Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari zenu wanajukwaa,natumaini neema ya Mungu ingalipo nanyi. Nimepata kusikia kuna mmea/mzizi kwa jina la jinseng unamaajabu katika tina yaani ni multifunction kwenye afya zetu. Swali je...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
[emoji269]FAIDA ZA KOMAMANGA[emoji269] [emoji298]1.Lina uwezo mkubwa wa kuzuia ugonjwa wa kansa [emoji298]2. Linasaidia kukinga magonjwa ya moyo Lina uwezo wa kuondoa Cholesterol mbaya ijulikanayo...
4 Reactions
9 Replies
12K Views
Wana jamvi habari za Jumapili, Ndugu zangu nipo na msichana yapata miaka miwili sasa mkali kinoma macho yake kama anasinzia mweupe kidogo kiuno chake si mchezo tatizo kikojozi. Mwanzoni sikujua...
2 Reactions
70 Replies
13K Views
Wakuu salam, Kuna bi mdada nilikwichi kwichi nae tatizo bi mdada kumani kumepoa balaa... Mzee baba nilipiga hadi nikachoka bila kumwaga. Ilibidi nianze kuvuta hisia kwa demu wangu flani hivi...
1 Reactions
41 Replies
43K Views
Habarini wakuu, nahitaji msaada wa kisaikolojia naomba yeyote aliyopo korogwe au anayemfahamu mwanasaikolojia anipe contact zake, nina tatizo la stress siku ya tano sasa silali vizuri nipo kwenye...
0 Reactions
6 Replies
708 Views
Wakuu natanguliza shukrani! Ninatatizo ambalo limeibuka takribani wiki moja ilopita na bado linaendelea, mwanzo niliona kama kitu cha kawaida nikapuuzia ila sasa imekuwa kero sana. Ni hivi, jicho...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habar za majukum ndugu zangu, naomba kujuzwa ukweli kuhusu manyoya ya paka huweza kua chanzo cha ugonjwa wa pumu?
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Niliiskia hii habari mwaka huu kwamba unaweza kujifungua bila uchungu tena ukiwa unaangalia TV au hata ukisoma gazeti kwa hii process ya epidural. Ila pia nasikia ni gharama sana kwa wale wenye...
1 Reactions
52 Replies
21K Views
Ingawa WHO waliweka alcohol guidelines kuwa units 21 kwa wiki kwa mwanaume, idadi ya watu wanaoathirika kwa kunywa pombe inaingezeka na serikali zinaishia kubeba gharama za matibabu. 2016...
0 Reactions
0 Replies
951 Views
Wakuu Habari za wakati huu Nina rafiki yangu wa kike mwenye umri wa miaka 26 ambae sio mjamzito wala haja wahi kabisa kushika mimba wala kuzaa mtoto .. cha kushangaza matiti yake yana toa maziwa...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Ndugu zangu Habari! Wataalam naomba tena msaada wenu juu ya tatizo moja ambalo linamkabiri kaka yangu ambaye ana umri wa miaka 40 lakini hivi karibuni aligundulika kuwa ni HIV +. Lakini sasa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wanajamvi. Naamini niko sehemu sahihi ya kuweza kupatiwa msaada wa tatizo langu. Wife amejifungua kama mwaka mmoja hivi, sasa kuna nyama imeota kama kamkia katika sehemu ya haja kubwa. Mimi...
1 Reactions
3 Replies
945 Views
Wakuu habari ni naomba msaada wa maelezo maana leo ninampeleka kitimoto kibla sasa nataka kujua ili kuzuia mimba zisizo tarajiwa maana sina mpango wa kutumia condom sasa kunaile dawa inaitwa PT...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana jf nimefungua mada hii ili tukutane au hata kama una ndugu mwenye tatizo la kutokusikia(kiziwi)ukubwani ili tuweze kupeana dalili za ugonjwa(ulemavu)huu ili tuweze kuokoa wengine...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu husika kichwa cha habari hapo juu .takribani miaka miaka mitatu sasa tangu hili tatizo linikute. Kama kuna tiba au madhara hasa msaada wakuu.nimekuwa sipo huru kufanya mapenzi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba mnijuze jaman,et mimba huanza kugundulika baada ya muda gani na dalili zake huwa ni zipi?
1 Reactions
26 Replies
43K Views
Hello wakuu, tafadhali kwa yeyote anaejua wapi naweza kupata huduma ya clinic ya wachina na acupuncture. Naomba anisaidie maelekezo ya mahali ilipo na huduma zao hasa magonjwa ya kina mama. Msaada...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Ndugu zangu wana JF nmekua nikisumbuliwa na tatizo la tumbo tangu 2005, tumbo limekua likiniuma kwa maumivu makali sana kwa nyakati tofauti. VIPIMO/ TIBA Nmepima vipimo mbalimbali katika...
3 Reactions
39 Replies
5K Views
Sio fangus, hii kucha inachomoza ikiwa hivyo inavyoonekana. Mara nyingi ni kidole gumba na hiki cha kati. Pia mguu wa kulia kidole cha kati huwa kinapata hili tatizo japo kwa sasa halipo. Kuna...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
1 .Sifa awe na diploma au cheti cha elimu ya maabara za binadamu. 2 .Awe (full registered )atambulike na bodi ya maabara. Kituo kipo Tunduru, Ruvuma
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom