Ndugu zangu wa JF salam kwenu,
Kwa wataalam na wenye uelewa wa mambo ya afya naombeni elimu kidogo kuondoa hofu niliyonayo na umri huu akili imevurugika kabisa.
Nilitoka safari jana nikiwa...
Habari jf Nadhani sijakosea kuweka hii post yangu ktk jukwaa la jf doctor
Shida yangu ni kwamba ninasikia kuwa mtu mume akiwa na sauti nzito mpaka kiasi ya kutosikika vizuri huwavutia Wanawake...
Habari wanabodi,
Mnaweza shangaa leo kuja na uzi huu wa Saratani ya Utumbo mpana, kifupi mi si tatbibu na wala sina fani yoyote ya namna hiyo, bali mambo haya yakikukuta ndo utayajua, sometime...
Habari wanabodi,
Mnaweza shangaa leo kuja na uzi huu wa Saratani ya Utumbo mpana, kifupi mi si tatbibu na wala sina fani yoyote ya namna hiyo, bali mambo haya yakikukuta ndo utayajua, sometime...
Kwa mujibu wa wataalamu wa afya, ‘surgical masks’ na mask aina ya N95 hazipaswi kufuliwa wala kuvaliwa zaidi ya mara moja. Baada ya matumizi, ikiloa au kila baada ya saa 4, mask ivuliwe kwa...
Before you try Kujifukiza, know that the virus is stable at 56°C for 30 minutes. Now, can your throat and Lungs survive 56° C for 30+ Minutes?
• Human Body Temperature is 37°C
• Human skin (which...
jamani naombeni mnisaidie coz sijui na kuuliza sio ujinga.my wife anapofikia kilele wakati tuna do huwa anapoteza fahamu kwa muda mpaka nimpepee au nimfutefute usoni kwa kitambaa chenye maji ya...
Wadau nimeona ku-share na nyie jambo hili huenda ikawa sababu ya kusaidia kuokoa uhai wa watu wanaosumbuliwa na maradhi hayo, ikumbukwe kwa sasa Dunia inapita kwenye taharuki kubwa ya ugonjwa unao...
Ni maradhi yanayotokana na machafuko ya maini, na matumbo ambayo inasababisha kuhara ambapo kuna kamasi au damu katika kinyesi. Bila kutibiwa ugonjwa huu unaweza kusababisha kifo.
Dalili na...
Wapenzi na wanandoa wengi hivi leo wanapoingia kitandani tayari kwa kuianza safari ya kupeana haki zao za msingi hushindwa kufurahia tendo na hasa hali hii hujitokezwa kwa wanawake kwani...
Punyeto imenifanya nimepata tatzo la masikio nikiongea na watu sauti naziskia ila maneno kuyatambua nashindwa nifanyaje nirudi kwenye hali ya kawaida naishi maisha ya kipweke tu kutongoza ndio...
Wakuu poleni na stress za corona..
Swali langu ni moja tu, hivi kwanini kirusi kinachoitwa HIV hakijawahi kuonekana popote tofauti na mwenzake COVID-19.
Kila mahali mitandaoni na kwingineko...
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU TATIZO HILI
Kimekuwepo kilio cha muda mrefu toka kwa wadau mbalimbali juu ya Tatizo la Kuvimba fizi. JF imeonelea ni vema iusimamie mjadala huu kwa...
Garlic Kills Brain Cancer Cells Without Side Effects
by Dave Mihalovic
PreventDisease.com
Cancer cells have a high metabolism and require much energy for rapid growth. Researchers reported in the...
Habari zenu wana JF,
Nauliza kwa yeyote ambaye ameshawahi kuona dawa hii, D-Mannose, 500 Mg ni Supplement. kama ipo naweza kuipata wapi?
Nitashukuru sana.
Je, wewe mwenzangu unajiuliza mwisho wa kuvaa barakoa ni lini ?
Mfumo wa upumuaji ni kuvuta Oksijeni na kutoa Carbon dioxide kwa kiwango sahihi .
kwa hakika nimechoka kuvaa barakoa, watu...
UFAFANUZI WA JUMLA WA TATIZO HILI
Hakika mapenzi ni matamu hakuna asiyelifahamu hili na mapenzi kwa kawaida hushirikisha vishiriki ngono kama kupapasana, kubusiana na hata mambo fulani ya kula...
Mti huu sio mgeni kwa tiba kwa baadhi ya nchi za Africa, siku za nyuma pia ulikuwa ukitumika kutibu malaria na maradhi mengine madogo madogo, Madascar wameendelea kugawa bure na kuhamasisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.