Habari wakuu, mke wangu mzunguko wake hubadilika kila mwezi,, hapa nimechukua miezi kadhaa, Nov 2017=32, Dec 2017=25, Jan 2018 =27, febr2018=26, March =27,, na mwezi huu kaingia kwenye siku zake...
Hello!!!
Ndugu zangu mimi nilishafikria nkatafakari saaana kuhusu suala la mwanaume kuwa na matiti ni ipi? Yana kazi gani kwanini tulipewa!?! Natambua kuwa hakuna kiungo ktk mwil wa binadamu...
Wapendwa wanaJF, naomba msaada wenu wadhati nimesumbuliwa Kwa muda mrefu sana natatizo la kichwa kupitia mishipa ya macho,imenibidi niahirishe masomo chuo kikuu,,hua inasumbua haswa naposoma au...
Kaswende ni ugonjwa unaoambukiza haraka sana, mara nyingi kwa kufanya ngono. Ugonjwa huu huenezwa kwa kugusa moja kwa moja mchubuko wa kaswende (syphilitic sore) uliopo kwenye ngozi, au kwenye...
Habari JF Dr. Nna dada mmoja rafiki angu ana tatizo la homoni inbalance kama sijakosea inavyo tamakwa ameenda hospitali nyingi lakn tatzo akipima lipo pale pale... Anaomba ushauri mbadala maana na...
Habari zenu wadau kwa mara nyingine nakuja kuomba ushauli toka kwenu .
Hivi nitajuaje kama mimba ninayoambiwa na mpz wangu ni yangu kwa sababu kuna kitoto nimetoka kumgonga hata week haijaisha...
Ni miaka kadhaa sasa vipele vimekuwa vikiniandamana mno,kikitumbuka tu kinatokea kidonda ambacho hata kikipona ni kama kinahamia sehemu nyingine,kama kilikuwa kichwani kikipona tu kipele kingine...
Naomba msaada wako Dr. Nina tatizo la miaka mitano sasa, nasumbuliwa na tatizo la kuumwa na kinywa yaani Kuna mda juu ya kinywa kunatoka alama nyekundu za mviringo zinauma sana, pia chini ya ulimi...
Habali zenu wadau
... Naombeni msaada mimi huwa naisi mtikisiko mwilini mda mwingine tumboni kwenyekigimbi ,mikononi na niakapo asubuhi misuli inaniuma sana na inakuwa ya kijani ila baadae...
Athari za Maumivu Makali ya Mgongo
Watu wengi huchukulia Tatizo La Maumivu Ya Mgongo kama jambo la kawaida na hawafahamu kuwa linaweza kupelekea matatizo makubwa katika mwili.
Tatizo la mgongo...
Salaam.
Mrs. wangu ametumia Dozi ya Azethromyzin vidonge 30 (2x3). Ni kwa ajili ya fungus na kutoa uchafu mweupe unaomtoka.
Sasa tangu ameanza imeonesha matumaini fulani lakini aliambiwa...
1. Kichwani: Inafungua vinyweleo na kuondoa sumu zillizohifadhiwa, pia inaboresha mzunguko wa damu na Ukuaji wa Nywele.
2. Usoni: Inafungua vinyweleo na kuifanya ngozi kuwa nyororo.
3. Katika...
Je, ulishawahi kushauliwa kumkaba mtoto wakati anapogoma kula?. Je, mwanao anatabia ya kubagua chakula, mfano, Ugali?. Haya ni baadhi ya mambo yanayowachanganya wazazi wengi hata kushindwa kufanya...
Wakuu nimepata mapele makubwa kwenye uume na mapaja na eneo la mavuzi jamani kwa mtu anaye jua dawa ya kuondoa naomba tu aniambie nimetumia dawa bado hali ni tete