Habarini wakuu, kuna yoyote anaweza nifafanulia tiba ya tatizo tajwa apo juu? korodani zangu pamoja na uume vimeshrink sana, hii pengine ilisababishwa na punyeto niliyokua napiga kipindi icho...
Habari za jioni wapendwa! Je ni sahihi kumpa mafuta ya samaki mtoto wa miezi miwili? Mtoto wangu anasumbuliwa na mafua makali sana! Nimempeleka Hospitali nmepewa dawa lakini bado! Yaani hayatoki...
Katika jitihada za kupambana na Corona tumekuwa tukipata habari na taarifa mbalimbali jinsi ya kujikinga.
Moja ya njia zinazoshauriwa ni kufunika mdomo kwa kitambaa pale unapopiga chafya ili...
Wote mnaoshabikia ujinga wa Madagaska, mnajidanganya na kupoteza muda, hamna tofauti na Kinjekitile na Vita ya maji maji tulishatoka huko, isitoshe kama haumini Sayansi iliyopo basi fungeni Vyuo...
Wadau habari zenu mimi ni mwanamke tatizo langu nikila chakula chochote baada ya muda nacheua kila mara kile chakula nnachokula inanikera sana naomba kujua ni tatizo gani na tiba yake ni nini
Hivi ndivyo serikali inavyocheza na moto!
👉Suspects wote wenye mild symptoms HAWAPIMWI 🦠badala yake watatibiwa hizo symptoms na kurudi home
👉moderate to severe watatibiwa then wasipoonyesha...
Wapendwa wana JF na wataalamu wa mambo ya harufu.
Mimi huwa sihisi/sisikii harufu ya aina yoyote toka niwe na fahamu sasa sijui kama ni tatizo au ni kawaida kwa baadhi ya binadamu.
Toka nikiwa...
Wakati wanasayansi duniani wakihangaika kupata chanjo na tiba ya virusi vya corona, rais wa Madagascar Andry Rajoelina amezindua dawa ya mitishamba ''inayotibu'' Covid-19 .
Hata hivyo Shirika la...
Mimi ni Economist ila nimesoma biology mpaka form four na nielewavyo respiratory ni mfumo wa upumuaji yaani respiratory system. Nimeona mara nyingi sana mgonjwa anapofariki katika death...
Jamani naombeni msaada mwanangu anasumbuliwa sana,
Mwili hadi kichwani kinakuwa na moto iwe wakati wa joto au wakati wa baridi hali inabaki ileile, tumetumia panado kila siku kushusha joto lakini...
Baada ya kupima mkojo wa binadamu kwa kutumia MRDT ambacho Ni kipimo kinachotumika kupima Malaria, nilitegemea majibu yangekuwa Invalid au undetermined lakini Cha kushangaza kipimo kimeonyesha...
Poleni na majukumu wana jamii wenzangu,
naomba kufahamishwa zaidi kwa hiki ambacho nimezoea kukiona bila kukifuatilia kwa undani, maziwa huzuiaje madhara ya sumu mwilini?
Nawasilisha
MAJIBU...
Salaam sana niende moja kwa moja katika lengo la uzi huu nimekua nikikosa choo kwa myda hata wa siku tano kiasi kwamba kama isingekua haja ndogo choo ningekua nakiona tu wakati wa kufanya usafi...
Simple logic!
Yaani kitendo cha kufanya mazoezi na kutoa jasho ni kujifukiza.
Msio complicate sana. Ishu kubwa ni 'mvuke' ili 'utoe jasho la kutosha'.
Kimbia utoe jasho, hapo unajifukiza...
Habari wana jamii forum,
Leo najitokeza kwenu wadau ili muweze kunisaidia tatizo nililonalo. Tatizo hili nimehangaika nalo mpaka nimekwama, so najua humu naweza kupata mtu aliyewahi kuwa na...
Habarini za mihangaiko wakuu,
Nahitaji kujua sababu za ujauzito kutoka,,
Nina kesi moja ya Wife, alikua anasumbuliwa sana na tumbo kipindi cha ujauzito na damu zikawa zinatoka, kwa muda wa wiki...
Matatizo ya kifua wakati wa ujauzito huweza kutokea kwasababu mwili wako unakua na mabadiliko wakati wote wa ujauzito, na mabadiliko kadhaa yanaweza kusababisha maumivu kwenye kifua chako...
Jana wakati napitia Uzi mmoja kuhusu yiba za asili,nikambuka marehemu Bibi yangu.
Utotoni Bibi alionionesha mti fulani ambao ukisikia kikohozi unakata kipande unakipitisha kwenye Moto unatafuna...
Salaam wanaJF wote.
Nina ndugu yangu ametokewa na kiuvimbe/kifundo nyuma ya kiganja cha mkono karibu na ankle. Mfano wake ni kama picha hizi:
Wakati kinaanza kutokeza anasema kilikuwa kinauma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.