Msaada na ushauri kwa maumivu ya kichwa, CT SCAN na MRI hainyaonyesha tatizo ila maumivu ni makali mapaka mtu anapoteza fahamu
Sent using Jamii Forums mobile app
kama heading inavosema, sisi kwetu mgonjwa wa mafua sugu tokea zamani anaweza akatumia tangawizi, maji ya moto, ndimu , na majani ya mti mmoja hivi jina nimelisahau, ila harufu yake ni kama dawa...
This Thread was deleted and reported to Administrator, somebody use my ID illegally.It is against the privacy policy. I'm a verified User, ikitokea mtu anacheza na ID za watu dawa yake ni...
WAKUU. dawa gani inaondoa uvimbe kwa haraka? Jana niliianza pasaka kwa mkosi, nililizua club nikiwa maji, nimeamka asubuhi nimevimba mdomo wa juu, sasa nataka nipate dawa ya kusawazisha huu...
Wazee huwa na kinga ndogo kupambana na maradhi kwakua kila kiungo kinaanza kufanya kazi kwa kiwango cha umri. Ukiwasisitiza wasitoke nje bila sababu maalum na kukiwa na sababu maalum wavae...
Wakuu habari zenu poleni na majukumu.
Nina tatizo kidogo nahitaji msaada wenu, mimi nina tatizo la mafua la mara kwa mara lakini hii ya kipindi hii imenishika kweli na kama siku ya tatu hivi...
Nimejaa na wasiwasi wakuu,
Jana jioni nilianza kama dalili za mafua leo asubuhi nimeamka na homa kabisa, ila mafua yapo kwa mbaali. moyo umetanda hofu kwa kweli
Wakuu nataka kujua ni hospitali gani na daktari gani hapa Tanzania ni bingwa kwa upasuaji wa kukuza uume? Naomba msaada tafadhali.
Nimekunywa vidonge na nimetumia dawa za kupaka lakini uume bado...
Habarini wakuu na poleni na shughuli za kila siku za kupambana na maisha na hasa katika hili la Covid19, kama kichwa cha habari kinavyoonekana hapo juu nina mdogo wangu mwenye umri wa miaka 24...
Wakuu habari,
Mnamo mwaka 2016 April, nilianza kusumbuliwa na tatizo la muwasho katika korodani zangu.
Niliona ni jambo la kawaida but nikaona linadumu mwezi mzima, ikanibidi niende Hospital...
Yajuwe maradhi ya ini na dalili zake
JE! UNAJUWA KUWA:-
Ini ni katika viungo muhimu sana katika mmeng'enyo wa chakula mwilini. Ini husaidia kuondosha sumu za vyakula na katika utunzaji wa...
Wakuu mwanangu alipata ajali ya kuungua moto Kwa asilimia 75. Mungu mkubwa madakitari Wa hospitali ya jeshi Lugalopamoja na wale wa hospitali ya Taifa MUHIMBILI (heshema na shukrani zangu...
Habari zenu wakubwa, ni hospitali gani nzuri ya kufanyia internship hapa nchini, hospital ambayo utakua exposed to various cases and practices.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nilivooeleza ninaomba msaada wa haraka.
Mawiki yaliyopita nililalamika hapa kuwa kiuno na mgongo vinauma na usaha mzito kwenye uume kwa miaka nane ila sikujua ni nini mie nilihisi nimerogwa...
Ikiwa leo ni Siku ya ufahamu kuhusu usonji duniani tutizame kwa uchache kuhusu suala hili
Usonji au tawahudi kwa kiingereza autism ni tatizo la nafsi na hisia linalowatokea watu angali watoto...
Wasalaam, Wana JF.
Nina kijana wangu tangu juzi analalamika, akienda msalani anapata choo kigumu na anakipata kwa maumivu makali sana,
Nini hasa inaweza kuwa sababu?
Na tiba yake ni ipi...
1. Ni kawaida kuhisi huzuni, kupata mawazo, kuchanganyikiwa, kuogopa au kuwa na hasira wakati wa matatizo. Ongea na watu unaoamini watakusaidia. Wasiliana na familia yako au marafiki
2. Kama ni...
Inaweza ikatokea mahali popote iwe njiani au nyumbani iwe mchana au hata usiku.
Huduma ya kwanza hasa ya kujihudumia mwenyewe ni nini hasa unapokuwa huna nyenzo za kitabibu?
Sent using Jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.