Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Mwenzenu tangu nianze jogging nakimbia Kilomita takibani kumi kila wiki na push-up 200 kila siku. Cha ajabu kilo badala zipungue ndo zinazidi; sielewi nakosea wapi. Situmii supu, bia wala soda na...
0 Reactions
71 Replies
13K Views
kuna watu wamekuwa wakihangaika kwa waganga wa tiba asilia na wengine mahospitalini kutafuta dawa za kubadili maumbile yao kuwa shababi bila mafanikio........wengi wao wameishiwa kutapeliwa na...
11 Reactions
33 Replies
21K Views
Habari Nasumbuliwa na maumivu kwenye magoti nikichuchumaa nasikia maumivu nikinyanyuka napo maumivu lilianza goti LA mguu wa kushoto saivi ni miguu yote sijui ni nini hiki cjui nfanyaje Ushaur plz.
1 Reactions
19 Replies
3K Views
habari wapendwa nina tatizo la ugonjwa wa manjano, kwenye ngozi na macho. last time niliambiwa nile sana miwa nitapona lakini wapi kwa sababu nilikua sina maumiv nilichelewa kwenda hospital j3...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
............Mwenzenu Mungu amenishushia baraka za ujauzito, lakini imenivunja nguvu sana. Yaani muda wote naishiwa nguvu na njaa kuuma kila wakati. Kila baada ya nusu saa nahisi njaa kali...
1 Reactions
60 Replies
94K Views
Je ni sahihi kufanya mapenzi sana kunasaidia kupunguza hatari ya kupata prostrate cancer kwa wanaume. Kwa kweli hii ikithibitika wanawake watapata raha sana.......................................
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wana jamvi, Nikiingia kwenye mada, moja ya sababu kuu za ugonjwa wa figo ni kutokunywa maji. Kwa mazingira haya tunayoishi nadhani kila mtu ni shahidi kwamaba wanawake hawapendi sana kunywa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Waungwana naomba msaada, Mtoto wa miezi 4 kitovu chake bado hakijarudi ndani vizuri. Je, hii ni sawa na kama sio sawa ninaweza kufanya nini ili kiweze kurudi?
0 Reactions
3 Replies
982 Views
Wadau, wataalam Nini chanzo za kutokupata hedhi ili hali mtu sio mjamzito? aliwahi kuambiwa ana hormonal imbalance akatumia dawa hedhi zikarudi na kukata yapata kama miez 5 hivi. dada ana miaka...
1 Reactions
10 Replies
7K Views
Habari za hapa ndani wakuu,nimepatwa na tatizo na ni muda mrefu sasa tangu nasumbuliwa na hii kitu.ni kwamba uume wangu,,yaani mboo inasinyaa sana inarudi ndani mno kinabakia kichwa tuu.nimeoa...
1 Reactions
39 Replies
7K Views
Je msichana mwenye vidonda vya tumbo anaweza kupata ujauzito?
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wana JF. Tangu wiki iliyopita mdogo wangu amepata ajali ya pikipiki huko Songea na kuumia/kupata fractual kwenye fuvu la kichwa. Hali ya mgonjwa ni mbaya na anatia wasiwasi. Madaktari...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Kuna hizi pedi zina ubaridi ubaridi flani hivi, ukivaa nyeti zinakua kama zinapulizwa, kama zinavutwa, kama zimepakwa pipi kali.... Hivi kiafya hazina madhara kweli? Moja wapo ni hii HQ
1 Reactions
17 Replies
8K Views
Karibuni wote katika uzi huu. Hapa nitakuwa natuma matibabu mbalimbali (tibalishe) kila ijumaa mchana. Hivyo kama unasumbuliwa na mahonjwa usiyoyaelewa basi usisite kutembelea uzi huu kila upatapo...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Mimi kijana mtanashati nina miaka 23 sasa hvi ila nina tatizo limeanza lina km siku tano au sita meno yangu yanapata ganzi hata nikipulizwa na a.c tu ya ofisin napatwa na ganzi hata juice ya...
2 Reactions
11 Replies
990 Views
Salaam Haya in baadhi ya magonjwa ya afya ya akili yanaweza kumsababishia MTU madhara makubwa na hata kifo Je ni mbinu zipi MTU anaweza kuzitumia ili kukabiliana na tatizo LA afya ya akili Sam...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Wakuu natumaini mu wasima...niwape pole sana ndugu zangu waliopotelewa na jamaa zao katika ajali ya MV Nyerere poleni sana mungu awajalie nguvu ya uvumilivu katika kipindi ichi kigumu. Bila...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
TATIZO LA USINGIZI NI SHIDA KWANGU Moja kwa moja kwenye point, Nimekuja kwenu wadau ili nipate maneno na ushauri wenu juu ya hili tatizo langu la kusinzia mbalo sahz naona linanipeleka kubaya...
3 Reactions
49 Replies
4K Views
Ramba kijiko kimoja cha Asali safi ya nyuki kutwa mara 3 hutibu vidonda kwenye ulimi wako na kuvimaliza. Onyo:: Asali yenyewe isiwe Asali feki aka Asali iliyochakachuliwa haitaweza kukutibu...
1 Reactions
20 Replies
43K Views
Wanaamvi habari za wikiendi,Nimejaaliwa kupata mtoto wa kiume miezi 2 na wiki 1 iliyopita,mtoto alizaliwa salama kabisa lakini kadri siku zinavyozidi kwenda na anavyo
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…