Habari zenu wana Jf,
Nataraji mpo salama pamoja na Familia zenu
Niende kwenye lengo. Mimi kama mmoja wa wale waliopata dalili juu ya Gonjwa hili la Corona,Takriban Dalili zote nilikuwa nazo...
Lakini jitokeze leo hadharani utangaze hivyo kama hujakamatwa kwa kutoa tiba isiyothibitishwa kitaalamu.
Mimi nimezaliwa kijijini, nimetumia mitishamba sana. Nimekunywa sana mwarobaini, mjohoro...
Kegel exercises for men
Controlling ejaculation is a huge issue for many men, one that they are often too embarrassed to bring up. How do I control myself? How can I last longer, be firmer and do...
Wapendwa ni matumaini yangu kuwa hamjambo na mungu anawasaidia katika mambo yenu
Naomba niende kwenye hoja, nilikuwa nasumbuliwa na tatizo LA moyo kuwa na Mapigo ya chini na wakati mwingine...
P { MARGIN: 0px } UL { MARGIN-TOP: 5px; MARGIN-BOTTOM: 5px } OL { MARGIN-TOP: 5px; MARGIN-BOTTOM: 5px } Drug Search
Heart attacks don't always strike out of the blue -- there are...
Let's get straight to the heart of the matter--the heart's job is to move blood.
Day and night, the muscles of your heart contract and relax to pump blood throughout your body. When blood returns...
Hellow viongozi,
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo
Binafsi ni kijana 20s kazi yangu inanilazimu kuwa kwenye computer kwa muda mwingi mpaka kwa masaa (12) tatizo ni kwamba macho yangu...
Wakati nikikua, kule kwetu, kucheua kwa nguvu iliashiria shibe. Na kila ilipotokea inalazimu wenzio waliopo karipu wa kufagilie; kama ni mkeo atakwambia "Njiko/Nkabako yani"-ikimaanisha mume...
Habar za muda huu wadau wote wa JF.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Hakuna asiefahamu janga linaloendelea kipindi hichi duniani kote, juu ya ugonjwa huu hatar wa Corona" unaoambukizwa na...
Habari wana jamvi naomba kuuliza swali hili mwenye uwezo wa kujibu anijibu maana huwa najiuliza kuwa wengi wanaopona corona kuwa kinga yao ni kubwa zaidi kuliko wale wanaofariki. Je, ikitokea...
Amani na Salama Ndugu.
Kamati imejitahidi kudadisi dalili za awali za ugonjwa huu kutoka kwenye machapisho mbalimbali ya kisayansi, vyombo vya habari, simulizi za madaktari, wauguzi, wagonjwa...
Wakuu kwema.
Nilipimwa week moja iliyopita nikaonekana kuwa jicho langu lina allergy na lina vipele kwa ndani,hivyo specialist akanipa hizi dawa IVYDEXONE eye drops na PYRIMON Dexamethasone...
Salaam wataalam,
Naombeni msaada mnijuze Dawa nzuri ya kutibu malaria
Siku za hivi karibuni nimekua naugua ugua malaria Mara kwa Mara
Tangu udogoni Dawa yangu ilikua Meltakefin but nowadays...
Hii ni hali ya kuhisi maumivu kooni kama kuna kitu kimekwama kooni (lump in a throat). Uchunguzi unaweza kufanya lakini ukagundulika hauna kitu chochote kooni. Kwa kipindi hiki cha gonjwa la...
Ijue ugonjwa unaosababishwa na Virusi vya Corona
Watu wengi wanasambaza taarifa za uwongo juu ya Corona kwenye mitandao. Kama daktari na mtafiti wa afya niliyazungumzia baadhi ya hizo taarifa...
NATURAL REMEDY FOR CLEANSING THE WOMB, OVARIAN CYST, or PCOS, FOLLOPIAN TUBES and LOW SPERM COUNT
This mixture work magic!!
#Guava Leaves and #Soursop Leaves
HOW TO PREPARE
Take moderate of...
Fanya Mikutano na Vikao kwa Njia ya Video: VideoTime (bure), Jami (bure), Jitsi Meet (bure)
Watu wengi ulimwenguni kote wamekuwa wakitumia Zoom, na kuongezeka hivi kwa watumiaji wapya kumeleta...
Hello members!
Naomba kufahamishwa vyakula hasa vya asili vinavoleta hamu ya kula.
Vitamin B- complex hizi dawa kwakweli zina harufu kali sana nikimeza ile harufu binafsi huwa inabaki kooni...
Wapendwa wanajamvi umofia kwenu!!!!!
Mimi ni mgonjwa naishi nje ya Dar! Napenda kujua ni hospital gani iliyopo Dar ambapo naweza pata huduma nzuri kitengo cha njia ya mkojo na uzazi (Urology)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.