Mara nyingi ni kawaida kukutana na wana jeshi wastaafu wakiwa 90+ na bado wanaendesha maisha yao ya kila siku bila msaada wa mtu.
Yale mazoezi wanayoyapata jeshini yanawasaidia sana kuimarisha...
Lemon Lemon is a great medicine
---------------------------------------
If the lemon lemon went into the face by mistake, you have thrown it away. If you know the quality of lemon cough, you will...
Hello guys.
Naomba Ushauri au tiba ya maumivu ya kiuno.
Nimekuwa nikipata maumivu kiunoni for almost a month now Kila nikikaa chini kiuno kinauma sana.
Sijafanikiwa kupata mtoto sasa nashangaa...
Naombeni msaada wenu tafadhali nina tatzo la kuziba PUA mara kwa mara kutokana na kuwa na mafua mepesi hii hutokea wakati wa BARIDI na nikinywa MAJI YA BARIDI SANA , ni kwa muda mrefu na PIA nina...
Ni takribani mwezi mmoja na nusu tangu Aunt yangu azidiwe na ugonjwa wa Kisukari.
Hali ilianza kuwa mbaya alivyopata kidonda mguuni (maeneo ya kifundo cha mguu), kidonda hicho kilianza kama...
https://www.dailymail.co.uk/news/article-3209959/amp/Mandy-Allwood-world-famous-announced-expecting-octuplets-lost-says-feel-babies-kicking-inside-day.html
Kwa mara ya kwanza kufahamu habari ya...
Hapana, hapana, hapana.
Huu ugonjwa limekua ni tatizo kubwa mno, tena mno... Yaani kama ungekua unatolewa takwimu si ajabu asilimia 99% ya wanawake wote wanaugua ugonjwa huu.
Taarifa za...
Jamani habarini za muda huu, tatizo la wanaume wengi kukumbwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na kushindwa kurudia katika tendo la ndoa limekuwa miongoni mwa matatizo makubwa karibia dunia...
MARADHI YANAYOMSIBU BINA ADAMU NA TIBA YAKE
A. MATATIZO YA MZIO (ALLERGY). MATATIZO mengi kuhusu maradhi katika mfumo wa kupumua hutokana na hisia kali sana dhidi ya baadhi ya vitu.Vitu hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.