Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Mimi ni Nurse mwajiliwa mpya, nilivyo ajiriwa nilipangiwa kituo ambapo ambapo ni school nurse sasa katibu wangu akaanza nipigia sim mara kwa mara ananisalimia basi siku moja nikaongea na rafiki...
0 Reactions
0 Replies
826 Views
Salama wadau? Mtoto wangu wa Miezi 11 na majuma mawili siku Kama Tano zilizopita alipandisha joto Sana nikamkimbiza Hospitali, tulifanikiwa kumpima damu na kukutwa na Malaria 7. Hadi hapo tayari...
0 Reactions
4 Replies
11K Views
wakuu swali hapo juu linajieleza naomba kujua kuhusu hilo je gegedeo la mwanaume linawez kuendelea kukua hata baada ya miaka 18 msaada wenu wakuu madoctors na wanajamii
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Naomba msaada wako Doctor wa JF naomba unifahamishe na unielimishe kwamba kutokwa na Uchafu mweusi Ukeni unasababishwa na njia ya Uzazi wa mpango wa njia ya Vijiti?
0 Reactions
1 Replies
793 Views
Kifua kikuu(TB )ni ugonjwa unaosababishwa na bacteria anaejulikana kwa jina la Mycobacterium tuberculosis. Mycobacterium tuberculosis ni aina ya bacteria anaesababisha TB kwa binadamu….ingawa zipo...
4 Reactions
17 Replies
38K Views
Niliingia mp trh 31/10 nikamaliza trh 3/11 ...ilipofika trh 10/11 gafla tu nikashangaa nikaona dam lkn chache nadhan pad nusu , kesho take ped ikakomea jujuu tu basis haikutoka tena lkn nakua na...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Nilibahatika kuhudhuria katika mjadala mmoja siku ya leo kuhusu maambukizi ya ukimwi kwa vijana na katika mjadaka huo alikuwepo mtu mmoja ambae alijinadi kuwa ni doctor na katika mazungumzo yake...
2 Reactions
33 Replies
18K Views
Naomba msaada wako Doctor wa JF naomba unifahamishe na unielimishe kwamba kutokwa na Uchafu mweusi Ukeni unasababishwa na njia ya Uzazi wa mpango wa njia ya Vijiti?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi kila ninapoamka napata mafua tena ya chafya kali ila ikifika mchana jua kali napona kabisa. Ila na wkt wa baridi pua zinaziba pia natumia dawa za hospital napona ila baada ya siku mbili...
1 Reactions
35 Replies
11K Views
Wakuu habari za muda huu, nina rafiki angu ambaye ana mtoto wa kike ambaye sasa hivi anatimiza mwaka na miezi 7 hivi takribani sasa mpaka leo huyo mtoto hajatembea kabisa shida itakuwa ni nini...
2 Reactions
34 Replies
12K Views
HABBAT SODA AU BLACK SEED OIL NI DAWA KWA KILA UGONJWA ISIPOKUWA KIFO Mada hii kuhusiana na nguvu ya Black Seed Oil katika kutibu magonjwa si jambo geni humu. Mimi naelta marudio tu maana...
6 Reactions
14 Replies
40K Views
Wadau Naomba kufahamu maabara binafsi ambayo naweza kufanya kipimo cha urine culture( sina hakika na spellings). Napenda kujua kwa maabara zilizopo dar es salaam. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
17 Replies
6K Views
Habari za wikend ndugu nina kama wiki tatu miguu inaisha ngumu mwanzon ikawa nikinyoosha nahisi chini ya magoti kama ina ganzi nikaenda hospital wakanipima kisukari na malaria ila cna nkapewa...
0 Reactions
1 Replies
21K Views
Mimi nilikua mwajiriwa katika kampuni moja Binafsi, na pia nilikua mwanachama katika Mfuko wa Bima Ya Afya ya Nhif. Sasa Niachishwa kazi. Je kuhusu bima yangu Ya Afya nitakua nalipiaje? Maana...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Madaktari,husika na kichwa hapo juu,jamaa anasumbuliwa miwasho every where mwilini mwake especially sehemu za siri na njia ya haja kubwa. Katumia FLUCONAZOLE zimegonga mwamba,nimeonelea atumie...
1 Reactions
28 Replies
7K Views
Za asubuhi waungwana!? Kama mada inavyojieleza,takribani kuanzia mwezi uliopita yani October nimekua na tatizo ambalo sijajua tatizo ni nini ingawa nahisi siko poa kimawazo Mwezi October...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari zenu wandugu, Jino langu la mwisho la chini limekua likiuma pale ninapokula ama kunywa vitu vya moto ama baridi, Nahisi ni ishara mbaya huenda likauma zaidi. Naomba mwenye kujua anijuze...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habarini za hasubuhi wana jf Ninandugu yangu hana raha mpaka sasa kutokana na kipimo cha HIV Alienda kupima HIV navile vipimo vya kawaida cha kwanza kili react lakini cha chapili kilikuwa...
3 Reactions
84 Replies
19K Views
Kumekuwa na dhana ya wanaume kufanya mapenzi na wake/wenzi wao wajawazito kwa kisingizio cha kupanua njia ili mama asipate shida wakati wa kujifungua. Najiuliza kweli kuna ukweli? 1. Je, wenye...
1 Reactions
17 Replies
10K Views
Back
Top Bottom