Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Pia naomba kuuliza. Parachichi Apple Ndizi mbivu Wali Ugali Nyama Maziwa mtindi Maziwa fresh(boxed like asas and first choice) Wine. Mayai ya kukaanga au kuchemsha Vitu gani Kati ya hivi sipaswi...
1 Reactions
9 Replies
448 Views
Habari wana jf doctor.leo nimepatwa na ugonjwa wa kuumwa na jicho moja la kushoto maumivu ni makali sana inasemekana ugonjwa wa kawaida wa macho huwa lazima yaugue yote lakini kama ni jicho moja...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Habari wakuu? Naomba kuleta kwenu swala hili la ugonjwa wa GERD. Je, kuna watu wameugua huu ugonjwa? Wamepona? Walitumia muda gani kupona? Ulitumia njia zipi/ matibabu gani Hadi kupona? Vipi...
5 Reactions
33 Replies
3K Views
Magonjwa Yasiyoambukiza (NCDs) na Msimu wa Sikukuu Vidokezo vya Ulaji Bora. Utangulizi Tunaelewa kuwa msimu wa sikukuu unaweza kuwa changamoto kwa wale wanaoshughulikia magonjwa yasiyoambukiza...
2 Reactions
2 Replies
142 Views
Habari Ndugu wa Jf, Chukua yatakayokufaa kuhusu Mpango wa mwaka mpya 2025 na afya Bora Utangulizi Msimu wa sikukuu ni wakati wa sherehe, lakini pia unaweza kusababisha kula kupita kiasi na...
1 Reactions
1 Replies
301 Views
Pombe kali inachelewesha kufika kileleni?
1 Reactions
9 Replies
837 Views
kuna ushauri nimeombwa nikamjibu navyojua pia nataka kuskia kutoka kwenu pia.ipo hivi,,,kuna dada mmoja siku ya tarehe moja decemba alikutana na mpenzi wake kimwili bila kinga ,masaa 73 baadae...
2 Reactions
14 Replies
283 Views
Asubuhi inauma, Usiku inauma Ukipata ashki inauma. Ushauri fanya tohara ukiwa bado mdogo.
6 Reactions
21 Replies
531 Views
Habar gan wakuu Nimekuwa nikisumbuliwa na hali ya kutokwa na jasho jingi hata kukiwepo na barid, tangu umri wa barehe mpaka leo miaka kama 10 imepita kwa anaejua hilo msaada pls
2 Reactions
9 Replies
367 Views
Hi wana jf. Wanawake wa jamii forum please nisaidie tiba maambukizi kwenye via vya uzazi (P.I.D). Huu ugonjwa unamtesa sana mwanamke wangu kwa zaidi ya miezi sita sasa, kwa kifupi ugonjwa...
3 Reactions
39 Replies
1K Views
Kifafa ni hali ya mshtuko wa ghafla au matokeo yasiyo ya kawaida katika Ubongo wa Binadamu ambayo inaweza kusababisha Mtu kuzimia, kukamaa kwa misuli na mabadiliko ya hisia au fahamu Hali hii...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta hospitali ambyo inatoa huduma bora ktk vipomo na matibabu ya magonjwa ya kifua, mfumo wa upumuaji hasa Pneumonia, TB na matatizo ya mwili nzima lakini ni hapa Dar.
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Watu wengi hunywa maziwa fresh kwa imani kuwa wanaimalisha mifupa na kupata madini kadha wa kadha, sio Tanzania tu njoo hapa America mtindo ni ule ule kila kifungua kinywa chaenda na maziwa. Kitu...
3 Reactions
20 Replies
12K Views
Jamani nimepewa dawa za TB lakini sikupimwa chochote hata kikohozi kwa sababu nilikuwa sikohoi na sijawah kukohoa ni sijapma TB, baada ya kuwa na hali mbali kwenye mfumo wa upumuaj nipo poa sasa...
1 Reactions
129 Replies
19K Views
Habari wakuu nauliza nawezaje kujikinga na maradhi ya Figo au vyakula Gani visivyofaa vinahatarisha afya ya figo
4 Reactions
51 Replies
1K Views
Wakubwa ninasumbuliwa na huu ugonjwa. Nimeshakwenda hospitali wakanipa Omeprazole(PPI). Mara ya kwanza nilidhani Omeprazole itatibu kabisa uishe ila baada ya kuwahoji madaktari na kufanya...
2 Reactions
35 Replies
22K Views
Habari za Muda huu wadau, Ukiachana na Mambo ama elimu tunayofundishwa Kliniki pindi umempeleka mwenzi wako Siku ya kwanza kliniki. Kama Kuandaa vitu vya kujifungulia, kanga, Mpira, Nguo za...
5 Reactions
31 Replies
662 Views
Wadau hivi ukinywa Omeprazole na neuroton mwili unakua unauma ndio kawaida zake hizi dawa yaani kifua mbavu mgongo vyote vinauma je niachane nazo
1 Reactions
19 Replies
422 Views
Kuna aina fulani ya mti nimkubwa tu na ni wa asili hupatikana msituni maeneo mbalimbali. Mti huu unatumika kama dawa ya kutibu magonjwa mbalimbali. Sifa za mti huu ni kuwa ndege akipaa usawa wa...
2 Reactions
5 Replies
272 Views
Msaada wenu dawa ya bawasiri kwa aliyewahi kupona. Nina bawasiri mwaka wa 8 haiumi, haiwashi na wala haitoi damu ila nikubwa nisaidieni dawa ipi nitumie ipone
5 Reactions
47 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…