Wandugu nitumie dawa gani au nifanye nini? kuepukana na mafua mana yana takriban mwezi mzima hayaponi. Yanatulia siku moja inayofuata yanaanza upya na mara nyingine yanatoka kama maji.
Nijuzeni...
Wapi nitapata kipimo hiki ukiondoa hospital ya mkoa ambapo mashine yake imeharibika. Nakihitaji ili kuthibitisha tatizo la appendicites kabla sijafanyiwa upasuaji...!!
Je, Kolandoto hospital wana...
There is a sharp contrast between how African nations and the rest of the World utilized traditional medicine in the fight against COVID-19 pandemic outbreak. In Africa, the African traditional...
Wanajamvi habari za asubuhi,
Kuna Jambo ninaomba niwashirikishe nikuwa siku ya Alhamisi iliyopita nilikunywa pombe kumbe nimezidisha, matokeo yake siku ya Ijumaa nilishinda naumwa vibaya sana...
Nilikuwa naulizia, hivi mtu anapomaliza ku-do na Shahawa akamwagia nje huwa zinachukua Muda gani kukauka? Na Je Shahawa bora zenye mbegu utazijuaje!? Asante sana, nahitaji majibu niweze kupata...
Habar drs. Niliugua malaria ktkt ya mwezi huu wa tatu 2018. Nkatibiwa na dawa ziitwazo malafin. Baada ya sku moja nkaanza kuhisi kizunguzungu na kuishiwa nguvu..pia kifua kuuma na kukohoa usku...
Jamani naomba msaada kwa anayeweza kutambua hili tatizo,naona kucha yangu inabadilika kila kukicha
Na nikishika maji ndo kabisa inauma sana
Naomba msaada nifanyaje au nitumie dawa gani na Hilo ni...
Naomba kuuliza hivi Wazungu nao wanaathirika kwa UKIMWI? Maana huwasisikii habari zao kuwa wanaugua, na kama wanaugua mbona habari zao hazisikiki kama huku kwetu AFRICA.
Au wao wanapewa CHANJO...
Nazi ikiliwa na binadamu hugeuza aina hizo za mafuta kuwa tindikali ambayo kitaalamu huitwa medium chain fatty acids au kwa kifupi (MCFAs) ambazo huua na kutokomeza
virusi vya aina mbalimbali...
Kifua na mgongo vinakuwa kama vimetiwa pili pili niliwah kucheck H paylol kipimo kilikuw positive nikapewa heligo kit box mbil na lecer gelly dose zimeisha lakin sina uhafadhali na nina mawazo ya...
Je uume wangu una urefu sahihi??
Ni swali ambalo kila mwanaume hujiuliza, ili kujiridhisha na kuwa mwenye kujiamini pale anapokutana na mwanamke
Yafuatayo ni majibu kwa maswali yote kuhusu uuume...
Nilikuwa nikisumbuliwa muda mrefu na kero ya upele wa ndevu baada ya kunyoa kiasi cha kutamani kutokuwa na ndevu, nilitumia aftershave nyingi ila hazikuwahi kunipa matokeo mazuri, nilishauriwa...
Kwa mwenye kufahamu, naomba aniunganishe na gynecologist (daktari wa magonjwa ya mfumo wa uzazi wa mwanamke).
Nitashukuru kupata mawasiliano yake na kujua ofisi yake ilipo.
Nusu ya wanawake wote wajawazito hupatwa na tatizo la kujisikia kichefu chefu na kutapika; ni mojawapo ya dalili kuu za ujauzito.
Husababishwa na kuongezeka kwa hormone mwilini, mara nyingi...
Habari zenu wataalam mbalimbali wa kundi hili la Jf.
Ninaomba msaada wa kushauriwa. Nina mtoto wa miezi 5. Tokea azaliwe hajawah kula chochote zaidi ya maziwa ya mama, na lengo langu hadi atimize...
Mtoto mchanga chini ya miezi sita hapaswi kupewa chochote kile tofauti na maziwa ya mama, mtoto mchanga chini ya miezi sita hatakiwi kupewa maji, kwasababu maziwa ya mama yana maji yakutosha ndio...
Habari: Wahenga wanasema mficha maradhi kifo humuumbua, hivyo sina budi kuweka wazi tatizo linalonisumbua kwa muda mrefu.
Nimekuwa nachanika mwili mithili ya mtu alonichana na kiwembe kwa ncha ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.