Habari wanajukwaa hili la JF,
Mimi ni mjamzito na ni ujauzito wangu wa kwanza, wakati ipo changa nilikua nasumbuliwa sana na morning stickiness hata maji nilikua sinywi, natema mate tu na...
Nitangulize shukrani kwenu nyote wana JF, kwa kazi nzuri ya kuelimishana juu ya mambo mbalimbali katika jamii yetu, Shukrani sana ziwafikie.
Nimekuwa, na tatizo au maumivu makali sana kifuani...
Coma ni ile hatua ya mwisho ya kupepea uhai wa mgonjwa aliye kufa awali (Collecting life from early dead)!
Hizi ni harakati za kitabibu za kuendeleza uhai uliotwaliwa kwa kutumia mitambo maalum...
Habari wakuu,
Hivi hivi vipandikizi vya uzazi vijiti eti vinachangia mwanamke asisikie hamu ya kujamiiana, maana nina mtoto ana mwaka mmoja ila wife kaweka kijiti cha miaka 3.
Sasa wakati...
Habari wana jamvi.
Naomba msaada tumbo langu naona limejaa sana gesi nashindwa mpaka kula vizuri.
Sijui shida ni nini maana nakula kidogo sana tumbo linakuwa lishajaa wakati sio kawaida naomba...
Naenda moja kwa moja kwenye mada wakuu!
Hivi mtu akijamba na ile harufu ya Ushuzi inayotoka muda huo huwa inanuka sana, sasa hii inachangiwa na chakula mtu anachokula au inakuaje?
Je, kuna...
Hello wadau wa JF doctor, natumaini mu bukheri wa afya. Naomba msaada wa maelezo na suluhisho kitaalam juu ya jambo hili.
Jambo lenyewe kuna wakat huwa nikikutana na wife au hata mchepuko...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba kuelekezwa mahali ilipo Regency hospital, maana sikio linauma sana na pale nasikia Kuna specialist wa masikio, kwa anaefahamu msaada tafadhali
Katika mtindo wa maisha wa sasa si ajabu kukutana na baadhi ya watu wakitumia dawa za kuongeza mwili au kupunguza, kitendo ambacho madaktari wamesema kina hatari kwa afya za wahusika.
Mtaalamu wa...
Jamani, girlfriend wangu anasumbuliwa sana na tatizo la maumivu kipindi cha bleeding, kwa wanaojua kama kuna tiba yoyote ambayo inaweza kumsaidia huyu binti, naombeni mawazo. Maana huwa anapata...
Betri ya moyo ambayo kitabibu huitwa ‘pacemaker’ ni miongoni mwa vifaa ambavyo vimebuniwa ili kumsaidia mtu ambaye moyo wake unashindwa kuzalisha umeme wa kusukuma damu kwenda sehemu mbalimbali za...
Kabla ya Viagra kuingia sokoni, ukosefu wa nguvu za kiume ulimaanisha fedheha, aibu na wakati mwingine ndoa au uhusiano kuvunjika. Leo hali ni tofauti, dakika 27 baada ya kumeza kidonge kimoja cha...
Salaam Waungwana.
Huu Uzi wangu niliutundima hapa jusi asubuhi lakini naona umefutwa na Wakubwa, sijui kwa mini.
Naurejea tena:
Nilihoji kuwa katika nyakati hizi ambazo kila MTU anauza dawa ya...
Ndugu zangu habari za Saa hizi, naomba msaada wenu, sikio langu la kushoto lilianza kuwasha sana wiki nzima, sikulitilia mkazo kulishughulikia, sasa hivi hali imekuwa mbaya, naona linatoa maji...
Wadau mama yangu anasumbiliwa na matatizo haya toka mwaka 1982 anahisi vidonda vya tumbo hajawahi kupima,hii ni sms yake aliyonitumia kashindwa kwenda kazini anaumwa Nina tatizo nikila mboga zenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.