaha lakn saiv umekuwa hivi je hii ni shida gani
5 Reactions
50 Replies
3K Views
Mimi ni kijana wa miaka 23, ni muathirika na muhanga wa kuangalia video za ngono, namaanisha "XXX videos". Natamani kuacha, kila siku nachafua mashuka baada ya kuzingalia napambana sana but...
2 Reactions
59 Replies
6K Views
Mjamzito ataanzishiwa uchungu (Induced labour) ikiwa kutakua na hatari iliyothibitishwa kwa mama au mtoto, au kwa wote wawili. Baadhi ya sababu za kuanzishiwa uchungu ni pamoja na Matatizo ya...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wakuu habari za humu! Naomba niende kwenye mada- ni wiki ya pili sasa Toka nianze kuona dalili ambazo kiukweli zinanipa wasiwasi na leo nimeona jiingie humu jukwaani kupata ushauri wa kitalamu au...
4 Reactions
32 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, tarehe zangu za kupata hedhi ni kama ifuatavyo: 19/3/2023, 19/4/2023, 21/5/2023, 20/6/2023 lakini huu mwezi wa saba nilikutana na baba watoto tarehe...
5 Reactions
40 Replies
4K Views
Nasumbuliwa na tatizo la kuwahi kufika kileleni kwa haraka sana pamoja na uume kuwa mlegevu. Baada kuhangika sana madawa ya kila aina nikaamua kujaribu hii dawa wanaiita vumbi la congo, Kwa kweli...
2 Reactions
30 Replies
5K Views
Msaada tafadhali hii ni homa gani na dawa yake nini?
4 Reactions
43 Replies
2K Views
Back
Top Bottom