MATATIZO YA CHOO KIDOGO NA VIJIWE KATIKA FIGO
Figo ni kiungo muhimu katika uchujaji wa Damu na kuondoa sumu na uchafu mwingine na kuutoa nje kupitia mkojo. Kiungo hiki kinakabiliwa na hatari...
Wana habarini za mihangaiko ya maisha!
Tumshukuru Mungu kwa pamoja kutukirimia afya na uzima.
Niende kwenye mada moja kwa moja.
Ktk michezo michafu yenye kuleta dharau na yenye machukizo mbele...
Naomba mnisaidie kujua aina tofauti tofauti za mazoezi yatakayoniwezesha kuwa na pumzi kwa maana nikifanya zoezi dogo tu naishiwa pumzi.
Ndugu wanajamii naomba msaada wenu tafadhali.
Nchi zilizoendelea zinafunga mipaka yake eg USA ili kupunguza ama kuzuia maambukizi ya virusi vya korona but Nchi za Kiafrika ambazo ni masikini zinasema zime jipanga kupambana na Corona...
Salaam Doctors, na wana JF.
Niende kwenye tatizo.
Mnamo tarehe 31/12/2019 nikiwa kwenye kikao cha management chenye idadi ya watu sita pamoja na Mimi, kikao ambacho huwa kinakuwepo kila siku...
Nina mdogo wangu umri 17 mdomo wake uliaza kukauka na kuuma nyakati za asubuhi sasa kadri Siku zinasongea hali inazidi kuwa mbaya mdomo una kauka sana hadi kuna dalili ya vidonda sasa naombeni...
Nina rafiki yangu ashawahi kumwagikiwa na maji ya moto kichwani yaliyo chemka na kutokota, kwa sasa ana hali Kama ya kusahau vitu, nilitaka kujua madhara ya ndani ya uongo kutokana na kumwagikiwa...
Wasalaamu wakuu!
Ikiwa mapambano dhidi ya Covid-19 yakiendelea, naomba msaada wenu.
Nina mpenzi wangu, katika harakati za kuzuia kupata mimba tukiwa shule, alikua akitumia P2. Kuna wakati...
Ndugu Mungu ni mtaalamu sana katika umbaji wake alitumia sayansi ya hali ya juu mno sasaa, naombeni kwa yeyote anayefahamu namna hiki kiungo kilivyosetiwa mwilini na kunavyomsaidia mtu kucheka...
Habari,
Nipo Geita kumekuwa na hali ambayo inatia shaka kidogo.
Kumekuwa na ka mlipuko ka ugonjwa ambao unatembelea kila familia na kila mtu.
Dalili kubwa ni homa...mafua na kikohozi.
Ukienda...
Wiki 2 zilizopita yalinikuta hayo, nilipata homa kali sana iliambatana na kikohozi na koo kuuma.
Pia kushindwa kupumua vizuri ikiambatana na kuchoka! Kwa mara ya kwanza katika miaka zaidi ya 15...
Habari doctors,
Nimekuwa muhanga wakung'oa meno mara kwa mara (magego) nahofia kuyamaliza yote ni umri bado ni kijana kwenye swala la usafi wa kinywa najitahidi kadri ya uwezo wangu swali langu...
Habarini wakuu,
Nina swali dogo ila kubwa sana kwa upande wangu swali lenywe ni hili:
Ni umri gani unaweza jua mtoto ni bubu au anakigugumizi?
Na je kila Bubu ni kiziwi? au kila kiziwi ni Bubu...
How To Make Face Mask From Tissue paper
Face masks should be used if anyone is sick or having cough to prevent infection to others, but nowadays it’s very hard to find.
Protect yourself against...
ASALAAM ALAYKUM Waislam na Wasiokuwa Waislam Amani ya Mungu iwe nanyi.
Maajabu kumi ya tango kiafya
Ngozi yako inahitaji tango kutoa seli zilizokufa na makunyanzi. Weka au sugulia vipande vya...
Habar wandugu
Napenda kuuliza Hivi group la damu la mtoto linatokana na baba na mama magroup Yao ya damu au?
Kwa mfano kama baba na mama ni b positive mtoto group lake linakuwa ni lipi...
Habari za Muda wakuu,
Kutokana na kuwa na changamoto za ubovu wa meno mpaka sasa nimetoboka jino japokuwa natumia Sensodyne lakini nimeona nikalizibe kabisa.
Nataka nikazibe pango kwa dhahabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.