Wakuu habari nina shida mwanangu ana tatizo hilo ngozi inababuka inakuwa kama inaweka magamba yakitoka yote anakuwa poa then baada ya muda tena hiyo hali inajirudia hii inamtokea hasa mgongoni...
Ndugu, habarini ?
Naombeni mwenye namba za simu za Mfanyakazi mmojawapo wa Tanzania medical radiation and imaging council, ainisaidie ili niwasiliane nao.Muwe na mda mwema.
Kuna sehemu nimekaa naskia watu wanajadili kwamba kuna uwezekano wa mwanamke kupata watoto mapacha kwa kutumia unga wa soya na pilipili manga kwa wingi hii hupelekea mayai ya mwanamke kuwa makubwa...
Naombeni msaada wana jf.
mwezi mmjo uliopita niliumia mkono ( kuanguka) kwenye maungio kati ya mkono na kiganja picha iyo apo chini pamoja na X ray nilienda hospital wakanifunga p.o.p sasa Jana...
Heshima zenu wakuu. My question is whether or not there is any medical reasoning that can help me understand why I emote with tears so easily? I find myself crying on a happy/sad ending of a movie...
Habari yako kijana mwezangu na wanajf kwa ujumla. Ktk mizunguko yangu ya hapa na pale nikiw ktk internet nikabahatika kukutana na hii kitu "na hii ni kwa jinsia zote mbili"..Tusonge nayo....
The...
Salaam Tz
Siku hizi teknolojua zimekuwa sana kias cha kuwezesha tafit nyingi mno katika jamii ikiwepo Afya n.k
Kila tafiti ina critics zake/yake lkn em tuangalie uhusiano uliopo baina ya kucha...
Jamani wanaJF,
Hivi hii njia ya uzazi wa mpango ya kujamiiana ,then ukamwaga nje mbegu zako zote pale unapo fikia kilele., Je, uwezekano wa mkeo/girlfriend kupata mimba inawezekana?
Je ni kwa...
Wakuu pole na mihangaiko, nimekuwa nkisumbuliwa na sikio kuziba yaani kushindwa kusikia vizuri.
Marakwamara nilikuwa naenda Kairuki hospital na kukutana na specialist, na walikuwa wananitibu kwa...
You cannot lift up one end of a stick without lifting up the other as well - Anonymous
As I mentioned earlier, there are many unfounded false beliefs about the effects of masturbation. It is...
Wanajamvi, kwa muda mrefu nimekuwa napenda kuwa na watoto mapacha kwakuwa mke wangu ana miaka 43 na nina wasiwasi nikienda staili ya mishenari atazaaa mtoto mmoja alafu anakaribia...
Nisiwachoshe,,,
Nikwamba nasumbuliwa na MARADHI ya Kuuma miguu,,, ambayo yaliaza ghafula tu,na nikifikia yakwenda kutibiwa,, baada ya vipimo niliandikiwa Dawa ambazo ni mwezi sasa natumia bila...
Kwamba wale Wanawake / akina Mama ambao huwanyonyesha Watoto Wao kwa miaka miwili mfululizo / kamili hao Watoto huja kuwa Vipanga ( Werevu / Intelligent ) sana / mno kuliko wale ambao...
leo nimeamua kuleta somo la UKIMWI na maajabu ya maambukizi.
naombeni tusome kwa makini na kuchangia michango yenye tija kwenye topiki hii iwe maswali na maelezo ili watu waelimike,nitakuwepo kwa...
Doctors msada wenu,mwanangu amekatwa kilimi leo siku ya tatu lakini bado analalamika maumivu ile hali mwenzie alie katwa siku moja yeye yuko vizuri.Ni dawa gani itamsaidia kumpa unafuu kama si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.