Tukio lililotokea hivi karibuni la serikali kufungia kituo cha tiba za asili cha Dr Mwaka na wengine wachache ni mwendelezo wa vita ya kimaslahi kati ya tiba asilia na tiba za kimagharibi kwa...
SHIGELA (SHIGELOSIS)
Huu ni ugonjwa hatari wa kuharisha ambao husababishwa na kimelea aitwae Shigella dysenteriae ..kimelea huyu aligundulika kwa mara ya kwanza mnamo mwaka 1897 huko Japan,na...
Heshima kwenu wote,
Naomba kujua duka ninaloweza kupata Sulfuric acid plaster 40% na inauzeaje?
Mm nipo Arusha lakini hata kwa Dar es salaam na mkoa wowote naweza tuma mtu akaninunulia.
Asanteni...
Habari za majukumu Wakuu?
Napenda kuchukukua fursa hii kuuliza kama kuna kituo cha afya hapa Dar ambacho wanatoa miwani kwa kutumia bima baada ya kuwa umepimwa.
Yafuatayo ni madhara kiafya ya matumizi ya kupitiliza ya hand sanitizer.
Ikiwa ni pamoja na kuharibu mfumo wa kinga wa mwili pamoja na homoni.
Are we safe??
5 Hidden Dangers of Hand Sanitizers
UFAHAMU UGONJWA WA HOMA YA LASSA
Katika siku za hivi karibuni yapata miezi mitatu sasa kumekua taarifa sana zilizosambaa juu ya ugonjwa wa homa ya corona, mlipuko ambao ulitokea katika jiji la...
Najiuliza UTI nimepataje, mpenzi wangu hana, mimi sijawai umwa huu ugonjwa toka 2004,
Michepuko sidhani. Dokta namweleza hanielewi. Kwa usaf nilionao siwezi pata huu ugonjwa nabishana na Dokta...
Mwanangu baada ya kumpa uji leo asubuhi niliochanganya na mafuta ya Habbat souda na asali...
Akawa anajiangalia tumbo lake kama analipiga piga.. Nikadhani linamuuma labda au ameshiba sana...
Hi, wadau
Kuna bibi yangu anasema akimeza chakula kuna kitu kama kinamkwama kooni hiv, je ni tatzo gani hili au ni vidonda kooni?
Tafadhali naomba msaada
Sent using Jamii Forums mobile app
Amani iwe nanyi umu ndani nilikuwa naomba ushauri dawa ya kuongeza maumbile ya kiume aina matatizo labda kupunguza uwezo wa sex kitandani
Sent using Jamii Forums mobile app
Taarifa za uzushi zinaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa kuenea kwa maambukizi kwasababu jamii inaweza kuwa imepotoshwa kuhusu njia za kujikinga
Kuongeza taharuki na sintofahamu katika jamii. Hofu...
Neno ''depression'' limetafsiriwa katika maana nyingi katika lugha ya kiswahili, wakati mwingine hutafsiriwa kama msongo wa mawazo, huzuni au shinikizo la damu. Lakini maana halisi ya depression...
Wakuu habari za asubuhi,
Acha niende direct kwa mada. Binafsi masuala ya Biology yalipita pembeni hivyo naomba kujua hili jambo.
Wanaume wanaotoa sperm au shahawa nyepesi ni wana matatizo ya...
Kwa hapa Tanzania bado tunapima JOTO
Kutokea Januari 1 mpaka sasa zaidi ya wasafiri milioni 1.8 wamefanyiwa ukaguzi kwa kupimwa joto la mwili katika vituo vya mipaka 27 ikiwemo viwanja vya...
Habarini, ndugu zangu.
Mnamo mwaka 2014 nilifanyiwa opperation ya Appendix, kidonda kilipona haraka haraka pasipo kupata maumivu yoyote,
Tokea mwaka huo 2014 hadi sasa ni miaka 3 sasa,
Ila...
Should more of us wear face masks to help slow the spread of coronavirus?
This question is to be assessed by a panel of advisers to the World Health Organization (WHO).
The group will weigh up...
Heshima kwenu waheshimiwa.
Nauleta huu uzi kwa kujua na kuheshimu ukubwa wa jamii forums kuwa ina kila aina ya watu wenye vipaji, maarifa na karama na vipawa mbali mbali.
Huu uzi Ni ombi kwenu...
Shirika la Afya la Umoja(WHO), limetoa ufafanuzi wa swali hilo kwa kubainisha jinsi magonjwa hayo yanavyofanana na kutofautiana
KUFANANA;👇🏿
1: Magonjwa haya yanafanana kwasababu yote huathiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.