Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Wapendwa tushirikishane hili kama kuna mmoja wetu alishawahi kukutana nalo. Nilienda hospitali ya serikali kwa ajili ya matibabu, baada ya kuingia kwa Daktari cha kushangaza nilikuta Daktari...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Virusi vya corona vinaweza kumuathiri yeyote, lakini watu wenye matatizo ya kiafya na wazee wanadhaniwa kuwa katika hatari ya kuathirika zaidi na dalili zake. Ikiwa una ugonjwa wa muda mrefu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya kufuatilia uzi hapa inayohusu Hepatitis B, leo nilienda kufanya vacination, wakasema hawawezi kutoa vacination bila kupima, wakapima nikiwa naona kwa sababu aliyenipima tunazoea naye...
9 Reactions
115 Replies
19K Views
  • Closed
Mvulana huyo alipimwa na kuthibitika kuwa na maambukizi ya #CoronaVirus na familia yake ikieleza kuwa Mtoto wao hakuwa akisumbuliwa na magonjwa mengine Kijana huyo anakuwa Muingereza wa kwanza...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwanangu mwenye umri wa miezi 9 anakojoa mkojo wa njano kiasi kwamba anaweka rangi ya njano iliyofifia kwenye bukta nyeupe anayovaa... Na mkojo wenyewe watoa harufu kali sana ya mkojo...! Je...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
For about 100 years, the scientifi c community has repeatedly changed its collective mind over what viruses are. First seen as poisons, then as life-forms, then biological chemicals, viruses today...
3 Reactions
4 Replies
774 Views
habari ndugu zangu. naomba msaada kwa anayejua dawa ya kuweza kuyaondoa maji kwenye testes. Umri miaka 32 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
13 Replies
1K Views
DALILI ZA UGONJWA HUU Kama nilivokwisha kusema hapo juu ugonjwa huu kwa asilimia kubwa humfanya mtu awe na ngozi kavu maeneo ya mgongoni na mikononi na ambayo anakua na mabaka mabaka meusi na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Swali: Please advise me on this issue, be it medically or ethically. I am not engaged in the act but I just wanna equip myself with the knowledge or wisdom per se. Akhsanteni. Baadhi ya...
1 Reactions
218 Replies
75K Views
Nimepima testosterone zangu ziko 0.11ng/ml na kawaida inatakiwa ziwe kwa men 3.00-10.00 na women ni 0.1-0.9 Mimi ni male, ni DAWA gani nitumie niweze kuzipandisha please msaada msaada msaada jamani:)
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kiukweli mimi nina tatizo moja, nikiona mwanamke mweusi yaani hanivutii kabisa sijui namuonaje. Lakini sasa natokea kuwapenda sana mabinti weupe kiukweli vyeupe vimenifilisi sana, je nitakua na...
2 Reactions
66 Replies
4K Views
Ndugu, Nawasalimu nyote. Wiki iliyopita nilisafiri kwenda Dar. Na kwa kuwa idadi ya wagonjwa wa Corona ni kubwa kwa Dar, ilinilazimu muda mwingi kukaa ndani na kukwepa maeneo yote yenye...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za saa hizi wakuu? Jamani mficha maradhi kifo humuumbua. Mimi nina mke na mtoto mmoja. Kipindi cha nyuma nilikuwa vizuri sana bed, nilikuwa nikipanda kiunoni mwa mwanamke ni mpaka mwenyewe...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
CORONA NI NANI? ___________________ Corona wewe ni nani? Corona umetoka wapi? Una sura gani? Mlimwengu mimi siwezi kukaa kimya juu yako. Mara ya kwanza tuliposikia jina lako kila mtu alitamani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
UGONJWA WA TINEA VESICOLOR (PITYRIASIS VERSICOLOR Imeandaliwa na @doktamathew Huu ni ugonjwa wa fangasi ya ngozi ambao hupelekea mgonjwa kuwa na mabaka mabaka meupe, meusi na maeneo mekundu...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Hivi mwamke anaetumia siku 2 tu kwa hedhi anaweza pata uja uzito na siku zake hatar kwa yai kushuka na kushika mimba ni zipi.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu habari. Nitaandika kwa kifupi sana. Ninawashwa pumbu tangu 2016. Awali nilitumia dawa nyingi mno lakini wapi. Nilipandishaga uzi hapa nikashauriwa nitumie cream ya skerdem. Kweli...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Nina mtoto wangu ametoka vitu kama utangoutango ila ni vyeusi kila dawa nimetumia ila naona hakuna matokeo mazuri. Je, ni ugonjwa gani na je nitumie dawa gani apone, ana miaka 10 ni wa kiume na...
0 Reactions
1 Replies
830 Views
Wakuu naombeni msaada wa Gynecologist mzuri Dar hasa aliyepo hospitali ya taifa Muhimbili au TMJ Hospital nina kijana wangu wa kike ana shida au unaweza kunipa contact za daktari mzuri unayemjua...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Why Japan is normal when the entire world is shutdown? This is an experience written by an Indian student in Japan I am continuously thinking when Japan was the first country to be impacted by...
3 Reactions
3 Replies
876 Views
Back
Top Bottom