MADHARA YA UTUMIAJI WA KONDOMU:
1.Kondomu hupunguza nguvu za kiume kwa sababu ya mafuta yana sumu,ukitaka kujua chukua kidole tumbukiza ndani ya kondomu lala nacho mpaka asubuhi ukiamka angalia...
Habari zenu Wakuu.
Mwanangu amezaliwa wakati mama yake akiwa na tatizo la upungufu wa kinga mwilini,alipangiwa amnyonyeshe kwa muda wa miezi 6 bila kumpatia maji wala chakula chochote mpaka miezi...
Leo tuangalie tatizo la upungufu wa damu mwilini. Anaemia ni jina la jumla linalotumiwa kubainisha aina mbalimbali za upungufu wa damu mwilini.
Kiwango cha kawaida cha chembe nyekundu za damu...
Akizungumza muda si mrefu katika Kipindi cha DADAZ Kinachorushwa na EAtv Kipengele cha MTU KATI Daktari Romana Malikusema ametoa Kali na ambayo nadhani sasa itatufanya Wanaume wengi tuanze...
Habari zenu madaktari
Nilipàta maumivu kiasi ya tumbo chini ya kitovu nikaenda hospital binafsi hapa mjini mbeya.
Nilifanyiwa kipimo cha ultrasound kikaonyesha kuwa kila kitu kipo vizuri ila...
Imekuwa Kawaida wa mama wengi wajawazito nchini Tanzania na Duniani kutokuwa na wamama wasindikizaji hasa wakati wa kujifungua bila kujua faida za kuwa nao,ko zifuatazo Ni baadhi ya faida za kuwa...
Naitwa James nimeoa na nina watoto wa4, pamoja na kua nimeoa ila nje nina mchepuko
Nilipokua na huu mchepuko kwa mara ya kwanza kufanya nae mapenzi nilipiga show nzuri tu bila tatizo lolote siku...
Kuna pia magonjwa ndani ya mji wa uzazi ambayo pengine huweza kusababisha harufu licha ya mchanganyiko wa kawaida katika taratibu za utungaji mimba.
Wengi hupatwa na uvimbe au vimbe mbalimbali...
Ndugu,jamaa na marafiki habarini za wakati huu. Naomba mawazo,ushauri kupitia mada hii ya walio athirika kwa kufanya mapenzi kinyume na maumbile.
Kama mnavyo fahamu wako baadhi ya watanzania...
Hapa Visiga kwa Kipofu wilayani Kibaha kuna mganga wa kienyeji mmoja maarufu sana kwa kutibu magonjwa yote kwa kukata VIMEO tu. Kwa wale waliokwenda wanasema anavyo vibali vyote vya serkali vya...
Nilifanyiwa surgery ya tumbo, (pancreatic pseudocyst) tangu mwezi march 2018 na nikapona vizuri lakini after few month napata maumivu makali sana kwenye kitovu na maeneo jirani na hapo nimeenda...
Habarini za saa hizi wataalamu wa kufikiri, mada ninayotaka kuzungumzia leo ni kuhusu ugonjwa wa cancer ambao ndio unaoongoza kuuwa watu duniani sasa hivi mfano Marekani cancer ndio chanzo cha...
Daktari yeyote atakuambia kwamba kutunza macho ni vizuri, na kuyafanyia mazoezi macho yatakuwa na afya, mazoezi mengine yataongeza kuona, mengine yanasaidia kama kuchoka kwa muda, bado...
Wasalaam wanabodi!!!
Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu, ndugu yenu nina tatizo la kujipizia hasa nikiwa na hofu kubwa. Hii hali ilinianza nikiwa kidato cha nne.
Nakumbuka nilikua...
Hivi nini kinachosababisha utando mdomoni mwa mtoto? Hii inakuwa hasa pembeni mwa mdomo pande zote mbili...ni kwa nini? naombeni msaada wenu enye kujua huu utaalam.
Natanguliza shukurani.
Wakati watafiti duniani wakiendelea kutafuta dawa itakayoweza kutibu tatizo la UKIMWI linalosababishwa na VVU, hivi karibuni imebainika kwamba kuna uwezekano mkubwa wa maambukizi ya VVU kupungua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.