Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari za mchana wanajamvi...... Poleni na mihangaiko ya kuijenga Tz ya viwanda na uchumi wa kati. Tikiwa tunaendelea kutafakari teuzi za ma RC(Malima na Mnyeti) naomba nisaidiwe kwa tatizo...
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Habarini za jioni nilikua naomba namba za simu za mh. prof. Joyce Ndalichako (waziri wa elimu).
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Utangulizi: Magonjwa ya ngono ni magonjwa yanayoambukiza kwa njia ya tendo la kujamiiana na mtu aliyeambukizwa magonjwa hayo bila kutumia kondom. Magonjwa haya huweza kuwa-pata watu wa rika na...
2 Reactions
13 Replies
26K Views
Si kila mwanamke yuko huru kusema kuwa aliwahi kupata tatizo sehemu za siri. Karibu nusu ya wanawake wote walishapatwa UTI na wengi huwarudiarudia kiasi kwamba inakuwa kero. Nikianza na UTI...
1 Reactions
7 Replies
7K Views
Ndugu msomaji nimeona ni muhimu kuandika tofauti ya ugonjwa wa kaswende na kisonono kwa sababu kumekuwa na idadi kubwa ya wagonjwa ambao wanapotoa maelezo au malalamiko yao wamekuwa wakichanganya...
0 Reactions
5 Replies
47K Views
Labda nianze nyuma kidogo. Mimi ni mwanamme, Miaka zaidi 10 nyuma nilipatwa na tatizo lilonisumbua sana. Lilianza hivi, Nilikua Napata maumivu wakati wa kukojoa, mambo yakaendelea mwisho nikawa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani masikio yangu yanauma kwa kuchoma choma lakini hayatoi usaha, nn shida .Yanachoma choma Je ni hali ya kawaida?
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Dawa zote zinazopatikana mahospitalini na maduka ya madawa zinaletwa kusaidia watu wenye matatizo mbalimbali, japokua baadhi ya dawa hizo huambatana na madhara madogo na makubwa kwenye mwili wa...
5 Reactions
13 Replies
8K Views
Tatizo la kunuka miguu husababishwa na pale jasho linaposhindwa ku- evaporate na bacteria kuanza kupata mlo humo kwenye jasho la miguuni ambalo huwa katika mfumo wa organic acids na hii hutoa...
1 Reactions
244 Replies
56K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosena hapo juu, ni kutokana na kazi ninayofanya ya ku stay long time working on a computer ndo imepelekea hivyo. Macho yangu yanakuwa yanauma nikikaa sehemu zenye...
1 Reactions
0 Replies
683 Views
Kuna mdogo wangu ameng'oa Jino, lakini wiki ya pili saivi kidonda hakijapoa. amesahatumia dozi mbili za antibiotic ambazo kapewa spiltali lakini bado hapana dalili zozote. Spitali naona ndio...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Samahanini ndugu zangu naomba anayejua dawa yakutibu fangus sehem za siri
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Naumwa korodani yapata mwaka sasa. Maumivu ninayoyasikia si ya kawaida..misuli ya mapaja inabana na sehemu ya tumbo chini ya kitovu inauma hadi najisikia kuchechemea wakati mwingine...
3 Reactions
35 Replies
12K Views
Uvimbe kwenye mayai ya ya mwanamke (ovary) hutokana na mkusanyiko wa majimaji yanaozungukwa na kuta nyembamba ndani ya mayai ya mwanamke.Uvimbe huu ambao hupatikana ndani ya mayai ya mwanamke...
3 Reactions
18 Replies
64K Views
Mimi ni kijana wa miaka 27 mwenye afya njema na sina michepuko mingi.Tatizo linalo nisibu niwapo sita kwa sita na mpenzi wangu including wote niliotembea nao bao la kwanza hua linawahi kutoka...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
5: Maji huzuia na kutibu ugonjwa wa kipandauso (migraines) Uumaji wa kichwa kwa mbele, ama kipandauso, huwa ni dalili ya ubongo na macho kuhitaji maji mwilini. Maumivu hayo yaweza kutoweka kabisa...
2 Reactions
3 Replies
5K Views
Nina mwanangu amezaliwa Ana siku nne nimemkagua jicho moja upande Ni jekundu naomba kujua Nini tatizo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu nina tatizo la aleji ya macho kwa zaidi ya mwezi sasa nimeenda hospital CCBRT walinipa dawa za matone nimetumia lakini bado tatizo lipo mwenye kujua hata dawa ya asali aniambie manake hali...
0 Reactions
35 Replies
9K Views
Habar zenu??eti unaweza kuwa na ujauzito wa mwezi mmoja ukipima kipimo kikasoma Negative
1 Reactions
34 Replies
7K Views
Mwenye kujua dawa ya jipu iwe ya kisasa au ya kienyeji tafadhali aniambie kuna jipu eneo langu la kalio la kulia kwa juu tuelewane hapo, si katikati ni la kulia kwa juu nakaribisha majibu na...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Back
Top Bottom