Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari zenu wana jf? Ni mwezi sasa toka mama watoto wangu ajifungue lakini toka alivyojifungua alikuwa na tatizo la maziwa kuwa machache. Na tukafanya kila mbinu ili mziwa yaongezeke ikiwa ni...
3 Reactions
22 Replies
7K Views
Hivi wataalam wa pharmacy hamuwezi jamani kutufanyia kitu kwenye hii dawa? nakunywa tu nisife, harufu mbaya, ladha mbaya. Kila nikiwa nataka kunywa nahisi kutapika. Hebu wataalamu njooni hapa...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
kuna imani potofu kwenye mitandao ya kijamii kuhusu sehemu za siri za wanawake, mwanamke mmoja ameamua kujitoa kuelezea masuala hayo. Dr Jen Gunter amekua daktari wa kina mama huko Marekani na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Bakteria wanaosababisha ugonjwa wa kuwashwa kwenye uke waliozunguka seli Tendo la ndoa kwa kutumia kinywa kunaweza kusababisha mazingira ya maambukizi ukeni, kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Lishe nzuri na mtindo bora wa maisha ni muhimu kwa kila binadamu. Mtindo bora wa maisha ni ule unaozingatia kanuni bora za afya. Mtindo bora wa maisha ni pamoja na kula mlo bora, mazoezi ya mwili...
1 Reactions
2 Replies
698 Views
Wakuu msaada kwa ilo ni njia ipi rahis ya kupunguza wingi wa damu ukiacha ile ya kuchangia damu. Jinsia yake ni Ke,
2 Reactions
30 Replies
2K Views
1. Chokolate, hurekebisha mzunguko wa damu na kuondoa mafuta ambayo hayafai kwenye mishipa ya damu hivyo kukuepusha na shinikizo la damu. Ila kula mara kwa mara itasababisha kuongezeka uzito. 2...
5 Reactions
12 Replies
4K Views
Madaktari na wataalamu wa afya wanashauri mama mjamzito kufanya mazoezi mepesi kwa muda wa dakika 10 mpaka 30 kila siku ili kuimarisha misuli, mzunguko wa damu, viungo vya uzazi na kupunguza...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni takribani wiki sasa inapita napatwa na dalili hizi 1. Muwasho sehemu za siri kwenye uume na pumbu zinapata zinapata vipele flani havijai maji ila nikivikuna vitamu sana nasikia raha sana mpaka...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Utangulizi Ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi vya Corona umevamia kila nchi duniani na kila nchi imeamua namna yake ya kupambana nao Kwa sasa kuna namna kuu mbili zilizoko duniani ni...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Nachukia the way ninakua ninapokua kwenye hedhi. Ninapokua kwenye siku zangu mahusiano yangu na watu wengine yanakua hatarini. Mwanzoni nilikua nachukulia kawaida ila sasa...
8 Reactions
148 Replies
5K Views
Habari wakuu, kama wiki tatu hivi niliugua tumbo la kuhara lililonisumbua kwa siku 4 hivi nilihangaika sana kutumia dawa (kuna moja ni single dozi baadaye nikatumia dose ya flagyl) mpaka kupona...
0 Reactions
13 Replies
14K Views
Always people are there to hear the negative stuffs. 😁KID
10 Reactions
80 Replies
12K Views
Habar wakuu, Nauliza. Je, Kuna madhara yoyote kiafya kwa wanaotumia mashine hizi za umeme kuchomea nyama, samaki?
1 Reactions
0 Replies
547 Views
Natumai nyote mko vyema. Moja kwa moja kwenye mada, nina mtoto wa kiume ambaye mwezi wa sita mwaka huu ametimiza miaka miwili. Stages nyingine zote kama kukaa, kutambaa, kutembea, kuanza kuota...
0 Reactions
3 Replies
679 Views
Naomba kuuliza wataalam, unapaswa upime mara ngapi kujua kama una ukimwi. Jana nimempima mtu majibu yakaja positive ila yeye anasema kapima juzi ana negative, pia alipima last month alikua na...
0 Reactions
78 Replies
17K Views
Tarehe ya mwisho kuona perion ilikuwa tar 28 Oct. Calculations zinasema EDD yake ni 03 July...na huyu mjamzito mpaka leo hii tar 06 August, bado hajajifungua wala uchungu...? Je kuna hatari? Kama...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
>>HABARI ZA MUDA HUU WAKUU! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kwa kifupi nimekua nikitumia beta blocker kwa takriban inaelekea kufika miezi 8 hivi na baada ya muda kidogo kuringana na...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
kwa siku hizi mbili mfululizo nimekua nikipata sana mawazo ya kujiua kila ikitokea nafasi ya kuweza kujiua nawaza kujiua Jana nilikua nimepakia kwenye gari natokea masafa marefu na milango haikua...
1 Reactions
49 Replies
7K Views
Habari. Nahitaji Volunteers 20 wenye taaluma ya Clinical medicine (8), nursing (7) na physiotherapy (5) wa hapa Dar es salaam ngazi ya diploma kusaidia shughuli ya upimaji kwa watu wenye uhitaji...
2 Reactions
0 Replies
472 Views
Back
Top Bottom