Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Nimeshawahi sikia mara nyingi tu kwamba, wakati unajamiiana na mwanamke, unakuwa unagusa kizazi, yaani yai la mwanamke. Utajuaje kama hiki nilichokigusa ndiyo kizazi cha mwanamke? Asante.
1 Reactions
129 Replies
40K Views
Katika hali ya kawaida kufanya mapenzi kuna faida nyingi, lakini linapokuja suala la kuzidi kiasi tunapata matatizo ya msingi ambayo huleta madhara kwa watu wanaoendekeza sana ngono. Kuna watu...
11 Reactions
50 Replies
233K Views
Hope mko poa na mnaendelea na majukumu yenu vizuri,, nahitaji msaada kidogo kuhusu vitamini C,, najua kuna baadhi ya vyakula na matunda ni chanzo kikuu cha hii vitamini C, lakini pia vitamini C...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nimeona nielekeze hili kwa faida mada hizi zitakuja mfululizo kwa faida TATIZO LA UGUMBA Ugumba kama linatibika...
0 Reactions
12 Replies
13K Views
Habari za usiku huu wakuu. Hopeful wengi wetu siku ya leo ilienda poa. Baada ya formalities naomba niende kwenye mada husika. Kama kichwa kinavyosema, rafiki yangu hali ni tete katika mahusiano...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Habari waungwana,siku chache hapo nyuma nlileweka uzi humu kuhusiana na rafiki yangu ambaye anasumbuliwa na miwasho sehemu za siri,maeneo ya tumboni,kichwani sometimez na hata miguuni muda...
3 Reactions
30 Replies
4K Views
Kwa muda wa miaka miwili sasa nimekuwa nasumbuliwa na maumivu chini kidogo ya ubavu wa kushoto, nimejaribu kwenda hospitali mara kadhaa, mara ya kwanza nikaambiwa UTI pamoja na kutumia dawa...
0 Reactions
4 Replies
31K Views
Wakuu, Yamenikuta mwenzenu tafadhali naomba msaada wa kitabibu. Ni miezi miwili mfululizo sasa nakunywa dawa za amoeba lakini tatizo lipo palepale. Naendelea kuteseka na maumivu ya tumbo...
1 Reactions
74 Replies
77K Views
Naomba historia fupi kuusu uu ugonjwa nini chanzo chake? na ipi tiba yake nina mtu namjua umemsumbua sana hadi kukatisha masomo yake cc.mshana jr,mzizimkavu
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari ya majukumu JF. Nina rafiki yangu wa karibu(mwanaume) ni mtanashati (handsome) sana lakini ana tatizo la kuwa na makalio makubwa sana jambo ambalo limekua likimuondolea ujasiri...
3 Reactions
36 Replies
26K Views
Mtoto wangu ana umri wa miezi kumi na moja mpaka tarehe 25 mwezi huu wa 11, 2018 atakuwa na umri wa mwaka mmoja kamili. Kwa Kipindi chote toka amezaliwa mpaka miezi 6 alikuwa ananyonya tu. Toka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari.kwa anaejua utaratbu wa tiba pale ocea road specific kwa tiba ya kansa ya titi...je garama zake zikoje?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
TUJIELIMISHE KIDOGO KUTOKA KIGAMBONI SOBER HOUSE Addiction Actually Addiction is actually a devastating brain disorder that the sufferer has no control over and which is not their fault. If...
0 Reactions
0 Replies
564 Views
Habarini wakuu ama kichwa kinavyojieleza nahitaji msaada wa tatizo langu la tumbo kuunguruma mara kwa mara. Je inaweza kuwa ni tatizo gani na dawa yake ni nini? kwan kila nikienda hospital sipati...
0 Reactions
16 Replies
16K Views
Habari Wakuu, naombeni kuuliza nini tatizo nikikaa na kiu kwa muda mrefu mfano kama masaa 6 alafu nikinywa Maji natokwa na Jasho sana baada ya kumaliza kunywa Maji nikikaa kama sekunde 30 baada ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wanasayansi kutokana nchini Israeli ambako ‘ Majiniasi ‘ wengi wanapatikana huko hatimaye sasa wamepata ‘ Kinga ‘ rasmi ya Kuzuia maambukizi ya VVU/UKIMWI kwa 99.9% baada ya kuifanyia majaribio...
2 Reactions
16 Replies
7K Views
Wakuuu kumbe haya Mambo yanawezekana....leo niluvyoamka sikutaka chochote zaidi ya kupima...Nashukuru sijaathirika....
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24 nasumbuliwa na maumivu makali sana tumboni hasa wakati wa usiku mwaka wa saba huu maumivu haya huwa kwa kipindi fulani alafu yanapotea ila...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kuna binti alitumia dawa za misoprostol kwa ujauzito wa siku 25,but kutokana na maelezo yake nikagundua bado inshu haijatoka yote Akapelekwa medical na kusafishwa (Manual Vacuum Aspiration)...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Back
Top Bottom