Naomba mwenye kujua bima ya bei nafuu anijulishe, kwani nimenenda NHIF kikweli bei zao zipo juu sana.
Naomba mwenye kujua anisaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo nimemkumbuka classmate wangu tukiwa first year akapata mimba akatoa sijui ilitokea nini aliumwa sana figo zikafeli, RIP my dear.
Wa pili huyu tulimaliza chuo vizuri akapata na kazi miezi...
Wadau nimekua nasumbuliwa na tumbo kwa muda mrefu sasa kiasi cha kukata tamaa ya kupona.
Iko hivi,sijawahi kuwa na tumbo comfortable,yaani muda wote najihisi haja kubwa na kwa muda kidogo sasa...
Habari wakuu. Nina meno mawili ya juu yametoboka kwa pamoja. Sasa yanauma. Nisingependa kuyang'oa nataka tufanye re fill. Ila nitasikliza ushari wa mtaalamu. Je ni wapi naweza kupata huduma zote...
Wadau naomba ufumbuzi wa hili tatizo ,huwa napiga chafya mara kwa mara ikiambatana na macho kuwasha hii hutokea sio mara zote lakini ikitokea inakuwa kero sana ,nilienda hospitali wakanicheki...
Habari wadau wote wa jf, bila kupoteza muda naomba kuelimishwa na kujuzwa kuhusiana na hili nitakalolielezea.
Nimejamiiana bila kutumia Kinga, siku ya pili baada ya kumaliza hedhi, mzunguko...
Samaki wa aina ya Salmon,Maziwa fresh ya Ng'ombe,Jibini,Samaki wa aina ya
Sardines,Mtindi,Totu,Ufuta,Maharage
meupe,Mchicha na mboga ya sukuma wiki (Mboga ya Matembele)
Hivi inakuwaje Mwanamke mwenye elimu tu nzuri anatumia Medicated soap kuogea??..Medicated soap ni kama tetmosol,dettol n.k
Hizi sabuni ni kwa ajili ya kuulia bacteria na zinatumika tu pale ambapo...
Ugonjwa wa ukoma ni katika magonjwa yaliyosahaulika katika jamii yetu, lakini ugonjwa huu bado upo katika jamii yetu. Miongoni mwa sababu zinazopelekea ugonjwa huu kusahaulika au kuonekana kama...
Ndugu zangu ni binti yangu ana miaka 6 sasa ,siku mbili zilizopita limetokea tatizo la shingo yake kushindwa kugeuka kama kawaida yaani akitaka kugeuka anageuka mwili mzima,naomba msaada wa...
Naomba msaada kujua ni njia zipi au dawa ambazo anaweza kutumia mtu anatapika nyongi mara kwa mara na mtu huyo ni mgonjwa na vidonda vya tumbo msaada tafadhaali..asante
Habari za wakati huu ndugu zangu!
Naomba kueleweshwa juu ya kile kinachoaminika kuwa ni uwezo wa kukuza maumbile ya kiume (uume).
Nimekuwa nikiona matangazo mbalimbali toka kwa watu...
Ninaharisha tu maji maji bila tumbo kuuma sasa nimetumia 'loperamide' wakati huo huo nina dose ya kifua ya koflyn(diphenhydramine) pamoja na amoxlyn(antibiotics).
Sasa naona mafua yameanza mpaka...
Ni baada ya kujichoma na sindano ambayo ina damu ya mtu mwenye HIV, tunaambiwa ukiwahi hospitalini na kupewa dawa kabla ya masaa 72 virus wanasambaratishwa na hupati HIV.
Je ni kweli? Msaada wenu...